Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...
Wakuu habarini, Nimeamua kutoa punguzo kwa members wa JF au rafiki zao kwa wale wote wanaohitaji kufanya party fupi ya birthday au event yeyote isiyozidi watu 100 kwa muda wa masaa 2 hadi 3...
6 Reactions
12 Replies
636 Views
Wanajamvi heri ya pasaka na mfungo kwa islamic. Direct kwenye mada, wakuu ukiacha series zilizo sifiwa sana kama Iris na Game of Throne ambayo nilijaribu kuifuatilia ila maudhui yake yakanifanya...
1 Reactions
29 Replies
1K Views
Hamjambo humu ndani😉nimewamiss haki tena. Bhana sijui ndio nataman kuwa kwenye mapenzi ama laa🫣🫣maana huu wimbo tangu saa sita mchana mpka sasa ninaupiga na sijafikiria kuuchoka. Huu wimbo...
14 Reactions
95 Replies
4K Views
Kwa wale wa Originality, Different, and Creativity, with a bit of one liners and humorous dialogues ; A Case every Episode while looking at a bigger picture... One of the Best Series at the...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
23 years ago today, Britney Spears released ‘‘Oops!... I Did It Again.’ The Grammy-nominated pop classic served as the lead single off her blockbuster sophomore album. It was a #1 hit in the...
1 Reactions
4 Replies
452 Views
Mwanzoni nilikua napenda kuishi sehemu ambayo haina makelele lkn sasa nimekuwa mtu wa stress sana siishi na familia yangu nimekuwa mtu wa mawazo sielewi hatma yangu kuondokana na stress nakunywa...
0 Reactions
18 Replies
629 Views
Kenge kwenye moja na mbili Hivi ni kweli MTAJI WA MASKINI NI NGUVU?? Kama ni kweli acha nikawe mwizi..Ngoja kwanza nikiwa mwizi si ZA MWIZI NI AROBAINI?? Amakweli NGOMBE WA MASIKI HAZAI,NA AKIZAA...
1 Reactions
4 Replies
815 Views
Habari zenu wana JF Natumai Pasaka imeisha salama. Miaka kidogo iliyopita kulikua na uzi watu walipost bongofleva zile old school. Ziliwekwa mp3 hapo lakini ule uzi sijui ulifutwa au la. Mimi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mmiliki wa hii Pub hapa Iringa ana kazi kubwa ya kufanya. Niko hapa saa hii, huduma ni Mbovu ajabu, wahudumu wana lugha za ajabu na dharau hadi unashangaa. Kama ilivyo kwa Liquor store nyingi...
0 Reactions
1 Replies
584 Views
Thanks to South African Amapiano.
2 Reactions
8 Replies
334 Views
Wapi kuna live BAND muda huu hasa Kindondoni nataka nikapunguze stress.
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Jioni baada ya kutoka mihangaikoni nimekaa geto, nikitafakari siku yangu imeendaje. Wakati huo wa kutafakari huwa napenda kusikiliza muziki na miziki yangu mara nyingi ni Hip Hop na Reggae ila leo...
2 Reactions
2 Replies
467 Views
Mwamba huyo ni koffi olomide. Yoyote moja itutulize na sisi great thinkers
1 Reactions
3 Replies
823 Views
Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana akikata utepe kuashiria Uzinduzi wa Album ya Msanii wa Muziki wa Injili Christina Shusho Aprili 9, 2023 katika Tamasha la Mtoko...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kabint niliwah kukatongoza kakanikataaa Baada ya miez kadhaa siku km ya leo nikakuta missed call yake kwenye kimeo changu Nikaenda kwenye simu ya kijiji ili nimrukie hewan Tunaiita sim ya kijij...
1 Reactions
17 Replies
700 Views
-BUSU (KISS)- (Kutoka Ikulu hadi Kumpenda Kiziwi) Episode one Hey! Naitwa Jack, ni mtoto wa kitajiri na nina miaka 24...
2 Reactions
41 Replies
9K Views
Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana amewasili Mlimani City Jijini Dar es Salaam, tayari kwa ajili ya Tamasha la Mtoko wa Pasaka Aprili 9, 2023 linalowakutanisha...
0 Reactions
0 Replies
922 Views
Kwenu wadau... Kile kipindi cha ule utatu (Bantu, Gadner na Musa) kiukweli wamekipunja muda. Wale walevi wanafanya poa sana kudadeki zao, masaa 2 hayawatoshi kabisa. Uongozi wa CMG ulifanyie kazi...
1 Reactions
0 Replies
796 Views
Oya wadau vp nlikua naomba muv za martin Laurence mnazo zijua
1 Reactions
1 Replies
291 Views
Simulizi : SAFARI NDEFU KUELEKEA KABURINI Mwandishi : NYEMO CHILONGANI Imeletwa kwenu na: BURE SERIES SEHEMU YA 1 Muda ulikuwa ukizidi kwenda mbele huku dereva wa gari ndogo aina ya Prado...
8 Reactions
105 Replies
15K Views
Back
Top Bottom