Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...
Nimebahatika kuziangalia hizi zote, kitu cha kwanza kabisa, hazifanani, ni muvi tofauti ila ukija kwenyr uandishi, huyu aliyeandika hii Squid Game, ameiandika kiuandishi kabisa. Muvi A: Series ya...
14 Reactions
55 Replies
7K Views
Hii Ndio List Ya Wasanii Waliotazamwa Zaidi Katika Mtandao Wa Youtube Kwa Mwezi Wa Kumi Kwa Mujibu Wa @chartdatatz 1. Diamond Platnumz - 33.6M 2. Rayvanny 20.9M 3. Alikiba 13.6M 4. Harmonize...
3 Reactions
6 Replies
2K Views
Ni wazo tu, Wasanii wengi wameshatangulia mbele ya haki! Hawa waliobaki wangejiunda wakafanya tamasha la kuwakumbuka/kuwaenzi kwa kazi zao. Pesa itakayopatikana isaidie familia zenye uhitaji za...
0 Reactions
0 Replies
807 Views
Wakuu sijawahi kutazama hizo series, na hapa sasa hivi ninazo zote mbili, naombeni ushauri wenu nianze na series ipi?
1 Reactions
20 Replies
4K Views
Donnie yen tena ndani ya nyumba jamaa kacheza kama afisa polisi afande bong huyu mwamba akicheza uhusika wa polisi anakiwashaga kweli na humu kakiwasha kweli hii movie imejaa...
4 Reactions
4 Replies
851 Views
WARAKA MAALUM KWA PRODYUZA DONCHA. NILIJIIMARISHA KIMUZIKI NA UIMBAJI ULIO BORA KWA KUTUMIA BEAT YA AINA YOYOTE ILE MWAKA2014 KWA PRODYUZA "DONCHA" WA MWANZA.(DJ. DON NALIMISON) Producer DONCHA...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Mwaka huu imetimia miaka 17 tangu tumpoteze gwiji wa muziki mnamo mwaka 2004 na kuzikwa makaburi ya kinondoni. Nataka tujadili uwezo na mchango wa Ndala Kasheba kwenye muziki wa Tanzania. Kwa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Leo nimekumbuka nimetokea kukumbuka miaka sana nyuma. Kuna hizi katuni za Walt Disney zilikuwa na nyimbo ambazo zilitungwa kwa umahiri wa hali ya juu na kuimbwa na wanamuziki wakubwa. Kuna...
3 Reactions
25 Replies
2K Views
Wakuu huyu mdogo wangu anakipaji cha Kimarekani afanyeje aweze kuingia U.S. kuimba Muziki wa namna hii. Kama una marafiki ni producers huko US, au American Got Talent, au Wasanii wakubwa US...
2 Reactions
22 Replies
3K Views
Ikiwa imepita miezi kadhaa baada ya kuachia album yake ya sound from Africa, usiku wa tarehe 28 Oct rayvanny ameamua kuachia EP yake ikiwa na jumla ya nyimbo 6 na dikika 19 za kusikiliza, mimi...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
wakubwa salaam, nimesikia tetesi za kwamba msanii maarufu bongo ma east afrika Diamond alifukuzwa kwenye harusi ya msanii anayeunda kundi la p-square, paulo huko nigeria, eti ni ukwel? na kama ni...
1 Reactions
30 Replies
7K Views
Habari wakuu, Niwaambie ukweli leo mi huwa sijui kucheza kabisa niwapo club, sasa wakati ule wale ma broman na masister du wanaoujuaga kucheza kwaito walivyokuwa wakijishaua kila ikipigwa kwaito...
4 Reactions
8 Replies
2K Views
Majuzi kuna wasanii wawili wa sanaa ya muziki wa singeli waliamka na akili za utotoni na kuzua taharuki mitandao. Huwa sina utaratibu wa kusifia kilicho kibovu na ikitokea nimesifia msanii kuwa...
2 Reactions
10 Replies
2K Views
Nisiwachoshe. Sikilizeni alichoimba Ney wa Mitego. Nafikiri ndio msanii pekee aliyeonyesha kutetea anayoamini kwa muda wote. Unaweza ongeza lolote kuhusu Ney kama unalo.
2 Reactions
2 Replies
2K Views
Wapenzi wa series za Uturuki nikiwa mmoja wapo, japo kuangalia kwa subtitles ni changamoto ila kwenye story wanajitahidi hasa kwenye visa kuanzia vya mapenzi, missions n.k Zifuatazo ni baadhi...
8 Reactions
47 Replies
7K Views
huyu mkongwe mwenye sauti tamu na nyororo ningebahatika kuonana nae ningemwambie nyimbo zako zinaniliwaza sana atakama niachwa [emoji28][emoji28] then ningeubusu mkono wake huyu celine namwelewa...
7 Reactions
25 Replies
2K Views
Breaking News: Majina ya mastaa mbalimbali yametajwa kuwania tuzo za #MtvEma2021 ambazo zitafanyika nchini Hungury mwishoni mwa 2021. Kwenye orodha hiyo staa wa muziki kutoka Tanzania...
2 Reactions
14 Replies
1K Views
Ikiwa ni majira ya usiku na kuisindikiza weekend yangu leo nimeanza kutazama series ya Sleepy Hollow iliyokuwa 'produced' na Fox. Kongole za kutosha ziwaendee waandishi wa series hii ambao ni...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Kuna hii tabia ya RESERVED, unaingia kula bata unakutana na meza 5 zote Reserved na hakuna pa kukaa, huu ni ubaguzi kwa sisi wateja wenu, ipo siku tutawaachieni na hao watu wenu. Tafuteni mbinu...
10 Reactions
83 Replies
5K Views
Leo ndio nimejua sijui. Kiukweli sikuwahi kuwaza kama huu wimbo ni wa dini. Na nmedata zaidi niliposoma comments za watu kwamba huu wimbo Congo unapigwa makanisani sana. Wakati huku kwetu...
1 Reactions
10 Replies
5K Views
Back
Top Bottom