Mliofatilia tunzo za MTV jana mtakuwa mashahidi kuwa king wa bongo flava alipaform wimbo wa sauti sol ule wa unconditionally bae so kutoka apo nimejiuliza sana kwa nn hakupafom wimbo wake maarufu...
Ni kipindi kirefu kumedhihiri kimya kisichovumilika hasa kwa wapenzi wa Muziki wa Hip-hop namzungumzia mwanamuziki Bonta
Yuko wapi msanii Bonta kwa anayefahamu habari zake??
Binafsi Kama mdau wa sanaa na mwenye mahaba na Sanaa ya Muziki na filamu napenda kujitokeza kuleta mbinu ambazo zitasaidia Wasanii kujitangaza na kukuza sanaa zao bila kutumia Kiki.
Msanii...
LeBron violates royal protocol, puts arm around Kate Middleton during photo
As part of a holiday and also in support of the NBA Cares initiative, Prince William and Kate Middleton took in a...
Haya sasa kwa wale wapenzi wa singeli na wasio wa singeli njoeni mtoe mawazo yenu ya kuwa nan ni mkali zaidi wa singeli hapa bongo
A:Man Fongo
B:Skide
C:Mwanadada young yuda...
Tumezoea Collabo nyingi za kimataifa Diamond huwa anakuwa wa kwanza kusema Ila safari hii Mohombi ndo kaanza kwa kupost katika ukurasa wake wa Twitter kuwa ana kazi na Diamond!
Mzee wa coconat...
Rapper Country Boy ameahidi kuwa mwakani atafanya
mambo makubwa ikiwemo kuleta tuzo ya kimataifa.
Ametoa ahadi hiyo wakati akizungumza na mtangazaji wa
Kings FM, Prince Ramalove. “Inshallah tuombe...
Diamond amedai kuna wasanii wengi wa kimataifa Afrika na nje ya Afrika wametaka kujiunga na WCB lakini amewakatalia kwa kuwa anatka kukuza wa nyumbani kwanza
Pia amesema sasa hivi hawachukui...
Jiti hilo alilolishikilia mrefu akiwa anaimba jukwaan haijajulikana sababu ya msingi ya kulishikilia hivyo limeibua maswali ambayo hayana majibu hivyo limezua gumzo nchini south africa na hisia...
Usiku wa jumamosi ya October 22, 2016 Johannesburg Afrika kusini ndio siku ambayo zilitolewa tuzo za MTV kwa wasanii waliofanya vizuri ila wasani wa Tanzania walikuwa katika category nane Kama...
Anaitwa Imelda Mtema ni mwandishi wa habari wa global publisher. Huyu anajifanyaga ana urafiki na mastaa wa bongo movie lakini kumbe akigeuka nyuma anaenda kuwaandika vibaya kwenye magazeti ya...
Habarini wana jamvini.
Leo toka asubuh nimekuwa nikisiliza vipindi mbali mbali katika radio yetu pendwa ya clouds fm, na moja ya vitu nilivosikia kutoka kwa watangazaji mbali mbali wa station hyo...
Ni aibu sana wasanii wa 5 toka Nchi kubwa. Yenye Rais anayependwa Africa. Madini mbali mbali na vingenevyo.
Kwenda katika Mashiriki ya MTVMAMA's na kutokuumbulia kitu. Ni Aibu, tujifunza;
1...
Msanii wa Uganda eddy kenzo asema kuna namna inafanyika kuamua washindi wa mtv mama na si upigaji wa kura maana kwenye kipengele change yeye ndo alikuwa na kura nyingi akifuatiwa na mr. Flavour...
Msanii wa muziki Rehema Chalamila aka Ray C usiku wa jana alikamatwa na jeshi la polisi maeneo ya Kinondoni Manyanya almaarufu ‘Kinondoni kwa Mpemba’ jijini Dar es salaam baada ya kupiga makelele...
By Paul Meara
Hip-hop seems a little itchy lately as everyone seems to have a problem with something everyone is doing.
Beefs you never thought would happen, like Meek Mill vs. Beanie Sigel...
Naona ni wakati sahihi wa tuzo zinazotolewa ndani ya bongo waige mfumo wa tuzo za mtv kura si kigezo sana cha msanii kushinda tuzo ukiangalia hapa bongo ndo tunachobugi
Mfano kwa bongo wasanii...
'number don't lie' ,
kuna ubishani wa muda muda mrefu baina ya diamond na ali kiba huku kila shabiki akivutia upande wake,
zifuatazo ni takwimu za ulinganifu baina ya alikiba na diamond
Ilikuwa ni patashika katika lile jiwanja bora kabisa la ndege barani Afrika yaani Julius nyerere airport pale mmiliki wa vyombo vya habari vinavyobamba downtown bwana le mutuz alipoonekana na...
Wadau naomba tutabiri vichwa vya habari vya kesho magazetini hasa yale ya rangirangi..
Mimi naanza na hivi.
1.Simba ala nyasi,,ashindwa kujizuia aangua kilio ukumbini baada ya kukosa tuzo...