I'm just going crazyyy with these two hot chicks in Town. Here I'm talking about young celebrity from bongo movie n Ziff award winner, Hotlulu Michael, there its diva herself aka baby drama all...
Kuna watu ambao nikionaga habari zao tu huwa nakunja ndita,nawapenda tu kama binadam wenzangu but siwapendi kama 'Public figure',tabia zao or the way walivyoupata ustaa wao vinanifanya...
Miley Cyrus ameamua kuwa mwehu kivyake na kuvunja maadili bila kuogopa lolote litakalosemwa juu yake kwa kupost picha akiwa mtupu kwenye Instagram.
Jana (April 11), mwimbaji huyo...
Waigizaji wanne wa bongo movie Riyama Ally, Wastara, Cloud na Monalisa Hivi karibuni watakua na Tour Nchini Uingereza kwa ajili ya kutanua soko lao na kujitangaza kimataifa, licha ya hivyo pia...
Imeelezwa kuwa Diamond hapindui kwa Halima Kimwana kutokana na ukaribu wao wa mda mrefu, Wakati mpenzi wake Wema Sepetu akiwa hapatani na kimwana kama paka na panya, hiyo haijasababisha Diamond...
Mwanamuziki legendary kutoka bongo Fleva , Judith Wambura aka Lady Jaydee amefunguka kwa Mara ya kwanza kuhusu mwanamuzik mwenzie Ray C kuhusu scandal ya madawa ya kulevya, huyu apa Jide...
Hot in town is concerning the relationship waliokuwa nao between dj fetty na diamond the platnumz,
Kumekuwa na rumors kuwa haiwezikana watu wawili hao wakawa na ukaribu kiasi hicho, kiasi...
Msanii mkongwe wa muziki nchini Judith Mbimbo maarufu kama Lady Jaydee ameshiriki kuimba wimbo maalum wa kombe la dunia 2014 akishirikiana na David Correy na rapper wa Kenya, Octopizzo
Katika...
There is generous and then there is hip hop music mogul generous.
Justin Bieber is now the lucky owner of a brand new Bugatti - one of the fastest and most expensive street legal cars in the...
Kila Mara ninapotazama nyimbo za John akini kwenye Tv I can't help admire kitu ...'the brotherhood' between them. Na jinsi dogo anavyomkubali na kumheshimu kaka yake .dogo ni graduate..second...
Wimbo wa Baby Madaha uitwao Nice and Slow umechaguliwa kuwania tuzo za MTV Europe mwaka 2014. Msanii huyo wa Candy n Candy Records, ameiambia Bongo5 kuwa kwa sasa anasuburi kutumiwa code...
LULU NA DIANA
Msanii wa bongo movie Diana Kimaria ameibuka na kukanusha vikali kuwa kamwe hawezi kuliwa uloda na mwanaume aliyempitia rafiki yake Lulu Michael kwa sababu kwani wao ni zaidi...
MTABIRI mwenye jina kubwa kwa sasa Bongo, Maalim Hassan Yahya Hussein ambaye ni mrithi wa kazi za marehemu Yahya Hussein ameibuka wiki hii na kuanika kwamba, Agosti mwaka huu Nasibu Abdul...
Dah mlokole mainda unatia aibu bana , hata kama umeachwa stress haziondolewi kihivyo.
Nasikia waumini wanalalamika wa apo apo kanisani kwenu Sinza , yaani full kujipendekeza kwa wanaume hadi...
Lalasheee! Habari za kusikitisha nimezisoma kwa yule Nanhii wa Tegeta kuwa yule Will Smith wa wetu enzi zile 1990-2000 Bw.Franco Mtui amepooza mwili wake mzima alipopata ajali ya "kuangukia...
Duh hiki kitendo cha wema sepetu kwenda kufanya timbwili pale ofisi za Global publisher, kimestaajabisha sana kama sio kushangaza, binafsi nimejiuliza maswali mengi yakiwemo haya.
1. Wema na...
HIKI NDO ALICHOKISEMA DIAMOND KUHUSANA NA TUKIO HILO
Usiku uliopita umekuwa ni usiku wa furaha kwangu,baada
ya dada angu kuzindua video yake ya WANATETEMEKA
kwa,mafanikio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.