Weka screenshots za scores waje watu wakuchallenge.
Namaanisha games za aina yoyote za kielekronic na zingine zikijumuisha PlayStaions.
Mi jana nimekutana na haka kadude kaninusumbua mwenye aidia...
Wadau wa jamii forum, Heri ya sikukuu ya Simba Day. Leo nimeamka na mzuka wa kumsikiliza Jabari la muziki.
Naomba kama unao wimbo wowote wa Marijani basi uniwekee hapa. Nitafurahi nilipata...
Naanza na
1. John Lissu - Nitaongozwa na Bwana
2. Boazi Danken - Ninakupenda
3. Essence of worship - Umetenda
4. Hymnos 2- majina yote mazuri
5. Dr. Ipyana - Nikupe nini kwa yote umetenda
6...
Ifike pahala huyu jamaa wamuache apumzike maana kwa mambo yanayoendelea sasa ni kumkosea adabu bondia bora wa muda wote na wa vizazi vyote Floyd Sinclair Joy Money Mayweather Junior ...
ENRIQUE IGLESIAS VS ED SHEERAN.
Hero vs Perfect.
.
Your my number one vs Thinking out loud.
.
Bailando vs Shape of you.
.
Takin back my love vs Heartbeat.
.
Why not me vs photograph.
.
Some...
Wakuu habari za mda leo nimeleta mada hii tujadili kwamba tangu ujio wa microgenre mpya ya hiphop 2016 iliyoanzishwa na future, Gucci mane na chiefkeef iliyo kwenye trap genre hiphop style na...
Katika majira ya joto ya mwaka huu, filamu ya katuni ya kichina “Chang An” (mji mkuu wa taifa la China katika enzi ya Tang) imejizolea umaarufu mkubwa. Ndani ya mwezi mmoja na zaidi tangu...
Kama mdau wa soka jana nilifuatilia na kufurahia sana sherehe ya wana-simba ambayo kiuhalisia ni tukio waliolianzisha miaka kadhaa iliyopita na linaloendelea kukua mwaka hadi mwaka. Si ajabu pia...
Hii ni kwa mujibu wa wavuti rasmi ya warner bros.
hii inaifanya kuwa filam ya kwanza kutengenezwa na mwanamke kuingiza
kiasi hicho cha pesa.
source:cnn
Nakumbuka kipindi hicho tunaangalia Rocky ya Rambo na huku tukijifunza kurukiana mateke baada ya kuangalia bloodsport ya van damme.
Ilikuwa ukitoka kuangalia commando ya arnold na wewe unaenda...
Mnaikubuka hii movie ya Ajay davigan inaitwa Vijay path aise Kuna song umo demu alikua anawaza baada ya mshikaji kumualika kunywa chai aise vya kale zahabu zile alaaa zinavyopigwa Yan madogo wa...
Morogoro ni mji WA vipaji na vituko kila siku toka enzi Za afande sele , o. Ten, stamina , Jack simela r. I. P no wengineo taja wasanii wengine WA morogoro tuwape shout out apa Kwa uwepo wao
Hawa wasanii wa tamaduni Music hapa nawazungumzia
Nikki mbishi
Stereo
One the incredible
Songa
P the Mc
Zaiid
Ghetto ambassador
Kad go
Azma
Nash mc
Wakazi
Man su lee
Dizasta
Ni...
Hapa nimeshangazwa na ujasiri wa Dj aliye zamu leo RFA maana anapiga nyimbo za mixtape za Anti Virus live live ni matusi matusi tu.
Kama hamtaamka na barua ya TCRA asubuhi Mungu yupo nanyi...
Yamenikuta Kama yaliyotokea kwenye hz movie. Dhadkan upande wa sunnly shet Tere ma'am. Darr.upande wa sharukhan. Dil karshta upande wa Arjun rampal n hvo tu
Kiongozi na mwimbaji mkongwe wa bendi ya 'Twanga Pepeta' luiza Mbutu amefunguka na kuonyesha kukerwa kwake na tabia ya baadhi ya wasanii wa filamu na bongofleva wanaojihusisha na skendo za...
SEHEMU 1
Hapo zamani za kale enzi za akina nabii mfalme Daud huku Israel kulikuwepo na nabii mmoja kwenye himaya ya Uingereza aliyekuwa akijulikana kwa jina la nabii Johnson Petersburg (45)...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.