Sura ya Kwanza
Mara tu baada ya kuvunja ungo, Yasmin aliozwa mume. Alikuwa mume
wa jamii yake ya Ithnashiria ambaye alikuwa akiishi jirani naye hapo
Mtendeni.
Alikuwa ni mume asiyelingana naye...
Wakuu Leo nilikua najikumbusha kuangalia nyimbo za bongo fleva za zamani, hivi Ile nyimbo ya Abby skills ft Mr blue. Mimi wewe, yule demu alietumika mule kwenye video sio qeeen daaring kweli au...
Katibu Mkuu Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo Bw. Saidi Yakubu akizungumza katika Ufunguzi wa Tamasha la Pili la Kitaifa la Utamaduni, Viwanja vya Stendi ya zamani Mkoani Njombe, tarehe 25...
Salaam kwenu wana MUNGU,
Kuna hii nyimbo ya gospel inaitwa maneno mazuri yakwake japhet wa zabron singers ft Ambwene Mwasongwe, hainichoshi jamani.
Naisikiliza tena na tena, tena na tena...
𝙒𝙄𝙈𝘽𝙊 : NAKOMITUNAKA: 𝙉𝙖𝙨𝙝𝙖𝙣𝙜𝙖𝙖/𝙉𝙖𝙟𝙞𝙪𝙡𝙞𝙯𝙖
𝙈𝙒𝙄𝙈𝘽𝘼𝙅𝙄 : VERKYS & ORCHESTRE VEVE
𝙏𝘼𝙁𝙎𝙄𝙍𝙄 : SULE MKANDARASI
"𝙉𝙖𝙠𝙤𝙢𝙞𝙩𝙪𝙣𝙖𝙠𝙖" lilikuwa jibu la Verckys kwa wapinzani wa Mzee Mobutu ambao ni Kanisa...
14 years ago today, Lady Gaga released “LoveGame” as a single from ‘The Fame.’
The track was praised for its now-iconic “I wanna take a ride on your disco stick” hook. It reached the top 10 in...
Hodi hodi wanajukwaa leo nimewatembelea ktk jukwaa lenu.Kwavile jukwaa ni la burudani l,na mm nimeamua kuleta burudan ya aina hii.Naomba mnipokee.
Kisu Chenye Mpini Mwekundu -1
RIWAYA: KISU...
Jana usiku siku ya jumamosi tarehe 9 mwezi wa Septemba nikiwa na rimoti natafuta chanel ya kuniburudisha nikajikuta najaribu kuangalia WASAFI TV nikaona wasanii wa bongo flava wakiwa Ruangwa...
ILIPOSIKIKA sauti yake kila mpenzi wa muziki anayefuatilia bendi za hapa nyumbani alihisi kuna kitu kipya kimeingia katika tasnia ya
muziki wa dansi. Hiyo ilikuwa mwaka 1982 alipoingia kwa mara ya...
Huyu jamaa katika Tanzania hii ukimtoa Hasheem Dogo, sijui kama kuna msanii anaeweza kumfikia kwa tungo zake! Hakika mchops aka moe technics anastahili sifa na tunzo maalum kutokana na kazi zake...
VIPEPEO WEUSI
SEASON 2 - FROM ZURICH WITH RULES
EPISODE 01
BARABARA INAYOELEKEA KWENYE MAKAZI YA WAZIRI MKUU – MLIMWA, DODOMA
“Ili kuweka kumbukumbu kwa usahihi zaidi naomba urudie tena...
Naona live wasafi tv show ya wasafi festival inafanyika ila nashangaa wasanii wakubwa wote wameshapanda stejini..! Au sababu ya tanesco kumfanya figisu ya kukata umeme usiku wakati show ikifanyika...
Habar za wakati huu ndugu wana-board. Tafadhali, husikeni na mada tajwa hapo juu.
Kwa wale wapenzi wa nyimbo za Koffi Olomide a.k.a Papa Fololo a.k.a Papa na Didi Stone a.k.a Nicholous Sykoz...
Zimepita siku 5 baada ya Young Lunya kuachia ngoma yake mpya ya freestyle session 5, wimbo huo kwa asilimia kubwa amemdiss Rapa Young Killer. Young Killer nae baada ya kupita siku 3 akajibu mapigo...
Hakuna Kitu ambacho GENTAMIYCINE nakipenda ukianza Kuntukuza Mwenyezi Mungu, Mpira na Kusikiliza Muziki wa Congo DR tena mpaka Kuiimba na Kuicheza kabisa na kusahau matatizo yangu yote yakiongozwa...
Nimeusikiliza kwa makini sana, hakika kijana Elibariki aka Nay wa Mitego moyoni mwake amejaa ujasiri na moyo wa kuwasemea wasio na sauti.
Ndipo likazaliwa swali hili, je ungekuwa mkazi wa...
The Ultimate Heir System
FREE FREE FREE!
MegaNovel Sep 9 2023
The Anderson family mansion looked different tonight. The sound of applause filled the room as a woman and a man took turns putting...
Muziki wa kizazi kipya Bongo au maarufu kama Bongo Fleva, ndiyo unaaoongoza kwa kuwa na mashabiki wengi kwa sasa nchini Tanzania, hilo halina ubishi. Vijana wengi wamejiajiri kupitia muziki huu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.