Hivi msanii kama tunda kudanganya umma kama ulikua kwenye gari iliyopata ajali unamaana gani? ona sasa umeumbuka kijana aliyekua na marehemu kasema yeye ndo alikua ndani ya gari na wewe ulikua...
Msanii mkongwe wa muziki, Dudu Baya, amesema hawezi muomba msamaha Chidi Benz kutokana na kauli yake ‘acha afe’ ambayo aliitoa baada ya rapa huyo kuzidiwa na matumizi ya Madawa ya kulevya na...
12:25 PM PT -- The Sheriff's department says Prince was found in an elevator at Paisley Park. They performed CPR, but were unable to revive him. He was pronounced dead on the scene at 10:07 AM...
Mzee Yussuf ni miongoni mwa wasanii ambao hawaamini kama Diamond na Ali Kiba wana beef kutokana na wawili hao kutokutana pamoja na kuonyesha tofauti zao.
Akizungumza Jumamosi hii, Mzee Yussuf...
Najiulizaga sana hivi ni kwanini unga cocaine hutumiwa na wasanii wengi sana majuu lakini bado wapo fiti labda kwa zamani ndo kina whitney houston na bobby brown ndo waliharibikiwa, ila ukija...
Msanii wa filamu Wastara Juma amefunguka na kuzungumzia kuvunjika kwa ndoa yake na Mbunge wa Donge kupitia CCM Sadifa Khamis Juma ambayo imeduku kwa kakribani miezi 3.
Akizungumza na Bongo5 hivi...
Msanii wa filamu kutoka nchini Marekani, Eddie Murphy na mchumba wake, ambaye ni mwanamitindo Paige Butcher, wanatarajia kupata mtoto hivi karibuni atakayefikisha idadi ya watoto tisa wa msanii...
Chris Brown amesema alitaka kujiua baada ya kumshambulia aliyekuwa mpenziwe Rihanna kabla ya tuzo za Grammy mwaka 2009.
Katika kipande kifupi cha makala yake ya ‘Karibu katika maisha...
Inasmekana alimbaka mdada wakibongo aishie sweden anaitwa Deborah
ukiingia insta page ya dougiemasta20 utaona hadio ushahidi wa police report na inasemekana sweden embassy ya tz washataarifiwa...
Nimeona picha ya Wema katika blog ya Michuzi na movie clip katika blog ya dj fetty kwa kweli nimesikitishwa sana na nilichokiona.....!! maadili yetu watanzania hayaturuhusu kukaa ****** wazi...
Hivi huyu dada aliwaza nini kuitaja Kenya katika nyimbo yake ya Na Gode aliyo iimba kwa kiswahili kwa hiyo aliona akiitaja Tanzania Hii nyimbo haita hit sana au? Watu wengine wanaboa sana...
Japo naishi Mwanza lakini na - declare interest kwamba mimi ni mwanaume wa Dar kwa sababu ndo wazazi wangu wanapoishi na ndiyo nilipokulia.
Huyu mtangazaji wa Clouds Fm kwenye kipindi cha XXL...
Anaitwa Swabrina Ghalibu huyu atakuwa ni msichana wa kwanza kabisa kufanya kazi Mortuary akiwa na Umri mdogo ana Miaka 19
Atakuwa anatunza miili ya binadamu Mortuary na kuifanyia kila Taratibu...
Mkurugenzi wa bendi ya fungakazi modern taarab kapteni abdalla temba wamejikuta wakichambana na mkurugenzi wa bongo modern taarab anayejiita senior bachelor
Hii imetokea baada ya senior bachelor...
Habari zenu, kama ilivyozoeleka wasanii hupendelea kutafuta location nzuri kwa ajili ya ubora wa kaz zao. Miongoni ya vivutio ndan ya jiji la Dar ni daraja la Kigamboni.
Mi natabiri Diamond...
Unanishangaza wewe ni meneja wa wanamuziki wengi tu kama Madee, Tundaman, Shaa na Dogo janja.
Inakuwaje Diamond peke yake ndio unampromote sana kuanzia ubora wa video show kumtafutia nje mpaka...
Steve C Kanumba (R.I.P) ni jina lake halisi ambalo alivuma nalo, ni wasanii wachache sana wanaoweza kutokea kwa mtindo huu, hata yule aliyekuwa naye usiku wa mauti yake anajulikana kwa jina lisilo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.