Habari wakuu,
Najua kuna watu wamejtoa kabsa kufatilia Bongo Movie lakini embu tujadili kidogo mana hakuna namna mtoto hata akiwa taira huwezi msusa.
Nimejaribu kukaa kuwaza kwanini Bongo Movie...
Kuhusu mwimbo huu kiufupi. Elimu hata kuhesabu kuligunduliwa na Mwafrika mweusi, hata chuo kikuu cha kwanza duniani kilikuwa Mali, na Wayahudi wa kweli walioandika Biblia hasa agano la kale...
Sio wimbo wa kuchosha kusikiliza. Wimbo unaoendana na matendo ya binadamu kila iitwapo leo. Dunia uwanja wa vurugu. Jamaa alikuwa komoa sana hakuna mfano. R.i.p Legend. Tutakukumbuka katika kazi...
Nimejaribu kufatlia song la essence la kid limekua kubwa sana hadi global nkashawishika kuwashauri NDGU zetu wajaribu kutupia Kwa English wenda wakatoboa KIMATAIFA mana kiukwel KIMATAIFA bado sana...
Mambo vipi?
Kuna wimbo nautafuta mpaka leo sijajua ni nani ila ulikuwa unapendwa kupigwa sana TBC kipindi cha jioni cha miziki, alieimba ni mdada sijui jina lake, anamwimbia jamaa kwamba, "...
MZIKI ULINIAJILI... NI KAMA LUCK DUBE ALITABILI CORONA (ALIVAA BARAKOA KWENYE WIMBO WAKE WA THE WAY IT SI)... NA KUKATALIWA NA WAZUNGU.
Je, Generation yake inatabili janga gani la Dunia?
"Can You Still Trust Anybody to be Good After Everything You've Been Through?"
Binafsi siwezi, kwa umri niliofikia na kutembelea sehemu na maofisi mbalimbali, nikijumlisha na life la mtaani...
Kwa anayemfahamu huyu binti ana UMRI gani? Tumuoe tunamiliki GOROFA NA VOGI? SASA TUSHINDANE KWA UTAMADUNI - Mbinu za kupata RAIS BORA WA TANZANIA WAJAO
DStv Wana channel inaitwa Nat Geo, wana kipindi kinaitwa Banged-up Abroad.
Kipindi kizuri Sana kinahusu watu waliokamatwa nje ya nchi kwa makosa kama madawa au kutekwa na waasi.
Real life...
hii nyimbo ya Phil collins- do you remember kiukweli kama umemipitia kwenye mapenzi na uliyempenda,ulitaka kuwa chaguo lako,kulingana na maisha ya hapa na pale.
Nitawarudisha nyuma lyrics
We...
Hivi kwa nn siku hizi tukienda disco haipigwagi blues?
Ukute ulienda peke yako bila mupenzi halafu muda wa blues ufike [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] utaona mtu anazunguka kona...
Habari za Usiku Wana Jamii Forums.
Ninae Rafiki, Msichana, mwanachuo Wa DIT. Anakipaji Kikubwa sana cha Mziki yaani Anaimba Dunia ya Mwisho
Nimeambatanisha Audio Aliyoimba Akifanya kama Cover...
Katika dunia ya sasa, views ni kipengere mojawapo muhimu sana cha kuitrendisha sanaa ya nchi fulani katika uso wa dunia.
Hali imekua tete baada ya mabando kupanda bei saizi youtube watu...
Habari Wadau!
Hi track inasemekana imetoka jana nimeicheki You tube kupitia shared you tube link ya globalpublishers.co.tz mistari yake imenifikirisha na bado inaendelea kunifikirisha.
Sijui...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.