Wakuu hii ndo list ya movie zakutisha, kusumbua, mazombi, mauaji, kutesa nk
[emoji419]Trauma
[emoji419]The human centipede
[emoji419]Atrocious
[emoji419]A Serbian film
[emoji419]Terrifier...
UMASIKINI NI DHIKI,
Umasikini ni dhiki, kila siku mashakani,
Na tena hathaminiki, mtu kuwa masikini,
Fukara hana rafiki, humtenga majirani,
Ni dhiki umasikini, Umasikini ni dhiki..
Ukiwa hauna...
Mtunzi ni CK Allan
Madam President
Juni 1998
Ilikua jioni nzuri kabisa ambapo sehemu mbali mbali za jiji la Tanga Kuna Hali ya baridi na mvua nyepesi zilikua zimeanza, nikiwa na Rafiki yangu Jacob...
Pamezuka ubishi kuhusu wimbo wa "Superwoman" wa Phina na "Superwoman" wa Zuchu. Kuna mjadala mkali sana kuhusu wimbo upi umetulia kusikiliza ukiwa safarini.
Nimeamua kuileta hii mada hapa...
Binafsi kuanzia Sasa n shabik nambar uno wa muvi na series za kinaija
Hawa jamaa wanajua na wanakuja kwa Kasi ya ajabu
Kimzki wametushinda hata muvi pia wametushinda
Ukitaka kuamin maneno yangu...
THE BEST RADIO PRESENTER
EZDEN JUMANNE " EZDEN THE ROCKA"
KISS COLLABO MIX SHOW
KISS FM
SAHARA MEDIA
***
Mbali na Ezden, wafuatao ni watangazaji wa Tv na radio na Djs...
Alipita kwenye mikono ya Kameta, akapita UPTOWN RECORDS na baadaye akaja na studio yake, COMBINATION SOUNDS.
Nilianza kumsikia kwenye ngoma za msanii mmojammoja kama; Blue, Rhyno, Mb Doggy lakini...
Moja kati ya wimbo bora wa hip hop wa mapenzi ni huu wimbo kuanzia beat, sauti na ujumbe. Humo ndani kaimbiwa binti mmoja mkali wa kiafrika asiye na uslay queen.
Endelea kupumzika kwa amani huko...
Habari rafiki!
Je, wewe ni kijana mwenye kipaji cha kuimba, kupiga piano, au kupiga gitaa? Ikiwa ndiyo, tuna furaha kukualika ujiunge nasi katika safari ya kuendeleza kipaji chako!
Tunayo akaunti...
HISTORIA YA EXTRA MUSICA SEHEMU YA II
Sehemu ya pili inahusu
(a) Kutoka Uimbaji wa kwaya/misibani hadi Extra musica na baadae kugawanyika
(b) Nini wanafanya baada ya mgawanyiko...
NI SANAA AU UTELEZI?
Anajulikana kama DOLLO MOSSES TMK HALISI.
Nilimfahamu toka enzi za Radhia, Inahitaji roho ya chuma kuishi na watu vizuri na ngoma nyingine za Wachuja Nafaka na TMK WANAUME...
Tanzania ni nchi pekee ambayo mtoa huduma ni boss kwa mteja, na maboss wamiliki hawajali chochote kuhusu wateja.
Arusha wako vizuri hapa hawasiki nawakubali 🙏🙏🙏
Mimi mpambanaji, mjasiliamali...
NDANI YA MISTARI
BAD MAN - D KNOB FT CANNIBAL
Mtumishi wa Bwana, Innocent Sahani aka kinundu kichafu "Dirty Knob" kwa kifupi D KNOB akiwa na Mla nyama kutoka Mombasani waliangusha dude hili...
oyyy niaje wana duu aisee mjini fm ni habari nyini apa kunapindi cha Soggy na darboy dah aisee ni noma apa saizi kuna wana wana freestyle hatari sana
alafu kubwa kuliko kuna beer za bure kabisa...
( 1-5 )
CHOMBEZO ❤️🔞
NITAKUPA LAKINI NIMEOLEWA
SEHEMU YA 01
Anza nayo.......
“Mke wangu ananipenda sana,” Tasriki alisema hivyo.
“Kitu pekee
ambacho unatakiwa
ukiamini ni kuwa wewe unampenda...
Charles Hillary a.k.a Jitu
Julius Nyaisanga a.k.a a Anko J
Flora Nducha
John Dilinga
Sebastian Maganga
Sostenes Ambakisye
DJ Fast Eddy
Misanya Bingi
Asia Mohamed
Hivi hawa watangazaji...
Nmejaribu sana kuangalia baadhi ya series za mataifa mengine nmejikuta nashindwa kabisa hasa za:
1. Spain
2. Mexico
3. Philippines
4. Turkey
5. Korea
6. China
Hawa jamaa bado wana series za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.