Hakika huyu ni nembo ya Taifa na Afrika Mashariki, anazidi kutuwakilisha vizuri na leo ameshinda tuzo tatu.
-Best Male East Africa
-Best dance in a video- nana) ft. Mr. Flavour
-Artist of the...
Leo ni siku ya kuzaliwa kwa mrembo na miss tanzania wa mwaka 2006
Mungu akubariki Madame uwe na maisha marefu, atimize haja za moyo wako...
Japo kuna kila aina ya mashambulizi yanayoelekezwa...
Kama ulikua hujui nakupenyezea hii taratiiiibu kwamba msaani maarufu A.Y ndie anaekimiliki kile kipindi matata cha MKASI.
Kinachoendeshwa na Salama Jabir.
Ule usemi wa Mwanaume ni Mwanaume tu, Umetimia leo baada ya Makeke yote na Mbwembwe zote za Flora Mbasha Kumuishia na Kujikuta amekua mdogo kama piriton mbele ya Mumewe.
Nikakumbuka ule usemi wa...
Katika pita pita yangu kwenye social media nimeona rundo la mastaa wa tz Marekani nikagundua ni Afrima Awards. .ila nika check nominations nikaona Kiba yuko kwenye category nyingi ..ila sasa...
Makampuni makubwa hayajatangaza kupitia picha za kwanza za Diamond Platnumz, Latiffah hivi hivi. Kwa mujibu wa staa huyo ni ubunifu wake na proposal nzuri ndizo zimeyavutia.
Diamond ameiambia...
Mimi kila nikitaka kusikiliza nyimbo za zamani za bongofleva nasikiliza kile kizazi kilichotamba miaka ya 2000 hadi 2003 hivi, kwa upande wangu ndo naamini kulikuwa na ngoma kali sana, sijui nipo...
Dada Aunti Ezekiel,
Jaribu kuangalia mbele, heshimu wakubwa, Mh. Lowassa ni zaidi ya Baba yako, hustahili hata chembe kumtukana binti. Kumbuka hayo matusi hayana muda mrefu, mwisho wake ni...
Mwanzo nilimuheshimu sana kutokana ukongwe wake na mashairi yake lakini kwa hili kajivunjia heshima kwa kitendo cha kutoa wimbo kwa minajiri ya kumjibu Roma, Viva Roma Viva!
Jamaa kaimba wimbo...
Ni stori ya kisiasa ambayo ilianza kuchukua headlines kwenye mitandao mbalimbali kuhusu wasanii wawili wa Bongo Movies, Aunt Ezekiel na Vicent Kigosiaka Ray kuondoka UKAWA na kuhamia chama cha...
2007-12-16
Na Lulu George, PST Tanga
Waziri mkuu, Bw. Edward Lowassa, amesema amechoshwa na kupokea barua zinazotumwa ofisini kwake zikihusisha malalamiko ya kuwepo kwa vitendo vya ngono kwenye...
Yule video queen,striper Lira Galore aliyedaiwa kutoka na Drake amevishwa pete ya uchumba na Rick Ross, the boss, jamaa '' kichungu ''cha striper kimemchanganya had kafika bei, ila yule demu...
The long wait is over as the parents of Princess Tiffah, Diamond and Zari, unveil the first picture of their baby girl.
Her mother Zari posed her picture on Instagram with the caption, "This is...
No.5: Rapper Birdman, mmoja ya members wa YMCMB. Utajiri wake dola Mil. 150. Mwaka 2014 alikuwa nafasi ya nne kwa utajiri wa dola 160!
No.4: Rapper 50 Cent yuko namba nne, utajiri wake ni dola...
Leo nimezungumza na waziri mmoja kijana sitomtaja jina maana anajua mi niko chama chake na mimi ni mchangiaji mzuri .
Ni kweli wamelipwa million 50 kila mmoja na ilo deal la ushawishi...
Hizi ni tuzo kubwa sana za Nigeria, na kwa wasanii wa nje ya Nigeria huwa kunakuwepo category moja kwa watano bora zaidi.. Icon of the Nation again and again
AFRICAN ARTISTE
A non-Nigerian award...
Msanii wa kizazi kipya Mr.Nice amelazwa ktk dispensary ya Frorida mjini kahama...Ndugu jamaa na marafiki tunaomba msaada wenu kwani hata kula anakula kwa mpira na choo pia anatumia mpira..fika...
Akiwa anafanyiwa interview na Blog Moja nchini Nigeria kama Mtangazaji wa Tanzania anaeanza kutambulika nchini humo aliulizwa kama Negative energy zimewahi Muathiri.
Diva alijibu,
"Negativity...