Kijana Rahim anatokea kumpenda binti Sarah katika nyakati za mwisho za uhai wa binti huyo.
Wasichokijua ni kwamba penzi lao limeletwa kwa nguvu ya ajabu ili mtu aliyeharibu maisha ya Sarah atubu...
Wadau habari zenu, naomba msaada kw hapa moro/dar anaejua mahali wanapotoa huduma ya kucheza game za magari, yaan unakua na kiti na sterling then kuna tv mbele unakua unaendesha gari. Naonelea...
Msanii Nay wa Mitego, ameshusha Ngoma mpya humo ndani wanatajwa Panya Road, waliovaa suti mm bado sijawajua hao Panya Road waliovaa suti ni wa kina nani. Mwenye uelewa tafadhali.
Filamu 25 za Muda Wote Ambazo Zimeingiza Pesa Nyingi zaidi kwenye Kumbi za Filamu (Theatres)
1. Avatar: $2,923,706,026
2. Avengers: Endgame: $2,797,501,328
3. Avatar: The Way of Water...
Uzi huu ni maalum wa kuwapa maua wana hawa wawili waliojitoa peke yao kuwasemea wananchi kupitia kazi zao za sanaa.
Siyo jambo rahisi kwa msanii wa bongo kutunga wimbo wenye content ya kuisema...
Mimi sio mwandishi mzuri hivyo tutavumiliana kidogo.
Mimi ni kati ya wale vijana wachache ambao tumepata bahati ya kuwa na pesa tukiwa na umri mdogo, nikisema umri mdogo sijui mnanielewa? By 22...
Mu hali gani wadau poleni na mchakato mzima wa DPW pamoja na TEC. Rejea kichwa cha habari hapo juu nataman sana kuzipata hizo tamthilia nimejaribu kuzitafta youtube na platform mbali mbali lakin...
WACHAGAAAA MPOOOOOOO
SHIMBONI SHAFOOO WACHAGAAAAA... HAYA MMESHAHESABIWAAA MKUJEEE HUKU TUWEKANE SAWAAA.... MAISHA YAMEBADILIKAAAA SASAAAA MFANYE KAZIIII KWERI KWERIII
KIRU
SEHEMU YA 1
A...
Katika tamthilia ambayo mpaka Leo naiangalia na haichuji, Sex and the city in moja wapo?!
Kote kwenye Tamthilia na Movies
My favourite Actress ambae nikimkosa nanuna alikuwa ni
1. Samantha ~...
https://youtu.be/WcqK9Ls7Eos
From the Bible to the Quran
Revelation in Jerusalem
Shalom, salamalekoum
You can see Christians, Jews and Muslims
Living together and praying
Amen, let's gives...
Ninachotaka kusema ni kwamba hawajali kabisa kuhusu Sisi,
(Usijali watu wanasema nini, Kwa sababu tunaujua ukweli)
Ninachotaka kusema ni kwamba hawajali kabisa kutuhusu,
(Inatosha sasa, upuuzi...
Ziwe bongo flava, ziwe rnb, ziwe funk, ziwe rap, iwe rhumba, ziwe soul muhimu tu isiwe gospel au Kaswida.
1. Asante ya Sugu na Sele, kutoka kwenye album yake ya Muziki na Maisha. 'Chorus' yake...
https://youtu.be/UiIa2i29PZ4
R.I.P Father Nelly wa Xplastaz
Nimesikiliza hii nyimbo tangu nikiwa bwana mdogo mpaka leo nimekuwa broo!
Nafikiri tukubaliane sasa kwamba kwa Hip Hop hii ndio rap...
Zion train is coming our way
Zion train is coming our way
Oh people, get on-board (you better get on board)
Thank the Lord. (praise Fari)
I gotta catch this train
'Cause thee is no other station...
Ijumaa ya leo tarehe 18/08/2023 Msanii maarufu kwenye nyimbo zinazogusa maisha halisi ya Watanzania, Roma Mkatoliki ataachia wimbo wake uuitwao “Tupeni Chetu.”
Wimbo huu utagusia suala zima la...
Hello Jamii People. Been a while lakini yote heri au siyo. The messages that I receive mostly zinaniulizia kuhusu more stories. So nikaamua walau kila wiki niwe naandika something. Naanza na hii...
Baadhi yetu tunaamini kusikiliza muziki ni tiba ya bure kabisa (therapy) kitu ambacho kwa namna flani kina ukweli ndani yake, kila mtu ana aina ya mziki anaoupenda, wengine hupendelea gospel...
Hawa vijana wapo moto sana, usiseme ushawahi kusikiliza mziki halafu hii ngoma huna, hii ngoma ni kali balaa ina fleva kali za na amapiano humo ndani inaitwa "Sina ubaya by watu fresh"...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.