Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Ilikuwa ni leo Jijini Mwanza kwenye Show iliyoandaliwa na cocacola. Namba yangu ipo wazi kwa anaehitaji info za kuzipata hizi tshirt na kofia zake 0762052850
2 Reactions
52 Replies
18K Views
Huwa nikisikia ripoti za huyu mwandishi kucheka nashindwa na hata ule umakini wa kusikiliza kwa taarifa unakuwa kama haupo kwani anaongeeeeeeeea mpaka ladha ya kusikiliza inapotea.. Hii ni...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Toka mwaka 2014 uanze watangazaji wa Star Tv wamebadilika sana kwa upande wa mavazi, hakika wanapendeza, tofauti na kipindi cha nyuma walikua wanavaa suti ovasaizi. Bigup kwenu.
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Huu ndo mchuma mpya anaoendesha mwanamuziki Bob junior kwa sasa. Binafsi limenikuna, soo classic , salute sana bro Bei na aliponunua haijajulikana bado.
0 Reactions
73 Replies
13K Views
My favorite Celebrity is Elisha Cuthbert. ................. BuntyBubly is a Biggest place where you can get celebrities wallpapers.
0 Reactions
32 Replies
5K Views
Whitney Houston's daughter Bobbi Kristina Brown has tied the knot with Nick Gordon, it has been claimed. The daughter of the late singer posted a picture of the pair holding hands, showing off...
1 Reactions
51 Replies
14K Views
Wote tumemsikia jana Prince Dully Sykes akiongelea kufungiwa kwa video yake ya kabinti special na Baraza la Sanaa Tanzania(BASATA) . Kuna sababu kuu mbili zilizosababisha video hii kufungiwa na...
0 Reactions
58 Replies
11K Views
Chameleon new hit 'tubonge' is a killer from video to audio...
0 Reactions
26 Replies
8K Views
Tumechoka kuangalia picha za Miley Cyrus akiwa uchi kila wakati!!! Mwanadada huyu nadhani aliskia kilio cha wengi kuwa watu wamechoshwa kumuona yeye akiwa uchi kila wakati na jambo hilo...
0 Reactions
12 Replies
5K Views
MAKUBWA! staa wa sinema za Kibongo, Jacqueline Wolper Massawe amejianika akifanyiwa masaji laivu. Wolper a.k.a Gambe ‘alifanya yake' ndani ya saluni (massage parlor) moja iliyopo maeneo ya...
0 Reactions
15 Replies
7K Views
Stori: CHANDE ABDALLAH NA DENIS MTIMA KIBAO kimegeuka! Yule mganga anayejitapa kumtengenezea nyota ya mvuto staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz', Ustadh Yahya yamemkuta...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
CEO wa Maybach Music Group na rapper ambaye yupo kwenye peak sasa,namzungumzia Rick Rozay amenunua nyumba iliyokuwa inamilikiwa na bondia wa miaka mingi Evander Holyfield. Nyumba hiyo ambayo ipo...
1 Reactions
29 Replies
15K Views
Age aint a number...Aaliyah
1 Reactions
57 Replies
9K Views
July 26 mwaka huu, wasanii wengi wakubwa Afrika kutoka katika mataifa ya 17 watakutana Dallas, Texas, Marekani kuhudhuria utoaji wa tuzo za kiafrika zinazojulikana kama ‘AFRIMMA Awards'...
0 Reactions
21 Replies
6K Views
Watu wengi wenye mafanikio duniani, hutumia mda mchache sana kulala, na kutumia mda mwingi zaidi kwenye mambo ya maendeleo. Wakati wengine wakitamani kuwa kama Lady Jaydee na kufikiri kuwa anakula...
0 Reactions
28 Replies
6K Views
Ndugu wadau, hivi huyu mtangazaji wa kitambo flani anaitwa Seven Mosha au Moshi (sina uhakika sana) yupo wapi sku hizi na anafanya nini? Naomba Kuwasilisha
0 Reactions
19 Replies
6K Views
Ok wakumbuka ile siku iliyomuonyesha Kim Kardashian akiwa amevalia suruali iliyombana makalio na kuyaonyesha yote? Sasa gazeti flani Marekani la In Touch Weekly limedai kuwa Kim Kardashian...
0 Reactions
13 Replies
4K Views
STAA wa filamu za Kibongo, Aunt Ezekiel amejikuta katika wakati mgumu baada ya kuanguka ghafla kwa presha akiwa ‘location' jijini Tanga, Risasi Jumamosi lina habari hii. Kwa mujibu wa...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Stori: Gladness Mallya na Hamida Hassan Ni pigo kubwa! Ile ndoa inayodaiwa kukaribia kufungwa kati ya nyota wa filamu Bongo, Vincent Kigosi ‘Ray' na Miss Tanga 2006 aliye pia msanii wa...
0 Reactions
1 Replies
8K Views
Back
Top Bottom