Kiki ndio kila kitu hapa mjini, wasanii na watu wengi hapa Bongo wamekua maarufu kutokana na Kiki au Skendo zinazosambazwa kuwahusu wao. Wapo waliofanikiwa hadi maisha yao kua mazuri kutokana na...
Msanii maarufu wa miondoko ya kufoka/kurapu Rashid Abdallah Makwiro al maarufu kama CHID BENZ amejiunga rasmi katika lebo ya Wasafi Classic Baby WCB mchana Iliyo chini ya mwanamuziki machachari...
Baada ya kupost picha akiwa na Mwana FA baada ya kuoa na kuandika maneno yanayoashiria naye hivi karibuni atafuata nyayo za Mwana Fa, Dully Sykes ameruka viunzi na kusema hana mpango wa kuvuta...
Staa wa sinema za Kibongo, Wastara Juma amenasa ujauzito.
Ujauzito huo ni wa aliyekuwa mumewe, Sadifa Juma, mbunge wa Jimbo la Donge, Visiwani Zanzibar ambapo kitendo cha mimba hiyo kuwa ya...
Video iliyowekwa na TMZ imemuonesha staa huyo akitoka kwenye hoteli aliyokuwa amefikia na kukutana na mtu aliyeonekana kumrushia ngumi nyepesi. Bieber alicharuka na kuanza kumrushia makonde jamaa...
Nipo hapa naangalia mechi ya Tanzania vs Misri, nikaamua kubadili channel na kuweka Clouds ndio nakutana na tamasha la wala chips Dar linafanyika Mbagala zakheem
Maana ya hii siku ni nin...
Wakuu, poleni na mfungo.
Kama mtakumbuka, siku chache zilizopita nilitoa angalizo kuwa matumizi mabaya ya fedha ya kijana wetu Diamond yanaweza kupelekea nyota huyu kufilisika na kujikuta...
Habari wanajamvi?
Tofauti kati mwanadamu na viumbe wengine ni kuwa na ubongo unaoweza kupambanua mambo.
Nimpongeze sana msanii wa kizazi kipya anaejulikana kama Diamond Platnums kwa kuwa balozi...
Huwa najaribu kusikiliza na kutazama kazi mbalimbali za wasanii hapa Bongo lakini nimegundua kabisa kuna wasanii wengi wanaokuzwa kuliko uwezo wao, na mmojawapo ni Ali Kiba
Huyu bwana mdogo...
Mama yake Wema Sepetu, Mariam Sepetu amefunguka na kueleza jinsi anavyoumizwa na stori
za uongo kuhusu mwanae ambazo zimekuwa zikiandikwa katika magazeti ya udaku. Akizungumza katika kipindi cha...
TMM = Too Much Money, pia amtambulisha mtoto wake kuwa ni mcheza tenis bora wa baadaye. Msanii huyu mwenye fedha nyingi anasapoti sana watoto wake kwa kuwapa michongo kwenye kampuni zake mwenyewe.
Taarifa zilizopo ni kwamba Mwana FA leo anachukua jiko. Hongera sana Hamis tunaomba utoe nyimbo nyingine sasa ya kusema umeshaoa no bado nipo nipo no more.
Mwanamuziki Christina Grimmie, amepigwa risasi na kufariki katika tamasha Orlando Marekani, muuaji pia amejiua.
Huyu dogo wamemuua Mapema aisee..wangemuachaacha kidogo. Sijui kwa nini vizuri...
Miezi michache baada ya wanandoa Judith Wambura Mbibo ‘Jide’ na Gardner Gabriel Fikirini Habash kutalikiana kwenye Mahakama ya Mwanzo Manzese Sinza jijini Dar, mwanaume huyo amemuanika ‘mtu wake’...
Kufuatia video aliyoipost mtangazaji Diva kwenye mtandao aliyokuwa akidendeka live na mpenzi wake GK, Diva amefunguka kuwa hayo ni maisha yake na kitu kinachompa furaha mno.
Diva ameenda mbali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.