SEHEMU YA 1
A. NINAITWA MTUMISHI PAPA
Mtumishi Papa:
Penny wewe unapenda stori jaman sijakuona sikunyingi ujue!
Money Penny: basi tukasalimiana hapo wee tukajikumbushia ya zamani akyanani...
Kuna mengi naweza kuyasahau kati ya yale niliyopata kuyasikia na kuyafanya katika utoto wangu, hasa katika kipindi nilipokuwa shule za awali, msingi na sekondari. Hata baadhi ya majina na sura za...
Kuna hiyo series ya kituruki ninahiitaji mno…. Nimeitafuta bila mafanikio sijapata access ya kui download
Sitaki kuiangalia YouTube
Mwenye nayo yote naombaa ama nielekeze nitaipata vipi
Na...
Kuna kipindi yaliwahi kutokea maneno kwamba Tanzania tunaitafuta sound yetu, kwamba ngoma ikipigwa tu unajua hii ni Bongo, Tanzania.
Nimepata muda usiku huu kwenda YouTube kuziona trends, guys...
Wadau napenda sana nyimbo zilizokusanya watoto na kuitikia chorus, mara nyingi nyimbo huwa nzuri sana. Mfano ni kama hizi;
1. I'm a thug ya Trick Daddy
2. I can ya Nas
3. Fabulous ya Jaheim
4...
MAISHA YANGU NYUMA YA PAZIA JEUSI.
SEHEMU YA KWANZA.
Mtunzi & Mwandishi: Stephen Chelu
Utangulizi:
Simulizi hii imejengwa kwa kutumia matukio halisi na ya kufikirika ili kuleta mvuto zaidi kwa...
Wale wapenzi wa burudani nawaletea filamu zilizochezwa vizuri na wasanii wa hipop (rappers)
Tuanze kutililika[emoji94]
[emoji419]2pac:juice
[emoji419]Ice cube:boyz N the wood
[emoji419]Dmx:belly...
Huku Kwetu nchini Tanzania tunawaita Marapa / Waghani ila kwa wenyewe Wakongo kutoka Kinshasa na Brazaville wanawaita Atalakus na kwa Wafaransa na Kifaransa wanaitwa Animateurs kutokana na umuhimu...
My mother used to cook beans, but before she cooked the beans, she picked the bad and dirty beans and threw them at our backyard and only cooked the good beans.
But when the rain came, the dirty...
Binafsi huwa nikikutana na movi za aina hii basi natafuta njia nyingine kuzikwepa. Walioweka kiswahili wananogesha hadi wanaharibu.
Angalau waweke subtitles.
Ni kwaya ama ni nini? Jide my sista are u serious? Kwaya? Mwaka 2023?
It is high time now wakongwe wa bongo fleva waambiwe ukweli. 2023 is not 2003.
Mambo yamebadilika.
Something which was...
Achana na watu wanao komenti kwa kukuogopa kwenye page yako huko instagram. Ukweli ni kwamba wimbo wako sio mzuri na hauendani na nyakati zilizopo.
Nakushauri ufanye tena research yako vizuri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.