Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Mtangazaji wa kituo cha radio cha Clouds Media Gardner Habash ndiye mtangazaji anayelipwa mshahara mkubwa zaidi kuliko watangazaji wote wa radio nchini Tanzania. Kiasi anacholipwa kinabaki kuwa...
4 Reactions
143 Replies
33K Views
Nimefuatilia Msiba wa huyu Jamaa, Mtangazaji wa Clouds aliyetutoka juzi na kuagwa leo Leaders Club, Leo ndio nimewajua wabongo wanaojiita watu maarufu, yaani kichefuchefu kuliko kichefuchefu cha...
15 Reactions
83 Replies
9K Views
Picha chini Ni mwonekano baada na kabla ya kufanyiwa oparesheni hiyo ya mdomo. Nini maoni yako, Kapendeza au hajapendeza?
5 Reactions
62 Replies
3K Views
Ukweli ni kua Wasanii walioko chini ya Label ya Wcb wananyimwa Fursa kupata Promo ya Media kubwa Kama Clouds, E-fm na Eatv&radio Zinazosikika Mikoa mingi Hapa Tanzania Ukiangalia kwa Jicho la...
12 Reactions
110 Replies
11K Views
Nimesikiliza huu wimbo japo kajaribu kusound kama Nick Minaj au Cardi B lakini kiukweli kujitahidi sana kuflow kizungu ambacho wengi wetu wanashindwa kwani hata wakiandika vizuri mistari ya...
2 Reactions
8 Replies
832 Views
Mie si mpenzi wa WCB lakini ukweli usemwe toka jamaa ameanza kutoa amapiano zote zimehit kuliko kawaida. Hakuna msanii anaeweza kutoa ngoma back to back kama alivyofanya jamaa kuanzia...
2 Reactions
8 Replies
532 Views
Habari wakuu Hivi mbona msanii chid benz haponi kile kidonda chake cha mguuni maana tangu ameanza kuumwa kile kidonda sasa yawezafika mwezi wa nne au watano, nini tatizo? Maana Jana kapanda...
2 Reactions
18 Replies
1K Views
D knob Mike T Nikki Mbishi Nikki wa pili Joh Main I Lord Eyes Stamina Darasa Baghdad Godzilla Chege chigunda Madonjo Domokaya Dol sound(balozi) Jini kabula Pasha
1 Reactions
27 Replies
12K Views
Wewe fikiria utembeee mwaka mzima peku na kusafiri peku nani anaweza hilo? Mimi najuwa ili upate kibali kuna gharama za kulipia kibali hakiji hvhivi japo Kuna bahati pia.
4 Reactions
48 Replies
3K Views
Inaonekana amejawa na mawazo sana!
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Je, umewahi kujiuliza kama wewe na mwenza wako mnaweza kushirikiana kibiashara? Navy Kenzo wametoka mbali katika safari yao ya mahusiano na muziki. Mwaka 2008, Aika na Nahreel walikutana na...
4 Reactions
12 Replies
1K Views
Salute. Kuna wakati huwa najiuliza sana juu ya huyu jamaa, aliwahi kuwa marufu sana hadi mwishoni mwa miaka ya 2011 kama sijakosea. Ni muda sasa sijawahi kusikia anaendeleaje. Sijui nani...
5 Reactions
264 Replies
65K Views
WAGOSI WALIINGIA DAR KAMA BARUA YENYE STAMP NA CARE OF Wagosi wa Kaya ni kikundi cha wanamuziki kutoka Tanzania, kilichoanzishwa mwaka 1996 na John Simba (Dr John) na Frederick Mariki...
21 Reactions
32 Replies
4K Views
Ni dhahiri sehemu pekee atakayoalikwa Diamond ni ile inayohusu msanii mwingine wa Wasafi la sivyo huwezi sikia Diamond kawa invited kwenye event yeyote ile. Clouds,EFM na Tv nyingine hawapigi...
10 Reactions
59 Replies
5K Views
Mr. NICE ALIWIKA sana lakini anaonekana ni Mzee wa maneno ya kujisifia sana, kumekuwa na takwimu zisizo eleweka za mauzo ya kazi za wasanii hapo zamani. Huku Mr. Nice akitamba kwamba yeye aliuza...
2 Reactions
15 Replies
1K Views
Hakuna ajuaye atakufa lini, ila kuna life style usipozingatia unajiwahishia mwenyewe kaburini, Tupac nilijua atauliwa tu baafa ya diss track ya Hit them up, Amina Chifupa alijua atakufa baada ya...
72 Reactions
170 Replies
10K Views
Mzuka Wanajamvi! Mwamba bilionea mstaarabu mtangazaji na mwandishi wa habari maarufu nchini Millard Ayo ameniacha hoi na mdomo wazi alivyovaa kwenye msiba wa aliyekuwa mtangazaji wa clouds...
16 Reactions
104 Replies
8K Views
Ni yule mwanamuziki bora wa muda wote toka pande za states mwamba Christopher Maurice Brown maarufu kama Chris Brown au Breezy. Amewashushia neema mashabiki zake kwa kuwa patia album funga mwaka...
15 Reactions
47 Replies
3K Views
Katika kuendeleza tasnia na kumpongeza Kwa mafanikio katika fani wasanii nchini, wamepanga kumtungia wimbo maalum Msanii mwenzao Msechu, P. Heko Bongo Celebrities
2 Reactions
6 Replies
600 Views
Penzi kati ya Harmonize na mwanadada Poshy Queen linaendelea ku-make headlines kwenye mitandao ya kijamii. Harmonize amezua gumzo mitandaoni baada ya kupost Video akiwa Kanisani na mpenzi wake...
3 Reactions
64 Replies
4K Views
Back
Top Bottom