Habari wazalendo.
Kumbe wale wasanii wawili wa bongo movie Aunt na Ray , ambao walijiondoa UKAWA hawakuwahi kujiandikisha kupiga kura na hawana kadi ya kupiga kura na hawapo katika daftari lolote...
Lile tamasha kubwa la BET Experience ambalo hufanyika L.A, Marekani wakati wa sherehe za utoaji wa tuzo za BET, linatarajiwa kufanyika Afrika kwa mara ya kwanza mwaka huu na kuitwa BET Experience...
Yaani huwezi kumfananisha na activist yeyote. Yaani ukichunguza post zote za siasa alizopost Insta utakubaliana na mimi kwamba ameonesha ubunifu wa hali ya juu na weledi wa kumnadi Lowasa na...
Pamoja na wenyewe kudai hawajui kilichotokea , mastaa wawili wenye sura za mauzo kunako sinema za Kibongo , Elizabeth Michael ‘Lulu ' na Wema Isaac Sepetu, kwa sasa wanadaiwa kufikia pabaya...
wakuu ikitokea tingatinga kashinda uchaguzi mkuu je atakubali zile ziara zisizo na tija yoyote pale magogoni ambazo ufanywa na huyu msanii best kwa wakuu wa kaya, kama afanyavyo sasa kwa mkuu wetu...
Nilikua mfuatiliaji wa mwanamuziki Lady Jay dee but yuko kimya sana hadi watoto wa juzi wanataka kumpita hasa huyu Vanessa Mdee anavyokuja kwa kasi ya ajabu hadi kufikia kuchukua tuzo ya...
Hongera mjomba,kama kweli hukuonekana kutumika kama daraja!
Heshima yako itabakia kuwa juu daima,maana umekwepa meno ya wanasiasa kukutafuna kama muwa na mwisho kukutema ptuuuu!
Njaa...
Jaman wana jf mm naona hii system ya mtu kupata tunzo afu anaalika watu kuja kumpokea mm nahisi ni kama ushamba na ulimbukeni wa mafanikio coz sioni sababu ya kualika watu kuja kkupokea ety kisa...
MBUNGE MTARAJIWA wa Kisarawe kwa tiketi ya CUF, Rashidi Mwinyishehe Mzange atakuwa kwenye Ukumbi wa Günes Theater, Rebstöcker Str. 49d, Jijini Frankfurt kwenye maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa...
Wanabodi,
Naomba kwanza nikiri, sijawahi hata siku moja kutune in Clouds Radio kumsikiliza Diva!, Nilikuwa namuona kama mtangazaji ma..ya fulani, ambaye analegeza sauti yake kiwizi wizi ili...
KUTOKA moyoni! Bila kumtaja mwanaume husika, mwigizaji wa kitambo Bongo, Nuru Nassoro Noraamekiri kuwahi kuingia vitani na staa mwenzake, Blandina Chagula Johari kisa kikiwa ni kugombeapenzi...
Since Tanzanian music star, Diamond Platnumz blew up on the continent, his star power has known no bounds. Giving the Nigerians (who normally dominate the African music scene) a run for their...
Jamani Mnaona Watoto Wa Wakukubwa Wanvyo Rithi Ufisadi,
Hebu Anagalia Ubungo Terminals Ya Mabasi Ilivyochakaaa , Harafu Cha Kushangangaza Ni Kwamaba Kinje Anakula Kuku Tu, Mbabe Yeye Ukimwambia...
Msanii wa kimataifa Wizkid anategemea kufanya show ya kufa mtu siku ya 31 October 2015 show itwayo Wizkid in Dar katika viwanja vya leaders club.
Hii pia ni fursa kwa wasanii wa bongo fleva...
King of Afro pop in Africa and mult winner Artist Alikiba (KingKiba) hatimaye andelea kuonesha uwezo wake na kudhihirisha kuwa yeye ndiyo baba na mama wa mziki mzuri.
Wimbo huu ulioleak unaitwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.