Nimekuwa mfatiliaji wa filamu hizo mbili, yaani fast & furious na mission impossible.
👉Na niseme pande zote mbili zimekuwa zikijitahidi kuwasiliana kazi iliyo bora zaidi.
Vin Diesel vs Tom...
Mtunzi: Nyemo Chilongani
Sehemu ya 01
Nilisimama juu ya mlima mmoja mkubwa, mawingu yalitanda angani huku radi zikianza kupiga mfululizo hali iliyoonyesha muda wowote ule mvua kubwa ingenyesha...
Sehemu ya 01
Mtunzi Irene Mbowe
Kama kuna vitu wanawake hawaaamini ama hatuamini ni mume kukosa mchepuko. Yanii hii sijui utaniambiaje niamini.
Akili yangu inaamini kabisa mr anachepuka.
Sio...
Habari wakuu,kwa wale wapenda muvi za kila wiki la jumatatu hasa wale Wenye ofisi za library na wanaopenda kutazama au wanaofuatilia muvi za kila jumatatu za
1.kihindi series
2.Korea drama...
Simulizi: Ni mwanaume nilie tambulika mwanamke
“Kho! Kho! Mmh!” inanibidi nikohoe kidogo maana sina kipaji cha kusimulia ila nitajitahidi maana nahitaji kuwafunza mambo mengi. Nimetumia muda...
Gene (illustrator na Comic artist) ni moja ya watu walifanya utoto wa watu wengi kuwa na raha kwa namna yake.
Mchoraji huyu na Director wa Tom and Jerry ambao majina yao halisi ni Jasper na Jinx...
Mtunzi: Nyemo Chilongani
Treni ilisimama mwisho wa reli, mkoani Kigoma ambayo ilianza safari yake ya kuelekea huko siku mbili zilizopita kutoka jijini Dar es Salaam.
Wenyeji waliofika mahali...
RIWAYA: MKOLONI MZAWA—2
MTUNZI: HASSAN MBONECHE
SEHEMU YA 03.
ROMA, ITALY.
Ulikuwa ni usiku. Kamishna wa intellijensia Barabara Ndirimwe alivyokutana na vijana wa PSU, ambao kwa wakati huo...
Habari jukwaani kwa wawafatiliaji wa movie za aliens sizani kama Kuna movie Bora kuizidi invasion ambayo iko season two episode ya 7 week hii ubora wake ni
1. kwanza Aliens hawajavamia america tu...
Original version ilifanywa na Zac Efron na Zendaya mwaka 2017 kwa ajiri ya movies ikienda kwa jina la The Greatest Showman.
Baadaye James Arthur na Anne-Marie walifanya cover yake.Mimi kila...
Kuna jambo la ubunifu wa hali ya juu unafanyika katika matamasha ya wasafi 2023 lichavya kuonekana wasanii wakiongozwa na diamond platnumz kama wanatumia mamilioni ya pesa ila kuna kitu kipta...
Yes kama kawa kama kawaidas Denzel Washington ndani ya nyumba [emoji91]
Huyu mzee ni balaa haswa mara ya kwanza nilipomuona kwenye The book of Eli nikasema Huyu jamaa fundi alafu anajua na anajua...
Hii inamaanisha ngoma zilizopigwa zaidi kwenye events, night pubs tiktok na sherehe mbalimbali.
5. Ameyatimba
Whozu ft Billnas
4. Sele
Mbosso
3. Shu
Diamond Platnumz
2. Enjoy
Jux ft Diamond...
Habari wakuu,
Huu ni Uzi maalum Kwa ajili ya Tamthiliya pendwa ya kituruki inayojulikana kama Sadakatsız (unfaithful) inayorushwa katika luninga ya Azam Two kuanzia jumatatu Hadi Ijumaa majira ya...
Tuvute pumzi kidogo wakati tunaisubiria 'The Godfather'....
Baada ya kuhitimu chuo kila mtu alikua na matarajio yake, wapo waliojindaa kuyafikia hayo matarajio hata kabla hawajatoka chuo, wapo...
SHIRIKA la Utamaduni la Maendeleo Afrika Mashariki (CDEA) linaendesha mradi wa mafunzo maalum kwa Vijana wanamuziki wanaochipukia wa Mkoa wa Dar es Salaam, kwa ufadhili Braid Arts and Culture...
Mtunzi Juma Hiza
Sehemu ya 01.
Nilizaliwa Julai 27, 1982 katika hospitali ya Bombo mkoani Tanga, nikiwa mtoto wa pekee katika familia ya wazazi wangu.
Maisha yangu baada ya kuzaliwa...
Mtunzi ally Katalambula
Sehemu ya 01
Kwanza namshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuniacha hai mpaka leo hii kwa niliyoyafanya naamini sikufaa kuwa hai mpaka leo hii. Nina imani alifanya hivi ili niweze...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.