Warembo wapo katika dance ya ufunguzi , kuna wengine wanapatia steps wengine wanaenda tofauti ila wamependeza sana.
Warembo wameshamaliza kupita na mavazi ya ubunifu, vazi la kitenge limetawala...
Kama umebahatika kuisikiliza hii ngoma....ni moja ya ngoma hatari sana za hip hop sema utimu ndo unafanya ngoma kama hizi zissikike maana jamaa kaflow vizuri sana
Kiukweli kabisa mimi nimekuja mjini mwaka jana tu, yaani sikuzote nilikuwa nakaa kwetu Tandahimba ndanindani, Redio niliyokuwa nasikiliza ni RTD sasahivi inaitwa TBC Taifa. Na hata kiswahili...
Mshindi wa maisha plus ni mdada kutoka Kenya.
Jamani naombeni kujua wanatumiaga vigezo gan kumpata mshindi maana naonaga wanakaaga porini tu mimi.
KWELI MAISHA HAYANA FOMULA MKENYA KAONDOKA NA M 30
Washabiki wenye mapenzi ya dhati na Wema Sepetu wamekwazwa na tabia za Wema na maisha yake yasiyokuwa na muelekeo hivyo kuamua kuzindua kampeni ya bring back our Wema Sepetu.
Kampeni hii...
Baada ya idris sultan kuonekana kufulia mjini msanii ney wa mitego ameibuka na kumuuliza idris sultani kuhusu milioni 500 alizoshinda kwenye big brother
Ney wa mitego" baada ya kushinda big...
Thomas Alva Edison (11 Februari 1847 - 18 Oktoba 1931) alikuwa mvumbuzi mashuhuri na mfanyabiashara nchini Marekani. Aliboresha vifaa kama balbu ya umeme, mikrofoni na kugundua gramafoni. Utafiti...
MICHAEL O'KEEFFE
NEW YORK DAILY NEWS
Updated: Saturday, April 16, 2016, 5:06 PM
Afrika Bambaataa was not just a hip-hop star when Hassan Campbell began hanging out at his Bronx apartment during...
Msanii Jux amejibu kuwa hajui kama atakuwa na mtoto na Vanessa wala hajui kama atamuoa, ila amesema Vanessa amemsaidia kwenye maisha yake kwa kuwa kuna vitu anavijua na yeye havijui
Mwigizaji wa bongo muvi kwa upande wa komedi Tausi Mdegela amesema, mara nyingi akiwa sehem za matembezi, watoto wengi wanamkimbilia na wengine kutafuta vitenesi ili wacheze wakidhani supastaa...
Wadau wapi ntapata hzi nyimbo znazopatikana kwny album ya unanitega ya fa .maana nimechek waptrick nimekosa
verse moja feat dudu
mtoto wa mama ft unique sisterz
siendi club ft jmo
siku...
Even though Rihanna, 28, is officially an eligible bachelorette, she still has ZERO interest in pursuing failed relationships. The Anti songstress reportedly broke things off with Drake, 29, on...
Kisura toka jiji la miamba a.k.a official Mwanza city. Mtoto yuko bomba, figure matata mpaka akili ikacheza. Kimombo aliongea fresh mashaallah.
Sijui kwanini hakushinda ila elimu yake iko bomba...
Anaandika Edson Mshumbusi.
MISS TANZANIA 2016
JINA: Diana Edward Lukumai
UMRI: Miaka 18
ELIMU: Shahada(degree)
Hii ina maana;
Alianza Chuo akiwa na miaka 15
Alianza Form one akiwa na miaka 9...
Nimeisikiliza nyimbo mpya ya abby aliyemshilikisha alikiba na mr blue kiukweli jamaa kwa sasa hana sauti tofauti na ukisikiliza nyimbo zake za nyuma kama saa nane za usiku nyimbo imepoa sana kama...
Nauliza hivi, Kwani haiwezekani kumpandisha Alikiba kimziki bila kumshusha Diamond? Mbona wanigeria wapo wengi na wafanya vizuri Africa?
Nafikiri soko la music is big enough to accomodate all...
Clouds wamesafiri mpaka
marekani kumtafuta jay z
Uganda Chameleoni ,
Tecno na Yemi Alade,
Wakakosa nauli ya kwenda Tandale kumwalika Diamond
Na mi sitaingia sasa fiesta yao tuone hizo bilioni...
#watu wa Aina yako wanazaliwa kwa nadra sana.
Umekuwa Rais wa mioyo ya wanyonge.umeirudushia Tanzania heshima na utukufu wake!
Umekuwa msemaji wa wale wasiokua na sauti, na sasa dunia nzima...
Kama ulikubali akina wizkid walistahili kushinda MAMA kwa kuwa walikuwa bora, basi inabidi tukubali nyimbo zao zilizowapa ushindi zinastahili kutumika zaid katika TV, miss TZ, Club zetu,na redion...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.