Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...
  • Poll Poll
MICHEZO: Kampuni inayojihusisha na michezo ya mieleka duniani maarufu kama "WWE" World Wrestling Entertainment ina mpango wa kuandaa pambano kati ya nyota wa klabu ya Al Nassr Cristiano Ronaldo...
4 Reactions
36 Replies
2K Views
Hello members, Wale wapenzi wa movies za teknolojia ya mbeleni kama vile time traveling. Trending Monsters Movies, movies za kuruka viunzi kama vile No Escape, Current Vampire and Zombies Movies...
2 Reactions
2 Replies
468 Views
Katika karne za enzi zile, zile zamani kabisa, kitu cha thamani kilikuwa ni aidha dhahabu ama silva. Kila himaya ilijivuna kwa wingi wa dhahabu zao, utawala imara na shibe za watu. Si zaidi ya...
46 Reactions
2K Replies
482K Views
Hello Wana JF. Naombeni mniongezee list ya series Nzuri kulingana na series nilizobahatika kuangalia. Series nilizowahi kuangalia ni Kama ifuatavyo 1.Tyrant 2.Ozark 3. 24 4. Queen of the south...
4 Reactions
8 Replies
3K Views
Battle hili hapa la walio kuwa kundi moja na baadae kuvunjika na kuunda Tmk wanaume family na Tmk wanaume halisi. Makundi yote haya mawili yali bahatika kutoa mikwaju mikali way back naweka...
4 Reactions
59 Replies
4K Views
MAJUTO NI MJUKUU Dada zangu kuna kitu cha kujifunza hapa Niliolewa na mwanaume mpole sanaaaaaa miaka mitano iliyopita, yani nikisema mpole ni mpole mno, hakunifatilia hata siku moja, hakuniuliza...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
KWA WALIMU WOTE Sikilizeni wimbo huu: Nilipokuwa mtoto niliitwa Chacha Kwa matamshi yangu ya sasa Nilipokuwa kijana niliitwa Chaupele Nilipokuwa mtu mzima niliitwa Manywele Nilipokuwa...
1 Reactions
10 Replies
867 Views
Wakuu kwema? Nipo nafatilia hili tamasha la wasafi festival live hii show ya Songea. Jamaa wamejitahidi sana kwenye promotion lakini ukija kwenye ubora wa matangazo ya live ni very poor. Hii...
2 Reactions
18 Replies
2K Views
Kwa Rhumba hili Kali 'Se Yo' lake Fally Ipupa 'Decaprio" itoshe tu kisema Shikamoo Fally Ipupa popote pale ulipo. Mpinzani wako mkubwa Ferre Gola ana Kazi ya ziada ya Kukujibu kwani ni Wimbo...
7 Reactions
56 Replies
4K Views
1. Jay Mo moja ya msanii bora wa hiphop kwa 2010 kurudi nyuma, alikua mbaya sana haswa kwenye featuring moja ya feallturing kali ni baina yake na Ngwair 2. Sugu ni Legend na Godfather wa...
2 Reactions
9 Replies
1K Views
Album zake ni 1.Tokooos 2.Arsenal de Belles Melodies 3.Droit Chemin 4.Tokooos II 5.Power "Kosa Leka" 6.Control 7.Formule 7. Kwangu album kalii kutoka kwake ni control...
0 Reactions
2 Replies
760 Views
Good morning jobless wenzangu natumai mko salama na matumaini ya kuijenga himaya kubwa siku za usoni japo mbele kuna kiza kinene. Twende hapa tujifurahishe Weka dhanio unatakiwa kutoa sare...
0 Reactions
0 Replies
230 Views
Siku za Juzi kati msanii wa Bongofleva mwenye Sauti yake hapa Mjini Daresalade alimchamba Majizzo na kumtuhumu kumuomba Rushwa ya Ngono na mambo mengine kadha wa kadha. Kitu ambacho kiliibua...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
MKASA WA KWELI KILICHONIKUTA IYOLE SITOKAHA NISAHAU MWANDISHI: ZUBERI MARUMA Whatsupp: 0759427653 01 "Jina langu kamili ni Samson Ezekiel ila wengi upenda kunihita Sir Ezikiel, tahaluma yake...
12 Reactions
175 Replies
24K Views
Zote ni nyimbo bora kuhusiana na mji wa New York. Zote ni nyimbo zilizo dondoshwa na two of the best rappers duniani. Kwa upande wako ni ipi bora kuliko nyingine...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Rema na nyimbo ya calm down rmx imepata kusikilizwa idadi ya bilioni Moja kwenye Spotify. Licha ya wasanii wengine afrika ila kwa upande wa wanaijeria na wagana wanautendea haki mziki na Kila...
1 Reactions
11 Replies
843 Views
Leo ni September 11 siku ambayo Marekani wanaikumbuka kwa shambulizi la kihistoria la kigaidi lililofanywa na kikundi cha kigaidi Al Quaeda chini ya Osama bin laden mwaka 2001. Leo mimi...
1 Reactions
8 Replies
988 Views
Mnamo Juni 1999, taasisi ya Uholanzi ya Madunia ilirekodi hali Halisi, Makala ya video ya dakika 30 kuhusu rap nchini Tanzania (Afrika Mashariki). Hali Halisi "hali halisi" msemo unaonyesha rap...
2 Reactions
0 Replies
601 Views
Hali zenu wana jf! Mda mwingi mimi nkipumzika napenda kusikiliza radio hivyo mda huo nmebahatika kusikia sauti za watangazaji kadhaa ambao nliona ni wakali nao ni hawa Millard Ayo, B dozen...
2 Reactions
106 Replies
43K Views
Mwanariadha wa Kenya Abel Mutai alikuwa karibu na mstari wa kumaliza mbio, akachanganya alama za kumaliza mbio na kusimama akifikiri ameshaliza na ni mshindi, ingawa hakuwa amevuka mstari ili kuwa...
8 Reactions
10 Replies
782 Views
Back
Top Bottom