Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Kama inavyojieleza
1 Reactions
35 Replies
7K Views
Niaje wakuu, Bila shaka kwa wale wapenzi wa hiphop mnaielewa vizuri hii ngoma ya stamina alioshirikisha vichwa kibao ambapo Fid a.k.a kaka mkubwa amesimama kama dingi yake stamina. Swali ni kwamba...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Bandugu, Kuna hii jingle ya Cocacola iliyofanywa na msanii Diamond Platnumz naisikia mara kwa mara kwenye vituo vya redio. Ameimba kwa Kiswahili, sijakariri maneno ila yapo, 'Sikamatikiii...
0 Reactions
20 Replies
27K Views
Hii redio ndio maaana waligombana na wasanii fulani hivi kuna siku walifanya interview na msanii wa miziki ya kufokafoka a.k.a Hip Hop/Rap anaitwa Mansuli yaani wamefanya dakika 5 basi ikaishia...
3 Reactions
24 Replies
10K Views
Angel Benard - Salama (Official Video):
1 Reactions
2 Replies
3K Views
Collabo ya Diamond na Mafiizolo ambayo inatoka hivi aribuni mwezi huu inategemewa kumfikisha mbali zaidi Diamond. Kwa mtazamo wangu hii video na wimbo kwa ujumla itaweka rekodi mpya ya views...
1 Reactions
32 Replies
6K Views
Staa wa muziki wa Bongo Fleva Kheri Sameer ambaye wengi tumemzoea kwa jina la Mr Blue, leo April 14 2016 hatimaye ameamua kufunga ndoa na mama wa watoto wake Waheeda. Mr Blue amefunga ndoa na...
3 Reactions
117 Replies
25K Views
Mjasiriamali maarufu mjini , zari amefunguka kuwa masikio yake pamoja na ngozi yake nyororo amerithi kutoka kwa babu yake ambaye ni mwarabu aitwaye sultan
2 Reactions
23 Replies
6K Views
  • Closed
Imenifika hapa.... Naona makampuni mengi Sana apa bongo yanampaparukia msanii mmoja tu kuwa brand ambassador. Hivi wasanii wengne hakuna amekuwa ni Diamond tu kila tangazo inakera sana hii...
8 Reactions
238 Replies
20K Views
Igweeeeee..... Leo katika pitapita zangu nilisikia wimbo flani ulioimbwa na vijana waliovuma miaka ya nyuma, PNC, DOGO JANJA, CASSIM MGANGA, Z-ANTO na PINGU, kawimbo kalikuwa kanamsifia sana...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Huu ndo mjengo na baadhi ya magari anayomiliki mtangazaji wa times FM , Dida Shaibu... ================================ ================================ Monday, August 4, 2014 DIDA WA TIMES FM...
2 Reactions
55 Replies
37K Views
Hawa wasemaji wawili wa Simba na Yanga wana sifa inayofanana,hakuna asiyejua sakata la Jerry Muro aliwai kushitakiwa kwa makosa ya kuombaa rushwa mwaka 2010,na mwaka huohuo 2010 Haji Manara...
1 Reactions
4 Replies
3K Views
Jamani huyu mdada huwa ananiacha hoi jinsi anavyoongea na misemo anayotoa pamoja na anavyorembua macho na mikono anaitingisha kwa madaha mwenzenu niko taabani,mfano juzi nilimsikia akisema...
0 Reactions
73 Replies
45K Views
Aliyekuwa nyota wa filamu za ngono Aliyekuwa nyota wa filamu za ngono Amber Rayne amefariki nyumbani kwake mjini Los Angeles ,maafisa wamethibitisha. Marafiki na waliokuwa wafanyikazi wenzake...
3 Reactions
98 Replies
39K Views
VIDEO: Gardner G. Habash kaonyesha gari lake jipya siku sita baada ya mkataba mpya:
3 Reactions
102 Replies
12K Views
Mshindi wa big brother Idris Sultan amesajiliwa rasmi kuwa mtangazaji wa kituo cha Choice Fm. Hiyo ni ajira mpya kwa kijana huwa atakuwa anatangaza kipindi cha hard drive kinachoruka saa 12...
3 Reactions
186 Replies
29K Views
Habari za jioni wana JF? Kuna mtangazaji wa 100.5 Times Fm anaitwa Dida. Huyu dada ana mtoto anaitwa Samira, mtoto huyu Samira kazaa na nani?
1 Reactions
35 Replies
20K Views
Mastaa wengi wa Bongo wamekuwa wakiahidi vitu vingi kwa mashabiki wao lakini vitu hivyo vinakuwa vinapotea hewani bila ya kutekelezeka. ‘Ahadi ni deni’, watu wengi wanakuwa wanasahau maneno ambayo...
3 Reactions
31 Replies
6K Views
Lady Jaydee rasmi E. fm atakuwa mtangazaji mahiri anarudi kwa kasi hawa E. fm wamedhamiria kuleta mapinduz halisi
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Bongo Star Search ni shindano pekee kwa Tanzania la kusaka vipaji kwa vijana wenye uwezo wa kuimba. Madam Rita kupitia kampuni yake ya Benchmark Production alikuwa na malengo mazuri ya...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Back
Top Bottom