Ni muziki wa kati ya miaka 2000 hadi 2010 hivi.
Nazitafuta albums z wasanii hawa chini hasa albums zao z kwanza kabisa
1.RAY C
2.Q-CHIEF
3.BANANA ZORRO
4.LADY JAYDEE
5.MB DOGGY ILE YA MAPENZI...
NDOA YANGU INANITESA
Nilikuwa nikifanya kazi katika kampuni moja ya usafirishaji wa madini kutoka Tanzania kupeleka Bang kok nchini Thailand. Kampuni yetu ikiwa ya mtu binafsi na ilikuwa Mkoani...
Mtunzi Ally Katalambula
Sehemu ya 01
SIKUJUA kama nina kipaji cha mpira wa miguu, hadi watu wa pembeni walipoanza kunieleza hivyo. Mtu wa kwanza kuniambia nina kitu miguuni mwangu, alikuwa ni...
Uzi huu ni maalum kwa ajili wa waandishi na wapenzi wa kusoma mashari kuja hapa kujadiliana na kufundishana vitu mbalimbali kuhusu ushairi.
Karibuni jamani tushirikishane na tutunge mashairi...
Habari wakuu, natumai mpo gudi, rejea kichwa cha habari hapo juu,
Kuna muvi fulani hivi kwa ambae anaweza kuijua hata jina yenye pia ina maudhui ya mauaji ya kimbari pale Rwanda iko hivi;
Kuna...
1. https://www.fzmovies.net/
Ni moja ya tovuti yenye mkusanyiko mkubwa wa sinema ambazo unaweza kuangalia kwenye simu au kompyuta yako.
Pia Inaruhusu Watazamaji Kupakua Sinema.
2. Mobile...
TUNGO: Hatima ya ujinga wake
MTUNZI: Bux the passionate lover
MWANDISHI: Bux the story teller
MWANZO
Furaha ilikuwa sehemu ya historia ya wapenzi wawili kwenye maisha yao, walikuwa wanaingia...
Hello kuna watu walikuwa wanatafuta sana wimbo wa John Komba ulioimbwa wakati wa mazishi ya Nyerere, "Taifa lahuzunika" huu apa nimeupata, naomba usishau kuSUSCRIBE channel kwa Mengi zaidi.
Habari wakuu!
Natanguliza shukrani wa wadau na wapenzi wa nyimbo za zamani (zilipendwa),naombeni msaada wa kujua jina la wimbo na wa/mwimbaji kwa kuwa msanii aliyeimba simjui wala jina halisi la...
Baada ya marehemu Steven Kanumba kufa Bongo movie ilipoteza mvuto wake. Ikapoteza ubora wake kwasababu ambao walibaki walishindwa kwenda na ubora ule ule marehemu Kanumba alikuwa nao.
Ndo kitu...
Kwa alie na space movies kali asisite kutupia jina la movie hiyo, ili tujifariji wapenzi wa movie hizo kipindi hichi Cha karantini..
Sifa zisiwe na uongo mwingiiii.. hiyo ni kwangu binafsi ila...
Hii ni mwisho wa matatizo, kwanza mwanzo tu wa movie kama una roho nyepesi huwezi kuendelea kutazama. Watu walichakazwa na risasi yaani sio poa.
Hivi kuna movie ya kivita kali zaidi ya hii...
Wakuu mko powa...
Mim ni mpenzi wa yale mangoma ya enzi hizooo,,
Makundi kama The Temptations, Cool & the gang basi nikisikia vibao kama
Treat her like a lady, dady cool, don't let it till...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.