Malkia wa filamu Wema Sepetu amelikimbia jiji la Dar es salaam na kuamua kuanzisha makazi mapya mkoani Arusha kama alivyodai yeye mwenyewe.
Mwigizaji huyo ambaye kwa sasa yupo mkoani Arusha...
yupo jijini Los Angeles, Marekani ambako tayari ameshoot video ya wimbo Marry You aliomshirikisha Ne-Yo, amekutana na mmoja wa mastaa maarufu sana Marekani. Amekutana na mchekeshaji na muigizaji...
Huyu bwana mdogo ni msanii mkubwa kabisa kibongo bongo na kiafrika but kitu kimoja tu ananiacha hoi ni vile kupenda kupiga picha na mastar wa mbele. Sijui anaonaga sifa?
Mimi kwangu naona kama...
Huwa napenda sana kuangalia kipindi cha FNL pale EATV ..but huwa nakereka sana na makele anayopiga huyu dj wanamuita dj OMMY CRAZY.bqdala ya kuacha watu wasikikize wimbo ..yeye kutwa anapiga...
Watalamu wa lugha na imani mtakuwa pamoja na miye
Jambo ambalo shilole analifanya kwa sasa inaonekana kama utani ila kwa mtu anayejifunza kingereza au aliyejifunza kingereza anaweza kuwa shahidi...
Screenshots za Whatsapp zinazoonesha ushahidi kuwa Ali Kiba alilala na demu maarufu mjini Mombasa, Kenya anayejulikana kwa jina Rahima zinaendelea kusambaa katika mitandao ya kijamii.
Demu huyo...
Namkumbuka Nurueli katika kibao chake cha awali sana cha Mng'aro wa silva. Ule wimbo hadi kesho ni classic. Nikamsikia tena katika wimbo wa kilio, akimlilia baba yake. Nikaja tena kumsikia akiwa...
Ali kiba ametoa wito kwa watanzania wamuombee ili aweze fanikiwa kupata nomination yke ya kwanza kwny tuzo za mtv mama 2016 hata kwenye kipengele cha msanii chipukizi kwani hajawahi pata bahati ya...
Hivi kuna wapenzi wengine wa Nyota Ndogo humu jamvini?
Nampenda sana huyu mdada kutoka Mvita.
Nampenda kuhusu mengi [ila msiniulize mengi yepi...jiongezeni wenyewe].
Anaonekana ni mdada...
Baada ya lile bifu la siku nyingi kati ya rapa kutoka mwanza Fareed kubanda a.k.a Fid Q na msanii mwenzake Rado kutoka lebel ya Kiraka Rado,hatimaye Fid Q amekiri kuwa Rado ni msanii pekee...
Safari ya msanii Belle 9 kuitembelea label ya WCB amejifunza vitu vingi na kupata nafasi ya kusikiliza baadhi ya kazi mpya za Diamond Platnumz ambazo bado hazijatoka hewani.
Sasa leo August 30...
Wimbo wake wa kwanza wa amadai kabla hajaanza mahusiano na shilole(shishi baby) ulikua ni omario ambao alizungumzia jinsi ambavyo analelewa na mwanamke.
Na katika nyimbo aliomba mwanamke...
Msanii mkongwe wa muziki kutoka Morogoro, Afande Sele amedai anashikiliwa na jeshi la polisi mkoani Morogoro kwa madai anagawa pesa kwa watu ili kuwashawishi wajitokeze katika maandamano ya UKUTA...
Mtangazaji wa Clouds FM, Diva amesema nyimbo zake pamoja na za mtangazaji mwenzake, Adam Mchomvu zinabaniwa na redio zingine, kitu ambacho anaona si sawa.
Anasema redio za mikoani ndizo zimekuwa...
Hivi shilole kwanini anapenda kuwachukua vijana wadogo?
Ni kwamba wanamfurahisha zaidi kitandani au sababu anaweza kuwamudu kwa kuwapiga makofi? Kama ilivyo kwa Madee mpaka akamkana demu wake wa...
Mwanariadha wa Jamaica, Usain Bolt (30) ameingia kwenye kashfa baada ya picha zake kadhaa akiwa na mwanafunzi wa kike wa Rio wa miaka 20 kusambaa mtandaoni.
Mwanafunzi huyo ambaye ametambulika...
Msanii mkongwe wa muziki kutoka Morogoro, Afande Sele amedai anashikiliwa na jeshi la polisi mkoani Morogoro kwa madai anagawa pesa kwa watu ili kuwashawishi wajitokeze katika maandamano ya UKUTA...