1.Roma Mkatoliki,..beats zake karibia zote sawa,nyimbo zake zote ujumbe sawa(harakati)
2.Izzo Bizness yaanii huyu beats zinafanana kila wimbo,mfano chorus ya wimbo mmoja unaweza kuimbia nyimbo...
Kajala Masanja (katikati) akiwa na Jacqueline Wolper (kushoto).
Na Shani Ramadhani na Mayasa Mariwata/Uwazi
MWANADADA anayefanya vizuri kunako soko la filamu za Kibongo, Kajala Masanja...
Msanii nguli kutoka Uganda Jose Chameleone amefunguka na kusema kuwa haoni tatizo lolote la msanii Diamond kutoka na mrembo Zari wa Uganda.
Mapenzi ya Diamond na Zari ambayo yamekuwa na umaarufu...
Habari wakuu wanajamvi? Ningependa kujua kati ya hawa watayarishaji mziki kutoka Afrika,ni nani anayetengeneza beat nzuri kati ya Dunga Ambros wa Mandugu digital na Uhuru wa Kalawa jazmee. Na...
Nipo ofisini hapa, imezuka hoja inayosema Mwana FA ni mwandishi mzuri zaid wa mashairi kuliko Stamina, kwakweli tumezozana sana. Wao wanadai eti nyimbo nyingi za mwana FA zimeasha misemo kwenye...
awa ndio watu nisiowapenda kuliko wote jf nikiwaone nataman cjui niwafny nn yaan
1ni nyaningabu uyu anajifanya kasoma sana anadharau watu wasio soma wakati ni mbabu
2kiranga uyu ni mjuaji kila...
Nimefatilia mahojiano mengi ya wasanii wa Hiphop Bongo kwenye Redios/Tvs, wakiulizwa msanii gani wa Hiphop unayemkubali Bongo zaidi ya 60% huwa wanamtaja Fid Q, nilikuwa nategemea watu kama...
Baadhi ya wasanii wa Bongo fleva wakiwa kwenye mkutano.
Duh! Kama ulikuwa unaamini kuwa lile bifu la wakali wawili wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz' na Ali Saleh Kiba...
Binafsi nimeumia sana hii picha imepigwa alivyofikishwa hospital,alikuwa anasumbuliwa na figo muda mrefu sasa ila hakuwa ametangaza.
Kwa wale wana Jamiiforums mnaofatilia movie za...
MAHABA NIUE: Siku chache baada ya Wema Sepetu kunaswa kimalovee na Bob Junior, mwigizaji chipukizi, Bozi ameibuka na kumwomba Wema amwachie Bob Junior wake
A group of 12 friends from Atlanta, Georgia have taken their admiration for the singer Beyoncé to a more spiritual level. Zay of www.MapeNation.com reports that Pauline John Andrews is the founder...
Aliyekuwa bingwa wa ndondi wa uzito wa juu duniani, Muhammad Ali, amelazwa tena hospitalini leo huko Marekani kwa matatizo ya maambukizi katika mfumo wa viungo vyake vya haja ndogo. Ali alitolewa...
STAA aliyewahi kukamata vilivyo kwenye anga ya muziki wa Bongo Fleva , Shabani Ramadhani ' Matonya ' ameibuka na kumvaa mwanadada Judith Wambura ' Jide au Lady Jaydee ' akidai...
,. Hongera ,,
ni ngoma kali...
Team zile mbili zinazopwayaya hapa zinapotea.
PACHA WANGU.- hongera.
Melody,.
Beat,.
Video,.
Bass..
Zile team mbili mnazokesha hapa kuleni kona.
Umofia kwenu wana JF,
Ebwana sasa hii sifa,akadumba tangia atoe video na nay wa mitego kawa mtamu,kumbe demu kajaliwa neema za alah,hips wema sepetu anakaa,wezere masogange anasoma namba,nina...
Sitti Mtevu ametoa msaada wa vyombo vya kuhifadhia uchafu kwa hospitali ya Ilala kupitia Sitti Foundation. Vifaa hivyo vilipokelewa na mbunge wa Ilala Zungu. Swali hivi kweli watu wanakosa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.