Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Nimeshuhudia wasanii wengi haswa wa mziki na maigizo wakiacha hizi kazi na kusema wameamua kumrudia mwenyezi Mungu,wengi wakitubu zambi walizozitenda,Je kuna uhusiano wowote kati ya kuwa msanii na...
0 Reactions
2 Replies
940 Views
Wana jamvi wasalaam... Wana jamvi katika adhabu ambayo anaweza kupewa mtu na ikamuumiza sana na akashindwa kujua la kufanya au suluhu ni adhabu ya kupuuzwa. Adhabu ya kupuuzwa ndio aliyo pewa...
8 Reactions
134 Replies
20K Views
Msanii wa Hip-hop wa Nigeria, Ycee ameungana na mtayarishaji wa muziki na muimbaji wa Afrika Kusini, DJ Maphorisa kwenye remix ya wimbo wake unaofanya vizuri barani, ‘Omo Alhaji’. Ikifanyika...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Leo katika pitapita zangu youtube nimekutana na video ya Baraka na Ali Kiba inayokwenda kwa jina NISAMEHE. Kilichonishangaza ni kwamba ina wiki moja tangu iwekwe youtube lakini mpaka sasa ina...
0 Reactions
42 Replies
8K Views
Ali Kiba ni msanii mwenye "jina" kubwa, lakini hataki kulitumia jina lake kunyanyua chipukizi,hana muda huo,ameshindwa kumtoa mdogo wake 'Abdu Kiba" atawezaje kumtoa Baraka? .. Kwanini hatumii...
1 Reactions
17 Replies
4K Views
Inasemakana eti yule video queen mwenye mfanano na amber rose tuko chini ya ulinzi huko Arusha baada ya kujaribu kupitisha sembe kwenda nchi ya jirani Kenya kwenda China Kule kwa jack wa jux...
3 Reactions
52 Replies
13K Views
Yani ngoma zake ni hatari tupo Wash Duro Na zote zolizopita Sasa kuna hii Pana kila nikiisikia nasema jamaa huu mchezo anaoucheza kauwezea
7 Reactions
35 Replies
4K Views
Heshima kwenu wadau! Naomba kufahamishwa,yu Wapi msanii nguli aliye wahi kuvuna tuzo tatu za kili kwa wakati mmoja? almaarufu 20%?
0 Reactions
23 Replies
4K Views
Muimbaji mashuhuri wa Marekani mtindo wa Hip Hop Chris Brown, yupo Kenya kwa tamasha la muziki mjini Mombasa eneo la pwani. Lakini tukio ambalo halikunukuliwa kwenye kamera limegubika vyombo vya...
0 Reactions
21 Replies
4K Views
Hebu fikiria jinsi Ray C anavyoteseka, lakini hawa bado wanampa dili za nguvu Lord Eyez! Hivi wanaelewa hata waanzilishi wenzake wa Weusi Classic hawamtaki kabisa huyu jamaa? Lord Eyez (wa pili...
2 Reactions
49 Replies
10K Views
Mtoto wa waziri mkuu wa zamani, Fredrick Sumaye , Frank Sumaye amefunga ndoa na Anna Temu kwenye kanisa la Azania Front na sherehe za harusi yake kufanyika Ubungo Plazza zikihudhuriwa na viongozi...
0 Reactions
38 Replies
19K Views
Aisee nimekuja kugundua hii nyimbo ya Salome ina matusi tena ya mwendo kasi Hasa Reyvanny Kwanza anaanza kama anamsifia mwanamke eti "Kioo hakidanganyi mama, umejipodoa umepodoka, mwendo na...
18 Reactions
117 Replies
37K Views
Maneno mengi sana yamesemwa kuhusu kiasi cha fedha alichonacho Naseeb Abdul a.k.a Diamond Platnumz na vile vile unaweza kumuita Chibu Dangote au Baba Tiffah, na wengine kufikia hatua ya kusema...
5 Reactions
31 Replies
11K Views
Wakuu niaje..... Tupi huku Mombasa......Kenya..... Leo tupo huku Mombasa kwanye shoo ya kihistoria...... Chris brow kutoka Usa amekuja kufanya show ya kihistoria ..... Kikubwa zaid atapanda...
3 Reactions
88 Replies
12K Views
Leo Oktoba 7 ni kumbukumbu ya siku ya kuzaliwa ya Rais Mstaafu wa awamu ya nne, Dkt Jakaya Mrisho Kikwete. Alizaliwa Oktoba 7, 1950. Amekuwa madarakani kuanzia tarehe 21 Disemba 2005 hadi tarehe 5...
20 Reactions
190 Replies
24K Views
1. Nikki wa Pili amejinadi kuwa hajawahi kufeli toka aanze kusoma 2. Nikki wa Pili anasema yeye anasoma sana vitabu SASA -Alikuwa anafaulu vipi mtu ambaye hajui hata kuandika spelling za neno...
5 Reactions
31 Replies
5K Views
MSANII WA MIONDOKO YA HIPHOP TANZANIA ONETHEINCREDIBLE AWAKALIBISHA KWENYE BIRTHDAY YAKE KWA FREESTYLE MATATA.... FREE STYLE NYENGINE AKAWADISI NA WEUSI BUMKUBA
3 Reactions
28 Replies
10K Views
Wadau wa muziki wa Bongofleva, Nadhani wote mnaelewa kuhusu ushindani unaoendelea kati ya wanamuziki machachari kabisa nchini.. Katika pitapita zangu kwenye mitandao ya kijamii nimeona meneja...
2 Reactions
48 Replies
5K Views
Back
Top Bottom