Maana ya uhuru huisha baada ya utambuzi
Baada ya kutambua kwamba uhuru si maamuzi
Maana Kifungo na mipaka vinafanana
Aliyekuambia kuna uhuru utaupata kakudanganya
Ipo asili inayofanya mwili...
𝙒𝙄𝙈𝘽𝙊: VITA IMANA
𝙈𝙒𝙄𝙈𝘽𝘼𝙅𝙄: FERRE GOLA
𝙏𝘼𝙁𝙎𝙄𝙍𝙄: SULE MKANDARASI
𝙄𝙣𝙩𝙧𝙤
Le malheur poursuit celui qui peche
Et le bonheur recompense le juste
Ferre Chaire de Poule
Ecouter ma chanson
𝘽𝙖𝙝𝙖𝙩𝙞...
Wanasema Afrika Kongo ni nyumba ya mziki mzuri, nahisi hii imethibitishwa.
Tupe jina la msanii na nyimbo alizoimba tuburudike, mimi nitaanza:
1. Franco Luambo - orodha ya nyimbo zote
2. Papaa...
Hizi nyimbo za rhumba huwaga zinakumbusha mbali sana
Mayaula mayoni- Mbongou
Diblo Dibala- Machete
Papa Wemba yolele
Extra music- Shalai
Extra music- Losambo
General defao- Famile kikute
Kanda...
Kwa wale wapenzi na washabiki wanaomkubali ferre gola lepadre, ambao wameweza kusikiliza album yake yote ya dynastie yenye nyimbo 18. Mtakua mmeona jamaa alivyo na uwezo mkubwa hasa kwenye nyimbo...
Nyota wa Tamthilia ya Breaking Bad, Aaron Paul amedai kutolipwa Mirabaha yake na Kampuni ya Kuonesha Maudhui ya Netflix, inayoonesha Tamthilia hiyo
Japokuwa Breaking Bad imekuwa moja ya tamthilia...
Umewahi kusikiliza nyimbo ya KAMANDA - DAZ NUNDA ukiwa umelewa wewe?
Basi leo Alhamisi kwenye TBT ukipata nafasi fanya hivyo utakuja kunishukuru baadae.
FENCORP ya Marekani, DAVID RICHARD INVESTMENT NA PRINCE KREATIVE za Tanzani, watadhamini Miss Utalii Tanzania 2023.
Kwa kuanzia wanadhamini ushiriki wa Tanzania katika fainali za Miss Tourism...
Salam wanaJF.
Katika uzi huu nitaelezea Historia ya Muziki wa Rumba la Kikongo. Hii itagusa Congo zote mbili yaani Kongo Brazzaville na Kongo Kinshasa. Huu ni mkusanyiko kutoka vyanza...
Extra Musica - Losambo - Lyrics
Intro
Losambo ya Extra
moto soki nanu akufi te koseka ye te= if a man has not passed away don't laugh of him
tata nzamne yo ka losambo eh , losambo losambo...
Ni muda mwingine tena tukutane hapa wale wapenda Muziki (Music) wenye asili ya Ki-kongo unaojumuisha:-
1:- Bolingo.
2:- Zouk.
3:- Sukuos.
4:- Kiringala.
5:- Kikasai.
6:- n.k
Kwa malengo ya...
Kwa yoyote anayekutana na Miziki ya Sebene na Rhumba (ya zamani na mipya) awe anatuwekea hapa ili Wadau Wengine tujue na tuifuatilie na hata tuwe nayo?
Kama kuna Kitu GENTAMYCINE nakipenda na...
Tarehe 24.06.2023 Imetokea tukio kubwa sana katika ulimwengu wa Burudani ya mziko pale Nchini Congo. Ilikua ni onesho la karne la muziki pendwa duniani.
Le Padre , Shetani Ferre Gola mwana wa...
Hili dude la "Associe" la fally ipupa kutoka katika album yake ya "Droit Chemin" ya 2006 kali sana wanangu wapenzi wa bolingo.
Nimekuwa nikilielewa kitambo sasa inshort sijawahi kulichoka goma...
Ni muda mwingine tena tunakutana kubadilishana mawazo na kupunguziana strees..moja kwa moja kwenye mada
Ni kipindi sasa nafuatilia masuala ya burudani haswa haswa burudani ya muziki, siyo siri...
Hapo nyuma niliwaletea Rhumba lake Kali liitwalo Se Yo na hata bado hatujatosheka na Utamu wa huo Wimbo tayari Fally Ipupa katuletea Rhumba lingine Kali na Tamu liitwalo MAYDAY.
Litafuteni haraka...
Tutakuenzi kwa mengi mazuri uliyotufanyia,
Tutadumisha umoja Upendo uliyo tuhusia,
Itakuja siku moja tena tutaonana tena,
Uliyoagizwa umefanya ulale mahala pema,
Hivi ndio kweli hatukuoni tena...
NDUGU ZANGU WA HIP HOP NJOONI TUZUNGUMZE KIDOGO.
Machozi jasho na Damu Album vs A.K.A MIMI Album.
Ipi ilikuwa Album kali zaidi ya HIP HOP?
Sio Profesa J vs Ngwair. Ni Album zao ipi kali zaidi...
Wimbo mpya wa Nay wa Mitego unaoitwa amkeni unaozungumzia sakata la Bandari, Ripoti ya CAG na ugumu wa maisha umefikisha watazamaji 71,000 na comments zaidi ya 2,000 ndani ya masaa 7 tu tangu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.