Jaman Kuna Post Nilileta Hapa Kuhusu Huyu Homeboy Belle 9 Kutojenga Nyumba Ya Wazazi Wake!!! Kiukwel Post Imesaidia Naona Kaleta Mchanga Tayari Na Tofali Na Kaanza Kujenga! Thanx Jf Now Nimegundua...
Mbunge wa Mbeya Mjini Joseph Mbilinyi "Sugu" ameamua kutii kiu ya mashabiki wake wa mziki wa "kufokafoka" kwa kutoka na Wimbo mpya wa "Freedom".Wimbo huo wenye mahadhi ya hip hop umerekodiwa na...
Huyu jamaa ni full majungu na ni fisadi kiaina.
Kada wa CCM. Mtumishi wa Benki Kuu. Amevuruga kampuni waliyoanzisha watu wanne kiasi kwamba sasa ina hali mbaya. Wahindi wameipiga bao. Kupewa...
(Can you try to guess the name of our Reality Show?)
(Muda si mwingi kipindi cha Maisha yangu ya kila siku,Familia na Team yangu nzima itaanza kuwa kwa TV yako pendwa...nakuahidi sio tu eti...
Habari wakuu.
Dah nimeona hizi picha za ray c zimenisikitisha sana hivi hii kitu ina nini mbona inakuwa ngumu kuacha ...daaah maskini Ray C[emoji26] [emoji26]
Roma Mkatoliki,msanii maarufu wa hiphop Tanzania hatimaye ameamua kufunga ndoa rasmi na mpenzi wake wa longtime ambaye wana mtoto pamoja (Ivan) April 9 2016. Ndoa hio imefungwa nyumbani Tanga na...
Nguli la mitandao ya kijamii Afrika na balozi wa salama kondom Tanzania ametua jijini Nairobi.
Baada ya kufika tu Nairobi ameshangazwa sana na tabia ya wakenya ya kumshobokea huku wengine...
Hivi ni kweli kabisa DJ Majey ndiye boss wa E. fm au? Yani jamaa kutoka kwenye u DJ hadi kuwa mkurungenzi wa kituo kinachokuja kwa kasi ya kimbunga pia kufanya usajili wa kutisha hongera broo sana.
Kwa niaba ya wanaume wenzangu wa Dar, naandika kwa huzuni na masononeko hii habari yako kaka Nasibu. Nikiwa ni moja wa shabiki zako toka enzi zile za Kamwambie, nimekuwa si mtu wa kuingia wala...
Nimesikia sasa ile nafasi ya ya Sebastian Maganga, Meneja vipindi wa Clouds Fm Ruge amempa muhaya mwenzake Shaffih Dauda.
Ina maana Sebastian Maganga wamemtimua ama ni vipi?
‘Hii ni imani ambayo nimeifikiria muda mrefu na nikajua lazima niifate, kila mtu ana kitu ambacho anakiamini na kwangu naamini moto ndio kila kitu kwenye maisha, kama maandiko yanavyosema Mungu ni...
Inasemekana Diamond amevunja ndoa ya Baba Qayllah na Mama Qayllah baada ya Diamond kuwa na uhusiano wa siri na huyo mwanamke.
Baada ya Shetta kujua hili alipatwa na hasira, inasemekana alitaka...
KUTOKANA NA KUFATILIA HIP HOP KWANGU KWA MZIKI WA MAHADHI HAYO NCHINI TANZANIA KWA MUDA WOTE NALETA MARAPPER NA WAANDISHI BORA KWA MUDA WOTE :
1. JAY MOE
2. FID Q
3. PR. JAY
4. SUGU
5...
Habari zilizopo chini ya carpet ni kwamba waigizaj classic bongo wenye majina makubwa apa mjini namzungumzia wolper na wema,inasemekana wanajihusisha na biashara haramu ya madawa ya kulevya.kwa...
=================
Huyo jamaa sio Diamond ni kufanana tu, alitokea kwenye afterxul bash 2014 wakati wanatafuta watu waliofanana na mastar na akashinda mtonyo wa kutosha tu..
Hizi ndio picha za...
Huu sio utamaduni wetu.
Mpaka baba mtu kaamua kuwapeleka angalau Ibiza wakapate hata kapiza. Diamond hivyo sio tulivyokulea. umependa boga, penda na maua yake. Ungekuwa wewe ndo mmoja kati ya...
Imevuja! Harakati za kusaka mafanikio na kufika mbali kimuziki zimeibua jipya kati ya wakali wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ na Ali Saleh Kiba ‘King Kiba’ ambapo vita yao imehama...
Kherry Sameer Rajab a.k.a Mr.Blu ni msanii wa Bongo Flava aliyewahi kuHit miaka ya 2003 na nyimbo yake ya Blue Blue na baadae mapozi akiwa na umri mdogo sana.
Ni msanii ambae ameweza kuMaintain...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.