Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

JF Prefixes:

Natazamwa kama mgongo Wa kuegewa kama chombo Nikitegemewa na watoto Lakini kwa ndani mi' ni mtoto pia Mtoto wa katikati Njiapanda kati ya Ukweli na uongo Ukubwa na udogo ama Upofu na uchongo Ama...
5 Reactions
6 Replies
283 Views
Kwa anayetaka kujua Uwezo wake atafute ile Video ya Kanda Bongoman ya Live aliyopiga nchini Kenya kabla aliyekuwa Rais wa Kenya Daniel Arap Moi kumpa Saa 24 Kanda Bongoman aondoke nchini Kenya...
3 Reactions
28 Replies
2K Views
RIWAYA: URITHI WA GAIDI. NA; BAHATI MWAMBA. SIMU: 0758573660 Vitabu vilivyopita. • Kikosi cha pili • Dakika za mwisho • Mpango wa Congo • Mbwa wa geti • Operesheni jicho...
15 Reactions
293 Replies
65K Views
Just imagine mwana wa mai 🤣🤣😆
2 Reactions
2 Replies
204 Views
Nisikuchoshe na usinichoshe, tusichoshane! Kwenye haya maisha kuna wakati huwa ninakaa chini na kusema "Kama sikufa kipindi kile,basi siwezi kufa mpaka Mungu atakaporuhusu" Nadhani wengi...
118 Reactions
2K Replies
550K Views
Ni jumatatu yenye hangover ya weekend. Basi lets talk about Music. Good Music.. Rhumba & seben Music. Kutoka miaka ya 1990 jamii ya Tanzania katika anga la Burudani, muziki wa dansi (nikimaanisha...
2 Reactions
6 Replies
4K Views
Moja ya series kali sana. Saa 5 kamili itakuwepo Netflix. Wanasema haitapatikana kwenye platform zingine isipokuwa Netflix.
7 Reactions
24 Replies
944 Views
Blog ya @burudanimbeya wanakupa taarifa ya utoaji wa Tuzo Kwa wanasanaa wote nyanda za juu kusini ikijumuisha wanamichezo na dhumuni la hizi Tuzo ni kuonesha kutambua mchango wa watu Hawa hapa...
2 Reactions
0 Replies
120 Views
Habari zenu naomba kuwaletea story nzuri na tamu Am not a doctor AM NOT A DOCTOR 01 Muandishi………………………………………..EDDAZARIA G.MSULWA(Next Level Author) Mawasiliano…………………………………….0657...
1 Reactions
126 Replies
61K Views
Eeeeh wakuu, Mnaotaka kuzielewa siasa nyuma ya pazia na michezo michafu inayochezwa na wanasiasa pamoja na wafanya biashara wakubwa kuitawala nchi na kuiweka mfukoni. Kuteka mihimili yote...
2 Reactions
3 Replies
241 Views
𝐊𝐎𝐅𝐅𝐈 𝐎𝐋𝐎𝐌𝐈𝐃𝐄 𝐕𝟏𝟐 𝐀𝐋𝐁𝐔𝐌 Ni albam ya 13 ya Koffi Olomide. Iliachiwa mapema mwaka 1995. Kwa mujibu wa Tutu Roba, mdogo wake Koffi hii ndo albamu bora zaidi ikifuatiwa na Efrakatta. Kipaji...
4 Reactions
19 Replies
628 Views
Nadhani muda wa kuwekeza kununua PS5 umefika. Huyu Lucia atakua my fav character.
4 Reactions
19 Replies
399 Views
  • Poll Poll
pichani ni ngoma kali nilizozisikiliza zaidi 2023. Katika miaka ya hivi karibuni, nimekuwa shabiki mkubwa wa muziki wa Kikongo, haswa kazi za Ferre Gola na Fally Ipupa. Walakini, hivi karibuni...
2 Reactions
31 Replies
1K Views
JAMANI EEEH. NYIMBO GANI YA ZAMANI YA HIP HOP BONGO FLEVA HADI LEO HAUJASAHAU MISTARI YAKE? MIMI KUNA HII HAPA CHINI YA JCB INAITWA SINA TAXI REMIX. HEBU TILILIKA NAYO HUKU UKITUPA NA WEWE LYRICS...
2 Reactions
23 Replies
4K Views
Nadhani kuanzia saa tatu usiku hadi saa nane usiku(nafikiria), katika channel ya clouds TV, crown na sinema zetu umekuwa na kipindi cha stand up comedy kinachoitwa Churchill show. Kipindi kina...
1 Reactions
5 Replies
330 Views
RIWAYA: MPANGO WA KONGO NA, BAHATI MWAMBA SIMU: 0758573660. 1 MAUAJI Ilikuwa ni ndani ya majengo ya ubalozi wa Tanzania yalioko pembeni kidogo mwa mji wa mji mkuu wa Congo DRC katikakati...
20 Reactions
695 Replies
131K Views
Mfalme Pharao de Tanzanie, Le Roi de la Rhumba Mfalme Pharao - Usiwasikilize https://m.youtube.com/watch?v=3tz4RFZXwZE
2 Reactions
6 Replies
235 Views
Awali ya yote kwa yeyote aliyekuja pupa ili kunijibu nina maneno mawili tu, "Punguza spidi", rejea kichwa cha uzi kisome vizuri kisha urejee tena. Nakiri kwamba sikuwahi kuangalia filamu ya John...
3 Reactions
17 Replies
354 Views
Kumekuwa msikilizaji mzuri wa ufm kwa baadhi ya vipindi vyake. Niliamua kupunguza vipindi vya kusikiliza baada ya kugundua kuwa wana uchawa mwingi sana. Niliendelea kusikiliza vipindi vya mziki wa...
7 Reactions
13 Replies
453 Views
Ulikua ukipigwa kwenye maredio siku ya ukimwi duniani. Sana sana kwenye Rtd sasa TBC. Maneno ya wimbo' Jamani ee Sikilizeni niwaeleze haya, janga la ukimwi halina dawa wala kinga,.
3 Reactions
4 Replies
184 Views
Back
Top Bottom