Ni mchezo upi huo? Usemi huu ulianza baada ya EFM kuwapora watangazaji wawili wa Clouds FM, Gerald Hando na Paul James kabla ya wao nao kuporwa mtangazaji wao, Gardiner G Habash.
Na sasa movie...
Baada ya msanii wa Bongo fleva Snura Mushi kufunguka kuwa hajawahi na hafikirii kutoka na msanii wa Bongo Fleva Pasha amuumbua.
Akizungumza na Enewz Pasha alisema kuwa yeye alishawahi kuwa na...
msanii Belly ametoa video yake inayoitwa Zanzibar. kama kweli BASATA wanafanya kazi kihalali basi hii video haitapigwa Tz ila kama nao wanafungia tu mavideo kupata kiki kwenye media basi waiache.
Ile channel maarufu ulimwenguni kwa habari moto moto za wasanii wakubwa Marekani E! kinatarajia kumuonyesha Diamond Platinumz na wasanii wengine wakubwa wa Africa kama Mafikizolo, Wizkid, D'banj...
Naam salama humu?
Iko hivi.Mimi ni mfuatiliaji wa entertainment hapa bongo. Ila hili swali nimekuwa nikilikosea jibu lake.Je chanzo nn? Pesa, mziki, umaarufu, au kuna mtu kala za chembe (mtaani...
Msanii Noorah amefiwa na mkewe kwa ugonjwa wa kifua kilichombana hadi kuwekewa oxygen.
Wakati huo huo Noorah mwenyewe anaumwa kichwa yupo kwao Shinganya kwa uangalizi maalum.
Rip Shem.
Msanii wa muziki kutoka Tip Top Connection Madee amefunguka na kueleza ni kwanini wasanii wengi wa muziki wa Hip Hop nchini wanashindwa kufanya vizuri licha ya nyimbo zao kupendwa mitaani...
Leo na ni muda huu yupo Clouds Fm kwenye XXL anafanya mahojiano,nimeshangaa kumsikia jamaa anasema "Ujue mimi nina watoto watatu wa mama tofauti".
Kumbe wenye watoto wengi na kila mtoto na mama...
Msanii wa filamu nchini Elizabeth Michael almaarufu kama Lulu amefunguka na kusema kama wasanii wa filamu nchini wana wakati mgumu kutokana na changamoto mbalimbali zinazoikabili tasnia hiyo ya...
Habari za uhakika zilizotufikia ni kwamba mwanamuziki wa bongo flava hapa nchini Baraka De Prince amemtambulisha rasmi mke wake mtarajiwa Najma kwa wazazi wake huko jiji Mwanza.
Hongera Baraka...
Binti machozi alitoa siku saba kwa aliyekuwa mwandani wake kumuomba radhi hadharani vinginevyo sheria itachukua mkondo.
Mdau aliyepata kilichojili baada ya siku saba kupita hebu tujuze nini...
Yule nguli wa muziki kutoka mji kasoro bahari, Mfalme pekee wa rhymes, anayependa kujiita simba dume, Selemani Msindi au Afande Sele ameama kuachana na uisilamu na sasa Mungu wake ni jua
Amedai...
Wakazi wa kanda ya ziwa mko tayari!, Vodacom inakuletea tamasha la aina yake tarehe 21 May 2016 - Jembeka Festival litakalofanyikauwanja wa CCM-Kirumba.
Wasanii wa filamu wanaounda kampuni ya RJ Company, Brandina Chagula ‘Johari’ na Vincent Kigosi ‘Ray’ wanajiapanga kuingia kwenye biashara ya kuandaa tamthilia ambazo zitakuwa zinaonyeshwa katika...
Ni karibu wiki moja sasa toka Ali Kiba atoe wimbo mpya Aje. Lakini cha kushangaza wimbo umezinduliwa nje ya nchi na unachezwa huko karibu wiki nzima huku washabiki wake wa bongo wakiendelea...