Jinsi ya kumpigia kura Millard Ayo:
1)Mtangazaji wa radio anayependwa:TZW1E kwenda 15678.
2) Kipindi cha radio (Amplifaya): TZW2B kwenda 15678 na,
3) Website inayopendwa (millardayo.com)...
wazoefu wa kina Dinazarde Heaven on Earth na wengine mje mtamwambie ni miezi mingapi sasa.Hivi warumi aunt alienda lini marekani kutangaza utalii ili tuhesabu siku vizuri
Nimesikia matangazo ya redio clouds kuwa siku ya ijumaa keshokutwa patakuwa na interview ambayo atakuwepo zari na diamond, itaonyeshwa live na itakuwa live redioni. Atakuwepo Gerald wa...
Siku chache baada ya msanii wa maigizo nchini, Elizabeth Michael, maarufu kama lulu, kufunga account zake zote za mitandao ya kijamii, kwa kile kinachodaiwa kukwepa matusi na kashfa kutoka kwa...
hivi ni wanamziki gani ambao mpaka sasa wametoka na kujulikana kimuziki ndani na nje ya nchi kwa kutegemea zaidi kiki za kubadili wanawake/mademu kama nguo,kuna wengine mpaka sasa wanatoka na...
Yule dada aliyedai kufunga ndoa na Hussein Machozi ameibuka na kusema haya maneno kwa uchungu baada ya Hussein Machozi kudai anatafuta kick na si kweli kwamba walifungua ndoa :
"Hey jameni hebu...
Hivi mbona wasanii wengi wanapenda sana kuandikwa magazetini, kuna wengine wanaonga vyombo vya habari huku wengine wakijitaidi kutengeneza skendo mradi tu watokee magazetini.
why wanapenda...
Huyu dada anafanya poa sana na single yake mpya ya "Na yule ". Ni mmoja kati ya zao kutoka nyumba ya vipaji, Tanzania house of Talent, huu wimbo wake mpya ni shidaa.
Ana sauti nzuri, pia...
Mwaka huu umekua mwaka wa neema kwa mrembo wa Tanzania 2006 Wema Abraham Sepetu, Hii kutokana na muda haujapita sana alipochaguliwa kuwa balozi wa mistubishi new model akiwa pamoja na Millard Ayo...
Huyu jamaa pia yupo kwenye lebo ya CMB iliyo chini ya Birdman,ni hatari sana huyu mtu hasa kwa ile style yake ya umbrella flo,ukitaka kuthibitisha hilo tafuta ngoma zake kama...
Hakuna vipengele vinavyoniboa kwenye Tuzo za watu, kama hivi vya sijui mwanamuziki na muigizaji anayependwa, binafsi sioni kama kuna mantiki apo, yani msanii ata kama hufanyi vizuri ila kwa kuwa...
Waganga wa kienyeji wanaotoka katika maeneo tofauti nchini Tanzania wamejitolea kumtibu Msanii WemaSepetu aweze kupata mtoto.
Kulingana na gazeti la The Standard nchini Kenya Waganga hao...
Baba wa kambo wa Kim Kardashian, Bruce Jenner ameweka wazi kwa mara ya kwanza uamuzi wa kujibadilisha kuwa mwanamke.alisema. Ni ngumu kwa watu kuelewa hilo lakini hivyo ndivyo nafsi yangu...
Nimesikiliza kibao kipya kutoka kwa sauti souls kinaitwa NEREA, aiseeh jamaa wanaweza, wimbo mzuri pia una ujumbe mzuri sana. Binafsi nimewakubali.Jamaa wameimba kwa hisia sana.
Kazi nzuri sana...
Nimependa sana huu ubunifu mpya wa mwanamuziki Benpol, audio yake ilinichosha kidogo, sio kwa kuwa wimbo mbaya la hasha!, ila haya mambo ya kuimbia mapenzi tu mara wanjera, sijui masogange na...
mmh.sijui ndio matunda au matokeo ya uswahiba ila ki ukweli pale hakuna kipaji cha kutisha ni msanii wa kawaida sana kama msaga sumu, yetu macho ni hii ndio bongo bana. sijui baada ya uchaguzi...
Majina yaliongia kwenye hatua ya tano bora kwenye Tuzo za Watu 2015 yametangazwa rasmi Ijumaa hii. Hiyo ni baada ya siku kadhaa za kuhesabu mapendekezo yaliyokuwa yakitumwa na wananchi kwa kipindi...
Imethibitishwa kuwa mwamuziki LADY JAYDEE ndiye msanii pekee nchini( kwa wasanii wa kike na wakiume) anayeongoza kumiliki tuzo nyingi zaidi ndani na nje ya nchi.
AWARDS WON-2001 to 2014
2001-...
Mkali wa sinema za Kibongo, Aunty Ezekiel aka cheusi dawa amesema anatamani iwe leo au kesho apate mtoto kwani umri wake unaruhusu.
Akipiga stori mbili- tatu na paparazi wetu, Aunty alisema kuwa...