Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Habari zenu wakuu. Tasnia ya muziki inakuwa TZ na namna ya wasanii wetu kuingiza kipato inapanuka zaidi, kwani kwa sasa makampuni yameweza kuwaamini wasanii kuwa wanaweza wakawa ni njia mojawapo...
2 Reactions
16 Replies
3K Views
Habari wanajamvi, mimi ni mdau mpya katika uwanja huu, huwa ninafuatilia yanayoendelea hapa kila ninapopata nafasi (mara nyingi hua ninasafiri ndani na nje ya nchi) nimejifunza mengi hapa. Nina...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Sakata la wimbo wake kuibwa na Mbunge wa Bunge la Muungano ni sehemu ndogo tu ya madhila yaliyowahi kumkuta msanii huyu mkongwe kwenye Bongo Fleva. Miezi kadhaa nyuma aliwahi kuporwa...
1 Reactions
25 Replies
5K Views
Mnajua kuwa inasemekana kuwa Tunda Man hakuwepo kwenye ile ajali iliyotokea hivi karibuni? Kama alikuwepo inawezekanaje apone ikiwa hajafunga mkanda na waliofunga wameumia na kulazwa? Iweje...
0 Reactions
25 Replies
6K Views
Wakuu, Nashawishika kuomba nisaidiwe na wanajamvi kuhusu msanii huyu wa Bongo movies ambaye habari zimekuwa zikienea kuwa ni actor mzuri wa picha za wakubwa (porn movies). Kwa yeyote...
1 Reactions
20 Replies
10K Views
Wakuu huyu jamaa nimekuwa nikimsikia tu juu, mara picha za warembo, anaimba anaigiza ila ningependa kumjua kiundani kwa wanaomjua, ni nani hasa Manaiki Sanga?
0 Reactions
4 Replies
7K Views
[URL="http://3.bp.blogspot.com/-JHx-7TSzUHE/VQ7dBD69WSI/AAAAAAAAA-A/eJWvRRbiBRk/s16"][/
0 Reactions
90 Replies
18K Views
Mida hii naona breaking news kwenye ma news networks....RIP Prince, age 57 Update!! kafa sababu ya drug overdose, ile flu ni changa la macho ===================== Prince died earlier today...
5 Reactions
62 Replies
12K Views
Tangu utokee ugomvi wa kundi maarufu africa psquare kumesababisha huzuni miongoni wa mshabiki wao. Kila mmoja peter na paul wamekuwa wakifanya project binafsi. Hata baada ya kupatana hakuna...
2 Reactions
69 Replies
15K Views
Wengi wenu mmekuwa mkimsikia mtangazaji huyu mkongwe wa DW na mkijiuliza ni mwanaume au mwanamke. Ukweli ni kuwa Oumilkheir ni mwana mama na picha yake ndio hiyo hapo juu.Ni raia wa Comoro na...
11 Reactions
61 Replies
23K Views
Babu yake Wastara amefunguka na kueleza kilichosababisha kuvunjia kwa ndoa ya Wastara na Mbunge wa Donge kupitia CCM Sadifa Khamis Juma. Akizungumza na Times Fm, Babu huyo aliweka bayana kuwa...
2 Reactions
26 Replies
9K Views
Baada ya kuwa na sintofahamu tangu wasikike kwenye kipindi cha Power Breakfast tarehe 1 mwezi huu, habari za ndani kabisa toka Mawingu Fm zinadai Mtangazaji mwenye uwezo mkubwa wa kufikiri na...
2 Reactions
55 Replies
10K Views
Huyu ni msanii mwenye kibao kikali kinachobamba cha Sweety Sweety, Chege Chigunda au mtoto wa mama Said, hapo pichani anaringishia misuli yake ya mikono kama unavyoona
0 Reactions
13 Replies
5K Views
Well done Diamond umetuwakilisha vizuri saaana. Kuna rafiki zangu wa South Africa nimewasiliana nao leo wamemsifia sana Diamond. Kweli nimefarijika: Diamond you make us very proud. Umeipaisha...
7 Reactions
6 Replies
3K Views
Mrembo anayefanya poa kwenye video za wasanii wa Bongo kama video model Gigy Money, amempa za uso msanii Ney wa Mitego na kumuita mpumbavu asiyejitambua ni nani, baada ya kumtapeli pesa yake...
2 Reactions
58 Replies
14K Views
kwanza I love this guy. Very handsome. Lovely accent. Sauti Sasa! Kama hiyo haitoshi ona hii how hot is this man right now! Amebarikiwa baby anayekula kazi ya mikono yake. Baby mwenyewe...
7 Reactions
114 Replies
27K Views
Msanii alikiba aka King Kiba amerudi tena kwenye spika zako sasa hivi akishirikishwa na msanii Nuh Mzuwanda kwenye nyimbo mpya inayoitwa "Jike Shupa". Wachambuzi wa mambo wanasema itakuwa colabo...
2 Reactions
25 Replies
12K Views
Mahakama kuu ya mkoani Mwanza imemuhukumu Siwema ambaye ni mzazi mwenzake na Nay Wamitego miaka miwili jela kwa kesi ya kumtukana mtu kwa njia ya mtandao. Siwema alituhumiwa kumtukana matusi kwa...
1 Reactions
48 Replies
9K Views
Jamaa kweli katoka mbali! uploaded by John Kitime/youtube
2 Reactions
11 Replies
5K Views
Ali Kiba ni Msanii anae kumbwa sana na kurushiwa Maneno kuwa ana Dharau sana! Hii inatokana na vitu anavyo fanya! Sina uhakika kama ni kweli anadharau au vipi Akiwa na Followers Million 1 huku...
7 Reactions
28 Replies
7K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…