Nimesikiliza huu wimbo kwa makini ulioimbwa na kundi la Tancut Almas..kweli zamani nyimbo zilikuwa na mafundisho!
mama analalamika ni miaka 12 sasa hajamuona mtoto wake amekuwa ombaomba huko...
"Wakati umewadia wa salamu za wagonjwa hospitalini leo tunawapa pole*2" Ajuaye bwana Mungu kuwa mzima kuwa mfu mgonjwa kuwa salama leo tunawapa pole*2"
Kiitikio;
Kipindi chenu kinawapa pole wote...
Ukweli nilikaa mwaka jana mwishoni na katika kutafakari juu ya jambo husika nikasema niandike wimbo. Sina ujuzi wa uandishi wa nyimbo (rap au kuimba) ila mimi ni mwandishi mzuri tut wa mashairi na...
Wakuu hii ndo list ya best documentary movie na tv shows za muda wote
[emoji419]murdaugh murders :deadly dynasty
[emoji419]formula 1:drive to survive
[emoji419]murdaugh murders :a southern...
MWIGIZAJI Mtanzania Yvonne Cherrie, maarufu kama ‘Monalisa’ ameshinda tuzo ya kimataifa Emmy Kids 2022 katika series ya ‘My Better World Show’ kwa kuingiza sauti kwa lugha ya Kiingereza.
Baada ya...
UNAIKUMBUKA SOUNDCRAFTERS?
UNAMKUMBUKA BIZMAN KAMA MWIMBAJI?
UNAMKUMBUKA BIZMAN KAMA PRODYUZA?
UNAMKUMBUKA BIZMAN KWA KITU GANI??
UNAMKUMBUKA ENRICO KWA VINANDA AU KWA KITU GANI??
Nakumbuka...
Habari za zenu Wana Jf
Throw back Tuesday
Ilikuwa mwezi wa 12 miaka mingi kidogo nyuma baada ya kwenda likizo Morogoro tulifikia kwa baba mdogo ambaye alikuwa anaishi maeneo ya tazara
Siku moja...
Katika kuadhimisha miaka miwili ya kifo chake vijana wapo wanaokumbuka mazuri yake lakini pia wapo wanaokumbuka mabaya yake, nyimbo hii ni moja ya nyimbo inayokumbusha mmoja wa upande wake.Chukua...
Turudi kwenye Old School Hip hop.
Hivi ni Collabo gani ya HIP HOP haikuwahi kufanyika hadi leo unasema, Kama ingefanyika basi ingekuwa hatari sana.
Naanza Mimi, Collabo ambazo nilitamani...
Mimi ni mpenzi sana wa bongo movies ingawaje mimi sio mtanzania wala siishi Tanzania. Kuna moja linanikera sana katika movie hizo; ni background music.
Inakuwa hata vigumu kusikia wanachosema...
=
=
Kudadadeki Lyrics By Nay Wa Mitego Below:
Heeeh whatsap ma people
Its me again baba yaga I'm on it
Leo sitaki kuimba nataka nichane
Na mizuka ikinipanda mniruhusu nitukane
F**k...
Kwenye ukumbi wa harusi, unapigwa wimbo wa, "nimeachwa sitaki maswali...jimbo liko wazi"—ukumbi mzima unainuka na kusererebuka wakinyanyua glasi mbele ya maharusi!
Bendi mpya ya Chato Musica imeanzishwa huku wakitoa kibao chao cha kwanza kikiitwa "Hapa kazi tu" ikiwa na kuunga mkono juhudi za Serikali ya awamu ya 5 inayoongozwa na Rais John Pombe Magufuli...
Wanajamii wenzangu upande huu wa michezo kwa muelekeo wa ligi ya mabingwa mwaka huu na ubora wa Timu zilizosalia unadhani ndoo inaweza kwenda wapi hadi sasa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.