Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

MAFURIKO yanayotokea katika sehemu mbalimbali nchini kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha, yanaizengea nyumba ya nyota wa muziki wa kizazi kipya nchini, Diamond Platnumz iliyopo Tegeta Madale...
0 Reactions
89 Replies
20K Views
kwa muda mrefu sasa watanzania tumekua tukijiuliza ni nini tatizo la mmomonyoko wa maadili ndani ya jamii ya kitanzania,na serikali imekosa kugundua kwamba ugonjwa uhu unasababishwa na hawa...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Baba mzazi wa aliyekuwa mwigizaji mkubwa Bongo , marehemu Steven Kanumba ' The Great ' , Charles Kusekwa Kanumba amefunguka kuwa ili azae , staa wa sinema za Kibongo, Wema Isaac Sepetu...
0 Reactions
47 Replies
8K Views
Wakuu, Hivi kwanini wasanii wa fani ya mziki na filamu wanapenda sana kujipodoa podoa wanakua kama wasichana? mfano yule mwanamziki maarufu aliyotoka na Mbagala, sasa hivi kawa mweupe kama...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Mwanadada Siwema ambaye alikuwa na uhusiano na msanii Ney wa Mitego ameonyesha jeuri ya pesa mda mfupi baada ya kuachana na Ney wa mitego baada ya kununu gar mpya aina ya Hyundai CR-V. Hivi...
0 Reactions
26 Replies
8K Views
Mkongwe wa sinema za Kibongo ambaye amekita makazi yake nchini Denmark, Lucy Komba ameweka bayana kuwa katika suala la mapishi anapokuwa nyumbani, huwa wanawekeana zamu ya kupika na mumewe. Lucy...
0 Reactions
82 Replies
14K Views
Wakuu, Nimefanya research ndogo na kugundua kwamba kuna mwanamuziki moja tu anayeishi maisha yasiyo ya maigizo kama wenzake wanaoshinda wakiazima magari,nguo ,simu,viatu. Huyu anaishi maisha...
0 Reactions
165 Replies
19K Views
Kumekuwa na tabia za masuper star hasa wanawake kupiga picha wakiwa nusu uchi. Picha ambazo licha ya kujidhalilisha wao wenyewe,pia wanadhalilisha hata familia zao. Wengi wanafanya hivyo kwa...
1 Reactions
4 Replies
3K Views
Picha ya mastaa wa Bongo Movies, Aunt Ezekiel na Kajala Masanja wakiwa wamekumbatiana kwenye sherehe ya Aunt Ezekiel ‘Baby Shower Party 'ikiwa nikumpa zawadi mzazi mtarajiwa iliyofanyika...
0 Reactions
49 Replies
16K Views
Agnes Gerald (Masogange). HABARI ikufikie kuwa muuza nyago wa video za wasanii wa Bongo Fleva (video queen), Agness Gerald ‘Masogange' anadaiwa kutimuliwa nchini Afrika Kusini ‘Sauzi'...
3 Reactions
210 Replies
38K Views
Mtangazaji wa EFM Maulidi Kitenge aoa tena
0 Reactions
127 Replies
40K Views
Kuna tetesi mtangazaji maarufu wa TZ ambae kwa sasa anatangaza BBC idhaa ya kiswahili ameolewa lakini mumewe jina limehifadhiwa, tetesi ni yule jamaa yake wa siku nyingi na pia ni x mtangazaji wa...
0 Reactions
109 Replies
34K Views
VMachoni pa wengi maswali yaliibuka miongoni mwa mashabiki wa mwandani wa mwanamuziki Nasibu Abdul ‘ Diamond Platnumz’ , Zarinah Hassan ‘ The Boss Lady ’ baada ya kumuona akiwa ‘ klozi ’ na Bosi...
0 Reactions
19 Replies
12K Views
Sexy lady kunako sinema za Kibongo, Elizabeth Michael ‘ Lulu ’ amefunguka kuwa anapenda kuminya ‘ ku -date’ na wanaume wanaomzidi umri kwa sababu wanakuwa na nafasi nyingi katika maisha yake ...
0 Reactions
68 Replies
10K Views
Ivandon x - husband wa zari amejitolea kumfadhili Ali Kiba, kwa kuwa anaamini ni bora zaidi ya Diamond Platnumz. Kiba utafanyaje brother?nyanyua simu uwapigie..ushauri wangu
1 Reactions
71 Replies
14K Views
MSANII nyota wa filamu, Elizabeth Michael ` Lulu ' amekanusha uvumi kuwa matatizo yanayowatokea wanaume aliowahi kuwa nao yanatokana na yeye kuwa na Jini Mauti anayesababisha hali hiyo kutokea...
0 Reactions
111 Replies
22K Views
Leo mchana kwenye kipindi cha TAKE ONE cha Clouds tv nimemuona na kumsikia Diamond platnumz akisema kwamba mwaka 2011 mwishoni akaunti yake ilikua na million 100, sikatai coz kweli dogo...
2 Reactions
183 Replies
63K Views
Celebrity couple Diamond Platnumz and Zari were in Zanzibar to celebrate their Valentines day since Zari had never been there. The two have been dating for a couple of months and she is now...
3 Reactions
72 Replies
33K Views
Msanii Naseeb Abdul a.k.a Diamond akiwa chini ya ulinzi wa mashabiki uwanja wa Samora Iringa baada ya kushindwa kufanya show katika uwanja huo. Msanii huyo na wenzake wamekamatwa na polisi Iringa...
0 Reactions
35 Replies
20K Views
Tujuzane ile sinema fake imeishia wapi ilitambulishwa tarehe 02 mtu kujitangazia kavamiwa na majambazi 20 (Sasa sijui hii idadi yote walikua wanafanya maandamano au laa coz hata bank haijawahi...
6 Reactions
79 Replies
10K Views
Back
Top Bottom