Matokeo ya Tuzo za @KTMA kuanzia Mwaka
2013-2015.
2013-Mwaka wa 20 percent alipata Tuzo 5.
2014-Diamond Platnumz alishinda tuzo saba(7).
2015-Ali Kiba alishinda tuzo 5.
Kwa hiyo inaonekana...
Kiba sikia nikwambie bro kwenye ukweli tutazungumza, ww na diamond wote ni wasanii wazuri ila usijekudanganyika kuambiwa ww ni bora zaidi ya diamond, jamaa kakuacha mbalii sn aseee!
Uliwai...
Ule usiku ulio kuwa Una suburiwa kwa hamu kubwa na wa afrika wote umekaribia nazo ni tunzo za afrima awards zitakazofanyika Lagos, Nigeria jumapili hii ya tarehe 15.11.2015 wasanii watakaoshiriki...
Hawa Jamaa ni kati ya wasanii wakali sana katika tasnia ya vichekesho apa nchini ata original komedi wanakaa .
Wanaubunifu na upangiliaji mzuri wa matukio au vipengele mf. Aisee kama....,cha...
katika hali isiyo ya kawaida wasanii wameendelea kupata walichokuwa wanakitafuta baada ya Emmanuel Mgaya kuungana na Uwoya kuisoma namba.
Masanja aliyedhania Ubunge ni kazi rais kama kufanya...
Mwigizaji wa filamu za Bongo, Jacqueline Wolper
ameamua kushare na followers wake wa
Instagram kitu ambacho kimekuwa kikimsikitisha,
kuona wasanii wa bongo wakiwatumia zaidi video
models wa...
Mtoto mzuri Bongo, Wema Isaac Sepetu ameliambia Ijumaa Wikienda kuwa hata kama akizeeka na kuwa kikongwe, bado nyota yake itaendelea kung?aa siku zote wala haitafifia kwani amezaliwa nayo labda...
Hakika mmejionea wenyewe na kutambua ccm inawenyewe kazi kubwa mlioifanya mmelamba jike ata yule ndugu yenu uwoya aliyepita tabora kachapwa bakora sasa jikiteni kwenye filamu zenu mfano mzuri...
Zarinah Hassan a .k .a Mama Tiffah amechukua uamuzi mgumu wa kumvua mwanaye Tiffah ile dawa aliyokuwa amefungwa mkononi ?hirizi?, hali iliyowafanya watu wengi wabaki na vingi viulizo .
Mtoto wa...
Ni ukweli usiopingika kwamba umaarufu wake ni kama haufi kweli tangu 2006 mpaka sasa kuwa juu sio mchezo, ana nyota nzuri sana
Tatizo naona kama Wema hajautumia ustar wake ukamletea utajiri bado...
BAADA-ya muigizaji nyota Wema Sepetu kumtusi mpenziwe wa zamani, Nasibu Abdul Diamond Platnumz, kwa kudhihaki zawadi ya bei chee ya gari aliyowahi kumnunulia, rais huyo wa lebo ya Wasafi Classic...
Wema Sepetu amenunua Range Rover brand new, anasema thamani yake ni mil 200, je ni matunda ya kampeni za CCM maake alifanya initiative ya kumkampenia Makamu wa Rais mama Samiah Suluhu kwa slogan...
Wakuu kwanza natanguliza salamu then najua kwa wale wasomaji wa gazeti namba moja Tanzania kwa habari na uchambuzi makini. MWANAHALISI. nadhani hawa nilio wataja hapo juu si wageni machoni penu...
ULE uchumba wa mwigizaji Jacqueiline Wolper na Mkongo ambao ulipamba vyombo vya habari kwa miezi kadhaa iliyopita, hatimaye umevunjika rasmi huku daktari wa Kitengo cha Sayansi na Tiba Asili...
Habari wadau. Wasanii Irene Uwoya na Keisha katika kumbukumbu zangu walikuwa wanasubiri kuingia bungeni kupitia viti maalumu. Majina yametoka lakini hakuna majina yao! Ni nini kimejili? Au kuna...
MFANYAKAZI wa kampuni inayomilikiwa na Wema Sepetu, Endless Fame, Petit Man Wakuache amenaswa akijiweka karibu na dada wa Ali Kiba, Zabibu Kiba kiasi cha kuzua minong?ono kwamba huenda alikuwa...
---NI CORAL BEACH HOTEL MASAKI
---WAKAA ZAIDI YA MASAA SITA
---ZITTO AKIRI ,WEMA AKANA
Siku chache vaada ya kumwagana na jumbe yussuf;aliedaiwa kuwa ni mpenzi wake;wema sepetu amenaswa na mbunge...
Kama Kichwa cha habari kinavyosema,tangu aongoze Ali Kiba kwenye Tuzo za KTMA yepi Maendeleo take kimuziki na life lake kiujumla kama The Return of The King?
PEN-DOWN NOW.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.