Kwa habari nilizopenyezewa Dodoma kumetokea hali ya kutisha baada ya Diamond kupanda jukwaani na mashabiki kuchanganyikiwa na kuanza kukanyagana.
Naambiwa watu walikuwa wengi sana kwenye show...
Ilinichukua muda kiasi kumuelewa huyu chalii, si uongo. Kwa upande wangu Mshkaji hana mpinzani kwa hawa kizazi kipya. He got the contents, techniques to deliver, determination, genuine intent, and...
LICHA ya tetesi kuzagaa kuwa Wema amerudiana na mpenzi wake, Idris Sultan, mtoto mzuri Bongo Muvi, Wema Sepetu amedaiwa bado anaendeleza uhusiano wa siri na staa wa Bongo Fleva, Omar Nyembo ‘Ommy...
Staa wa Bongo Movie, Wastara Juma ambaye siku za karibuni aliomba talaka kutoka kwa mume wake amefunguka na kusema yeye sio mtu wa kujiuza, bali ni mtu ambaye anajijali na kujitunza.
Wastara...
Hii ngoma kiukwel ni hatar mno na kideo chake ni balaaa tupu.....Big Up Baba Qaillah!....Naona Jamaa katumia mkwanja mrefu sana kuandaa video ya wimbo huu ila ninachojiuliza hii kaz itamlipa vip...
Imekuwa kawaida sana Ali kiba Kabla ya kutoa nyimbo zake huvuja mapema,Amepanga kuitoa Nyimbo yake mpya ya Aje kesho pamoja na video yake ikiianzia Mtv lakini bahati mbaya nyimbo tayari watu...
Ni wasanii wenye sauti na Melody nzuri ...baadhi ya nyimbo zao
BANANA ZORRO
1.mama
2.Pressure
3.Nzela
4.Zoba
CHRISTIAN BELLA
1.Mama
2.nakuhitaji
3.msaliti
4.nashindwa
Nani zaidi??
DJ Khaled anafahamika kwa kuwa mtu anayeongea sana lakini si pale anapokuwa mbele ya Beyonce.
Mkali huyo anazunguka na Queen Bey kwenye ziara yake ya Formation.
Ameliambia gazeti la The New York...
"Hapa ndipo palikuwa nyumbani kwetu Tandale nilipozaliwa kulelewa na kujifunzia Muziki hadi leo kufikia hapa.... napaHeshimu, Napapenda, napathamini na Daima hata niende wapi lazima nirudi maana...
Msanii wa anayetikisa kwa sasa Dar ya Makonda Gigy Money amefunguka leo kwenye Planet bongo ya East Africa radio kwamba ameshatembea na Ali Kiba, Rich Mavoko na Hemed PhD kwa nyakati tofauti na...
kiukweli kijana wetu katsha sn n baada ya kutua bungen na kushangiliwa na wabunge wa pande zote mbili bila kujali itikadi ya vyama vyao... nafkir ndio msanii wa kwnz nchin kupata mapokez ya nguvu...
Anauliza huyu bint mrembo Irene Uwoya yuko wapi kwa sasa??
Au ndio yuko bize kujipanga na Ile ubunge tuliotangaziwa na 'bonge la bwana ' pale uwanja wa taifa..??
Aisee hii hata mimi nilipitwa nayo ama kweli mimi mapenzi basi nimeyavulia Shati akuu mapenzi sio ubondia bora nijitoe
Leo akihojiwa na Diva clouds Fm Mziwanda amekiri kuwa Madee alitembea na...
Binti wa miaka 19 anadaiwa kuspend one night on the same bed na Hayati Papa Wemba amekua gumzo kwenye mitandao ya kijamii ndani na nje ya Congo(D.R.C) akidai kuwa na ujauzito wa Mfalme huyo wa...
Video Queen na msanii wa filamu Tanzania, Gift Stanford ‘Gigy Money’ ameweka wazi kuwa yupo tayari kucheza picha za ngono endapo atapata mshiko wa maana.
Gigy amesema kwa kuwa anatafuta fedha ya...
Picha ya Gigy Money na Mtangazaji Gadner G Habash Yazua Utata....
Mrembo Gigy Money Anaesifika kwa Bongeo la t***o Bongo ameweka picha kwenye page yake ya Instagram na kuandika maneno haya...
Hali inaonekana sio shwari kabisa kwenye family ya nguli wa music tanzania. Kimbunga kikali Kilichosababishwa na mapenzi ya wawili (zari na diamond )kinaonekana kikiipiga vilivyo familia hii na...
Nguli wa muziki AY tunajua umeachia wimbo remix na superstar wa sasa Diamond platnumz, tunaomba utumie nafasi hiyo kuwakutanisha hao wadogo zako Diamond na mtaalam wa melody Alikiba ili...