Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Yaani video za Ally wala hazivutii kuna kuwa na mrundikano wa picha kibao....ambazo hazina maana wala logic ,hua najiuliza sana huyu brother why? Kwanini video zisiwe na flow nzuri unarundika...
3 Reactions
16 Replies
2K Views
Waungwana leo kwenye pita pita yangu nilikutana na miongoni mwa washiriki wa BSS aliyekuwa miongoni mwa waliofanya vizuri (jina kapuni) akiwa kachoka sana mpaka nikamuonea huruma, sasa nikawa...
1 Reactions
44 Replies
8K Views
Saida Karoli anaogopa kugusa hata jani, akidhani ni nyoka anayetaka kumng’ata Ni kwasababu licha ya kufanya vizuri kimuziki miaka kadhaa iliyopita, hakupata chochote na bado anaishi katika...
7 Reactions
31 Replies
8K Views
Nimeona kidogo tu kwenye tangazo la EATV....Kr Mullah ana perfom 'kamua' yuko na TID kwenye Friday night live.... kwa kweli hawa jamaa sasa ni 'burudani tosha' natamani kuona mwenye full clip...
5 Reactions
53 Replies
5K Views
Akiongea kwenye kituo cha radio cha magic fm mziki wa hip hop bongo ni mgumu hasa kwenye maslahi ndo maana anamueshimu sana joh makini Diamond" wakati mimi sijatoka nauza mafuta sheli nilikuwa...
3 Reactions
13 Replies
4K Views
Diamond platnumz ameendelea kukuza mziki wake baada ya kupata shavu kubwa la kutumbuiza kwenye majukuu makubwa nnchi uingereza akiwa na mkali kutoka marekani Neyo. Mtandao wa Revolt Africa umetoa...
8 Reactions
79 Replies
8K Views
Yule msemaji mkuu wa Yanga African hatimaye amerudi tena kwenye kazi yake ya utangazaji aliyokuwa akifanya hapo awali katika television ya Taifa. Chanzo: TBC
3 Reactions
22 Replies
7K Views
Akihojiwa na Millard Ayo. Nikki wa Pili amesema toka aanze darasa la kwanza, hajawahi kufeli shule.
7 Reactions
153 Replies
26K Views
Vanessa amejitoa baada ya waandaaji kuto timiza masharti ya wali ya makubaliano, vanessa ametoa taarifa hiyo kitia kurasa zake za mitandao ya kijamii
1 Reactions
35 Replies
5K Views
Kipindi cha FNL kinaendelea muda huu, WCB Ndani ya nyumba Sikiliza sasa akifanya interview
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Huenda Jux akawa amemfuta kabisa Trey Songz kwenye orodha ya ma-role model wake tangu ashiriki kwenye wimbo mmoja na Vanessa Mdee na kutengeneza ukaribu usio wa kawaida! Japo ameiongea kwa utani...
1 Reactions
31 Replies
8K Views
Mziki wa bongo fleva umepata umaarufu mkubwa sana Barani Afrika na Duniani kwa ujumla. Kitendo hiki cha mziki wetu kuvuka border kimesaidia sana kuongeza Ajira kwa vijana na kukuza vipato vya...
0 Reactions
21 Replies
12K Views
Habari za kuwepo kwa bifu kati ya Mama mzazi wa Nassib Abduli aka Diamond Platnumz na Zari ambayeni mpenzi wa msanii huyo na Mama wa mtoto wake wa kwanza zilichukua sura mpya. Mwezi uliopita...
1 Reactions
28 Replies
5K Views
Naona Diddy karudi nafasi yake tena. Na pia drake kamuondoa nadhan alikua 50 cent nafas yake hio ya 5. 5. Drake--Utajiri wa Bilioni 126 Tsh. 4. Birdman--Utajiri wa Bilion 231 Tsh. 3.Jay Z --...
9 Reactions
110 Replies
13K Views
Shikamoo wakuu Nimekuwa nikifanya utafiti ili kuweza kujua mgawanyiko wa mziki wa Hiphop katika taifa letu la Tanzania Katika pitapita zangu mitaani nimeskia eti kuna tamaduni mziki, hiphop...
1 Reactions
26 Replies
8K Views
Nmemtumia huyu dada Iphone 7 kwenye siku yake ya kuzaliwa cha ajabu ameenda kunianika instagram kwamba haipendi na atampatia shabiki,nakua kama bwege Hawa maceleb wa kibongo sijui huwa wana...
4 Reactions
24 Replies
4K Views
Lile kundi lililotikisa miaka ya nyuma ambalo lilikuwa na wakali kama AY, king crazy GK, Mwana FA lipo mbioni kurejea kwenye gemu Akizungumza na E newz rapper machachali ambaye pia ni hitmaker...
5 Reactions
27 Replies
5K Views
Mwanadada anayefanya poa kwenye mziki na maigizo Snura Mushi AKA Snu sexy au ukipenda muite malkia wa uswazi hatimaye afanya bonge la party kufurahia kurejea kwa chura kwa mara nyingine Snura...
1 Reactions
10 Replies
3K Views
Alikiba ameitaja sababu iliyomfanya ashindwe kumuoa mwanamke yeyote kati ya watatu aliozaa nao. Hitmaker huyo wa Lupela alisema kuwa hakupenda kulazimisha iwe hivyo.“Unajua hauwezi kumuoa mtu...
3 Reactions
24 Replies
8K Views
Back
Top Bottom