Na DaVinci XV
Wakati mwingine hakuna umaskini mkubwa kama upweke wakati wa magagasiko na dhiki, wakati ambao unahitaji faraja ya umoja.
Wale uliokuwa nao kwenye furaha wanapokuacha kwenye...
Kazi ya mziki wa dansi Hawa waheshimiwa waliutendea haki hasa kuishika hadhira na kupenyeza ujumbe na mafunzo kwa jamii.
1.Katika wimbo huu unakutana na mtunzi Kakere Belesa(nafikiri huyu...
Habari wana JF,
Bila kupoteza muda, acha nijikite kwenye mada husika.
Palikua na MFALME na MWENDAWAZIMU ambao walikutana makaburini.
MFALME: "Imekuaje wewe unaishi makaburini siku zote??? Na...
Soma stori hii ni nzuri.
Mnamo mwaka 1996 katika nchi ya Tanzania, mkoani Singida sehem ya kijijini ambapo kijiji hicho kilizungukwa na msitu,, kati ya hao wanakijiji kulikuwa na binti wakike...
Barbie imekuwa rasmi Filamu yenye Mauzo bora kwa mwaka 2023 baada ya mapato yake kuipita Filamu ya Super Mario Bros kwa kuingiza zaidi ya Dola za Marekani Bilioni 1.38, sawa na Takriban Tsh...
Mimi naitafuta movie moja ya kinaigeria inaitwa sioma the monster, kwenye cd ilikuwa ipo pamoja na movie inaitwa ibu the school, mwenye kujua sehemu ya kuipata anitumie hata link ni singo movie...
RIWAYA: MKIMBIZI
MTUNZI: HUSSEIN ISSA TUWA
SEHEMU YA KWANZA
likuwa ni msafara wa watu watano, watatu kati yao, pamoja na mimi mwenyewe, tukiwa ni waajiriwa wa Idara ya Makumbusho ya taifa kitengo...
Pesa si matumaini yao
Ni msukuma mkokoteni
Tena na jua kali kichwani
Pato lake sio ahueni
Pesa si matumaini yao
Ajabu mwajiriwa tajiri
Na mwajiri wake ni fakiri
Analipa, kipato swaghiri
Pesa si...
Habari,
Naombeni mnitajie nyimbo za Juma Nature zote alizoimba na kushirikishwa. Najua nyimbo zake hizi tu.
Mtoto Idd
Mikikimikiki
Sitaki demu
Mgambo
Kwa mlionazo kama itawezekana naombeni...
MDUNGUAJI WA GOMA:2
NA; BAHATI K MWAMBA
SIMU; 0758573660/0658564341.
1.
Zilikatika dakika thelathini bila mjumbe wa mwisho kuingia kwenye kikao cha dharura, simu zake...
Ni matumaini yangu mko poa. Ni ‘weekend’ sasa, muda ambao tunapata mapumziko, hivyo basi si vibaya kama tukipata wasaa wa kupakua na kutazama filamus kadhaa kwa ajili ya burudani na pia kujifunza...
Katika ukurasa wake rasmi wa Instagram Nay wa Mitego anaandika:
Nimepokea Barua Ya Wito Kutoka Kwa Walezi Wetu @basata.tanzania Kwa Ajili Ya Kikao So Nitafika Kwenye Kikao Siku Iliyo Pangwa...
Kila zama na kitabu chake, ilikuwepo zama za Bongo Records na akina Majani, Prof. Ludigo, Soggy Doggy, Bizzman n.k wakidondosha midude ya level nyingine. Huku alikuwepo MJ Records, kule Mawingu...
Hii tamthilia bwana ni ya moto..imejua kuwaanika wanaume yani kiufupi ni tamthilia inayogusa maisha ya familia nyingi..
Kwa upande mwingine inafundisha wanawake kudandia waume za watu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.