Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Hili gazeti noma......
7 Reactions
67 Replies
12K Views
Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu Tanzania Bi. Joyce Fisso akiongea na eNewz ya EATV amesema hana taarifa na wala hajui kama kuna wizi wa kazi za wasanii katika nchi hii. Kumekuwa na kilio...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Rafiki wa karibu wa marehemu Thomas Mashali aliyejitambulisha kwa jina la Ally amesimulia mkasa mzima wa kifo cha rafiki yake huyo. Ally alisimulia mkasa wa rafiki yake huyo akiwa msibani maeneo...
1 Reactions
42 Replies
7K Views
Ubuyu ulionyooka mjini kwa sasa unamgusa staa wa sinema za Kibongo, Shamsa Ford ‘Chausiku’ anayedaiwa kujitwalia mwanaume aitwaye Chid Mapenzi huku nyuma yake kukiwa na mazito kwamba, mwanaume...
1 Reactions
53 Replies
13K Views
WASANII NA MAPENZI YA MAIGIZO Kuna mtu alishswahi kusema " siwezi kuwa na mpenzi mwigizaji kwani nahisi atakua ananiigizia" Jumapili iliyopita huo msemo nilipata nafasi ya kuushihudia kwa macho...
1 Reactions
32 Replies
8K Views
Kwa hapa mi naonaa efm sio wabunifu wameshindwaje nao kuandaa tamasha lao siku ya leo?? Yaan kama wao wangekuwa ni washindani wa biasharaa nao wangeaandaa tamasha lao wamwalike #mondi wachukue na...
2 Reactions
25 Replies
2K Views
mkanganyiko huu bado unafatiliwa kwa umakini nitawajuza kinachoendelea ================== ni kweli tukio hilo limetokea arusha,makumira. Huyu binti aliyefariki amefananishwa tu na huyo...
0 Reactions
27 Replies
11K Views
Zari ameonesha hana kinyongo hata kidogo kwa wifi yake queen darleen ingawa pale mwanzoni queen darleen alimlia bati Zari kwa kugoma kumtakia heri ya kuzaliwa wifi yake huyo na kuongea mbovu...
2 Reactions
18 Replies
5K Views
Kama ww mkoani hii haikuhusu kabisa tena kaa mbali sana. Jamani muliosoma zile shule za serikali zilizokua noma wakati huo hapa Dar kuanzia Forodhani,Azania,Jangwani,Kibasila na...
1 Reactions
12 Replies
3K Views
Kama ulidhani Alikiba atapotea kwenye ramani ya muziki baada ya kusaini mkataba na kampuni ya Sony Music kama ilivyowahi kuwatokea baadhi ya wasanii wa Afrika – imekula kwako, mwenyewe amefunguka...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Dogo janja inasemekana anatoka na masogange baada ya picha zao kuonekana wakiwa kwenye mahaba mazito, ila dogo janja anadai ni masuala ya kazi tu
3 Reactions
72 Replies
26K Views
Mkali wa wimbo ‘Salome’ na mkurugenzi wa WCB, Diamond Platnumz amewataka mashabiki wa muziki kukaa mkao wa kula kwa ajili ya ujio mpya wa Rich Mavoko. Diamond amesema Rich Mavoko ana nyimbo...
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Kama mtanzania natumia nafasi hii kukupongeza Diamond Platinumz kwa kufikisha Followers millioni tatu katika mtandao wa Instagram. Hakika wewe si mtu wa sport sport.
4 Reactions
29 Replies
4K Views
Rapa mkali kutoka Weusi Joh Makini amewachana wanaoanzisha label hapa nchini kuwa wengi wao hawajui vigezo vya kumiliki label na badala yake wanazitumia label kama kiki katika muziki wao. Maneno...
4 Reactions
12 Replies
3K Views
Ile show kabambe ambayo huwakutanisha wasanii kibao pale stejini (FIESTA) inafanyika muda si mrefu hapa Tz lakini katika hali ya kuudhi na kuhuzunisha ni kwamba msanii Diamond hatokwepo kabisa...
17 Reactions
92 Replies
13K Views
Leo mida fulani hivi ya saa nane mchana nilikuwa nasikiliza Clouds fm kwenye kipindi cha XXL kuna segment inaitwa 255 ndipo nikamsikia Barnaba anasema eti anamuomba rais Magufuli aende kwenye...
3 Reactions
10 Replies
2K Views
Hii clip si mchezo,I love this game!!!
1 Reactions
2 Replies
745 Views
kashfa kubwa unamwandama bia masogange ya kuwachanganya mastaa wa kinaijeria Davido And Tekno Have Allegedly Been Sleeping With The Same Girl [PICS] - Celebrities - Nigeria Davido And Tekno...
1 Reactions
62 Replies
17K Views
Back
Top Bottom