Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Jana tumeshuhudia utolewaji wa tuzo kuwa kabisa barani Afrika za MtV MAMA award, ambapo Kwa Mara ya kwanza wasanii wengi kutoka Tanzania walitajwa kuwania tuzo hizo. Lakini cha ajabu na...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Mkongwe huyo wa mziki ameyasema maneno hayo katika kipindi cha MY PLAYLIST knachotushwa na clouds tv, aidha amesema kuwa Alikiba ni mwanamziki anaejielewa, mwenye sauti nzuri na anejua kuitumia...
4 Reactions
34 Replies
5K Views
Habari za hapa wakuu, kuna hii kitu imesumbua fikra za watu wengi sana. Nikaona Leo niilwte humu tujuzane kwa kina! Kuna wimbo ameimba dully Sykes na huyu dogo Harmonize, sasa inasemekana sana...
3 Reactions
19 Replies
5K Views
Wakati Jana utoaji wa tuzo za MTVMama ambazo zimetolewa Afrika Kusini na ambazo hakuna Mtanzania hata moja aliebeba tuzo ,usiku huo huo wa Oct 22 kuamkia Oct 23 nchini Marekani kulikua pia...
1 Reactions
68 Replies
8K Views
AY,Diamond,Harmonize na Dj D Ommy washinda tuzo za AEA za Marekani.: AY,Diamond,Harmonize na Dj D Ommy washinda tuzo za AEA za Marekani. - millardayo.com
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Apo chacha!! Ukimwaga mboga wenzio wanamwaga ugali. Ukweli wafahamika baada ya mara kadhaa rapper Young Dee kukanusha kuwahi kuwa na mahusiano na video vixen kutoka kwenye kiwanda cha Bongo...
7 Reactions
295 Replies
65K Views
Ali Kiba kafanya interview na mzazi Willy Tuva kuhusu tuzo za MTV leo na ametoa onyo kali sana kwa watu wenye tabia ya kuzima mic wakati anafanya yake jukwaani. Ali Kiba amesema kuna uwezakano...
7 Reactions
30 Replies
3K Views
Hatutaki teams....team kiba sjui team diamond, team zari, team esma, team sandra, team mobeto, team wema,..team jokate,, shiwalandu sjui what what...hatutaki,, hatutaki uswahili,tufanye kazi na...
1 Reactions
17 Replies
1K Views
Usiku wa jana Tuzo za MTV mama Zilitolewa huko South Africa! Wanigeria waliibuka vinara baada ya kuchukua tuzo nyingi kuliko nchi yoyote Afrika! Na zile tuzo kubwa zote zilienda Nigeri kama Best...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
HIVI NDIVYO HALI HALISI ITAVYOKUWA JK:MTANIKUMBUKA
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Zikiwa zimebaki takribani siku 4 kufanyika kwa tukio kubwa la kihistoria la tuzo za Mtvmama 2016, Huu ufuato ni utabiri wangu juu ya washindi wa tuzo hizo. 1.Best Male Artist - Wizkid (,Nigeria)...
6 Reactions
94 Replies
9K Views
Mashabiki wa Beyonce wanaumia pale Beyonce atakapoumia. Beyhive wameanzisha kampeni ya kujikata baada ya Beyonce kujiumiza bahati mbaya kwenye sikio na kutoka damu wakati anatumbuiza kwenye...
1 Reactions
34 Replies
4K Views
Anaitwa Jennifer Kyaka, ila wengi wamezoea kumuita ODAMA, jina ambalo liliibuka kwenye movie ya Odama aliyoigiza, ambapo yeye alicheza kama mhusika mkuu. Alizaliwa mnamo mwaka 1983 jijini Mwanza...
0 Reactions
31 Replies
25K Views
Habarini ndugu zangu. Leo ningependa tu kujua kuwa ni nini haswa umuhimu wa hzi tuzo zinazotolewa? Je , baada ya kupewa tuzo huwa unapewa na pesa kidogo? Je, nauli ya kwenda huko marekani...
1 Reactions
18 Replies
3K Views
Msanii wa muziki na mwalimu wa dance, Msami Giovani anayefanya vizuri na wimbo wake ‘Step by Step’ amesema Barakah The Prince bado hana nguvu ya kuwa mume wala kuwa mchumba wa Najma. Ametoa kauli...
13 Reactions
56 Replies
7K Views
Nimekua nikisikiliza vipindi mbali mbali vya michezo katika radio nchini tanzania Wachambuzi wengi wa michezo ni wengi sana wazuri lakini hawa wawili kwangu hakuna mfano wake kwa hapa nchini...
1 Reactions
33 Replies
9K Views
Habari wanajf! Nina hoja fupi ningependa tujadili kidogo.Ni hili suala la wasanii wetu wa kiume;aidha wa muziki au filamu kuvaa hereni.Suala hili limeshika kasi na wale wanaoitwa chipukizi...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Leo ndio ile siku ambayo Tuzo za MT mama zinatolewa na wasanii kibao washafika south Africa Interview nyingi zinaendelea huko South Afrika lakini ni ukweli usio Pingika kwa kinacho Endelea Huko...
4 Reactions
25 Replies
3K Views
Back
Top Bottom