Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

C.Ronaldo. Diamond Platnumz. Point yangu. Kati ya wacheza Mpira na Usanii Wepi wanachukua salary nyingi Ulimwenguni?
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Huu jamaa amewakasirikia kweli kweli watu wanaodai anawadhulumu Yamoto Band, amesema kuna watoto kibao mtaani kwenu na kama unaona anafaidi sana kusana na wewe kundi lako uwafanye mastaa kisha...
1 Reactions
9 Replies
3K Views
Anaebisha aangalie coverage yao sasa kwenye miss tz, hii ni aibu ... Vivuli kwenye picha,mara mwanga unazd mara unapungua. Ni full miyeyusho ,halafu huyo jes k mbona anaongea kama anafanya u-mc...
2 Reactions
19 Replies
1K Views
Wakuu, habari zenu, Kama kichwa kinavyoelezea hapo juu, Huyu miss lake zone Ni lazima awe miss Tanzania La sivyo mtu atatumbuliwa Ovaaaaa
2 Reactions
242 Replies
26K Views
KABLA UJAJIITA JINA JITAIDI UJUWE MAANA YAKE WASICHANA WENGI SANA WANALIPENDA ILI JINA DIVA UTASIKIA IM THE DIVA... ==DIVA===MUNGU WA KIKE ==SOMA KWA MAKINI SANA ALAFU USIJIITE TENA ILI JINA...
12 Reactions
49 Replies
41K Views
Hasheem Thabeet kwa mujibu wa Jokate Mwegelo, alikuwa ni ‘first love’ na huenda kuachana naye kilikuwa ni kitu kibaya zaidi kuwahi kutokea katika maisha yake. Mrembo huyo alikuwa akijibu swali...
10 Reactions
134 Replies
18K Views
Nilianza kumfahamu msanii Khaleed Mohammed au Top in Dar (TID) alipotoa wimbo pendwa wa Zeze miaka ile ya 2000s akiwa na Jay Moe.. Jina lake likakua na kukubalika ndani na nje ya mipaka ya...
11 Reactions
49 Replies
9K Views
Wakuu nadhan leo ndiyo fainali zinaonyeshwa TV gani nyingine tofauti na clouds tv, Hawa watu hovyo kabisa
0 Reactions
0 Replies
620 Views
Msanii Ali Kiba amekataa nyumba inayosambazwa kwenye mitandao ya kijamii ikuhusishwa na yeye na kusema bado anaishi kwenye nyumba ya kupanga na hata kama alikuwa amejenga nyumba hawezi kufanya...
10 Reactions
97 Replies
26K Views
Ndugu zangu kina joti mnaangalia lakini ?sio zile parody zenu za uongouongo...dah Omondi ni bad news kwa kweli
6 Reactions
22 Replies
5K Views
Aunty ezekiel kweli ka move on past wema.. Pamoja na wema kujikomba kote kumuwish happy birthday aunt na kumpost mapicha kibao insta, aunty ezekiel kamkaushia mikausho mikali na hata hajamualika...
6 Reactions
49 Replies
9K Views
Habari zilizo chini ya carpet kuhusu nyumba mpya ya mwanamuziki Diamond iliyopo South Africa zinasema kuwa mjengo huo bado haujalipiwa na uko sokoni. Hivyo si Diamond wala Zari wana umiliki halali...
11 Reactions
170 Replies
25K Views
Msanii Juma Kassim maarufu kama Juma Nature amesema baada ya kustaafu mziki ataingia kwenye siasa kwa kuwa yupo karibu sana na jamii
2 Reactions
13 Replies
3K Views
MTV (MAMA)- Bonyeza link hii 2016 MTV Africa Music Awards Bonyeza tu vote halafu X halafu vote... Kuna tuzo mbili kama pichani juu. 1. Best Male 2. Artist Of The Year...
6 Reactions
34 Replies
5K Views
Habari! samahani sana ningependa jua background ya huyu lesbian "Malkia Said a.k.a Malkies." imean kuanzia primary mpaka sasa na realname yake .
1 Reactions
5 Replies
2K Views
3 Reactions
39 Replies
4K Views
Hii ni nyimbo mpya ya Ali Kiba inaitwa "Risabela" inayotofautisha kabisa bongo flavor na Nigerian music.. Hongera Kiba, naona sasa zile radha halisi za bongo zinaanza kurudi na nafikiri wengine...
1 Reactions
55 Replies
9K Views
Asa kama mabilionea pia wanashindwa ku handle mizinga.....kunakuchekana kweli hapa, dharau, kubezana...tunayo yashuhudia humu kwenye jamii yetu. Eti kuambiwa kama huna hela kaa pembeni. Hata...
2 Reactions
24 Replies
6K Views
Fiesta not reachable, duuuuh.....!! Kumedia kunsi kukupirika, chanii chikukutile njooomba? #966# kuduuuu ku mchikioooo pa video mkombe..! Longa nasi msaani wetu Ney wa mitego, nini kimekukuta...
2 Reactions
33 Replies
5K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…