HADITHI: KIFO CHA MWANDISHI
SEHEMU YA KWANZA
Mtunzi: More
Mawasiliano: 0756320219
Hadi nafika nusu ya safari yangu bado nilikuwa nikijiuliza kama uamuzi wa kuwa na safari hii ulikuwa sahihi. Kila...
Nyimbo tulizojufunza majeshini mafunzoni na kwenye mchakamchaka.
1. Baku babakubaba siitikii.
2. Inkalankala inka.
3. Nasoro unantafuta.
4. Impiizaaa.
Ongezea nyingine
SEHEMU YA KWANZA
Ushuhuda huu una sehemu 13, sehemu zote utazipata humu humu jamii forumu kila siku, tutakuwa na sehemu moja mpaka tutakapoumaliza ushuhuda hu
Karibuni Sana!
Marafiki wapendwa...
Huyu mwanadada Libianca ni mwanamuziki wa Cameroon, na mwaka huu ametoa wimbo uitwao PEOPLE. Binafsi nimeusikiliza mara kadhaa na kutambua kwamba huyu dada ana kipaji kikubwa mno cha uandishi na...
Shalom Shalom wapendwa.
Ninamaandalizi ya tamasha la uzinduzi wa Albam ya video Mpya.
Tamasha linafanyika Mkoani Tabora
Nawakaribisha sana kusapoti maandalizi poa karibuni sana ndugu zangu 24...
Aron Mvembezi Ft Yohana Anthony - Yupo Mungu wa kweli.
Ni wimbo wenye matokeo makubwa ya nguvu ya Mungu. Ukisikiliza Nikama umefanya maombi ama imeombwa.
Kama huamini hemu utazame na usikilize.
Pasaka njema kwa wakristo wote, naomba niwape kisa hiki cha ukweli kilichotokea kusini mwa Tanzania mkoa x katika nyumba moja ya Bibi mstaafu.
Jinsi nilivyo muonekano wangu, sio mfupi sana wala...
Kulikuwa na kijana mmoja aliitwa Prince, alikuwa ni bodaboda aliyekuwa jirani yetu, tulikuwa tunamwamini na hata kumpa baadhi ya mizigo yetu ya msingi atupelekee mahali tulipotaka ifike.
Huu ni...
FATED TO DIE
(MWENYE HATMA YA KUFA)
SEHEMU YA 01
“Baby, mambo ni mengi nashindwa hata kutulia” aliongea Salome akiwa ameshikilia simu yake, yalikuwa majira ya usiku na alikuwa akiongea na mpenzi...
Katibu Mkuu Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo Bw. Saidi Yakubu amekutana na kufanya kikao na baadhi ya viongozi wa Chama cha Waigizaji Tanzania (TDFAA) wakiongozwa na Mwenyekiti wa chama hicho...
Unaingia kwenye show unazurura uwanjani ukivimba kuonyesha ufalme wako.
Kwanini usituonyeshe ufalme wako kwenye kazi yako. Mwisho wa siku ikawa ni makelele na uchawa mwingi..
Yaani huyu msanii...
Ni muda sasa, natumai mpo poa wazee. Nimewakumbuka kweli na basi nilipopata muda kidogo wa kuandika, nikaona niwasalimu kwa Riwaya hii nzima na ya kijasusi ya NYUMA YAKO.
Nikiri kwamba muda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.