Jamaa alitupia $100,000 mkekani kwa finals za Golden states warriors vs Cleveland Cavaliers na kujinyakulia $190,909.Ambapo mpaka sasa ni 3-1 ikiwa GSW game 4 wameshinda 108-97.
Kwa sasa Ali Kiba anafanya ziara katika vituo mbalimbali vya Radio na wiki iliyoisha alikua TBC FM akifanya mahojiano na D Jaro Arungu na Baghdad. Katika Interview hiyo alielezea mambo mengi sana...
Akiwa kwenye kipindi cha Friday Night Live cha EATV, Diamond Platnuzm amesema kitendo alichofanya Wema kupost kazi zake anadhani Wema Sepetu ameanza kumkubali kimya kimya na ameona labda hakuna...
Wote tuna fahamu kwamba kwa Muda mrefu kwamba Blue pamoja na wasanii wengine wa awali wamekua wakipwaya katika game la Bongo flava licha ya kuachia ngoma mara kwa mara.
Je, Mboga Saba ndio ngoma...
Chidi Benz alitabiri mbele ya Diamond Platnumz (wakati bado underground) kuwa angekuja kuwa msanii mkubwa.
Hata hivyo maneno muhimu ambayo rapper huyo alimwambia Diamond ni kuwa asije kunywa...
Moja ya watangazaji wenye uwezo mkubwa ni Emmanuel buhohela wa itv.alikuwa akimudu vema kipindi cha dakika 45.na katika kampeni za uraisi octoba alikuwa akiambatana na rais magufuli wakati wa...
Ni mara chache sana unakutana na msanii na anakubali kua lugha ya kiingereza inampiga chenga. Nakumbuka msanii AY alikubali kua miaka kama 13 nyuma hakua akiiongea kugha hiyo kwa ufasaha lakini...
Nay Wa mitego amekua akihusishwa sana na Freemason, hii ishu haijaanza leo imeanza toka kitambo. Hii ni kuanzia alama ambazo mara nyingi amekua akizionyesha katika video zake na hata namba za gari...
Msanii wa Bongo Fleva, David Genzi ‘Young D’ amejikuta mikononi mwa askari wa Kituo cha Polisi Urafiki, Ubungo jijini Dar kwa madai ya kuharibu simu na kushambulia mwili.
Habari toka kituoni hapo...
Mwanamuziki Diamond amethibitisha habari kuwa amemuandalia mwanaye Tiffeh Birthday kubwa ya kukata na shoka, itakayofanyika mlimani City.
Tiffah mwenye umri wa miezi 10, kwa sasa ana followers...
Nimetoka kuitazama video ya wimbo mpya wa Mkongwe wa Hiphop Bongo, Jumanne Mohammed Mchopanga aka Jay Mo. Nitasema machache.
Mule ndani, pamoja na mabalaa mengine yaliyofanyika, nimependa jinsi...
Mbunge wa Kawe Halima Mdee amefunguka na kusema kuwa katika wasanii wa bongo anamkubali zaidi Roma Mkatoliki kuliko Diamond na Alikiba kwa kuwa wawili hao wote ni waimba mapenzi tu pamoja na...
Diamond Platnumz ni miongoni mwa mastaa ambao wataathirika na bajeti ya 2016/17. Kwani wamiliki wa magari wanaotaka kusajili namba binafsi kama kuweka majina yao, sasa watalipa Sh10 milioni badala...
Msanii wa filamu Bongo, Baby Madaha amesema kuwa na mpenzi mwenye umri mdogo kwake haoni kama kuna faida yoyote.
Wasanii wa kike wa filamu Bongo wameonekana kuanzisha style mpya kwa kuwateka...
They came along and set the trend for other artistes, they entertained us, others inspired us plus many other marvelous things that the East African music industry shall live to celebrate.
Some...
Naye Wolper alipost picha akiwa na mama mkwe na kuandika: I am having the best time of my life.. Nikiwa na Mama angu… Kabla hamjatoka lazima mpige story, akuchekeshe… Mjipikilishe.. Akushauri
Hapa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.