Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...
Uzi maalum wa kupata simulizi kutoka Simulizi Huru Media Production. Karibuni
0 Reactions
9 Replies
5K Views
Salaam wakuu Kuna msanii mmoja hivi alitamba na wimbo wa naumia roho jina anaitwa Dullayo hivi jamaa yupo wapi skuizi? Ameacha mziki?
2 Reactions
8 Replies
2K Views
Hii nchi inaongoza kwa unafiki, hii ngoma imetoka mmekaa kimya, hamsemi wala hamsikilizi Kuna watu wanasikiliza mziki kwa majina ya wasani. Dayna Ft Davido ELO ni ngoma kali sana na hii ni...
6 Reactions
25 Replies
3K Views
Jana Jioni Baada ya Kuchoshwa na Kazi za Kaisari, niliingia You tube kutafuta nyimbo nilizokuwa nikizisikiliza. Nikabahatika kumkumbuka Msanii mmoja toka Iringa akifahamika kama Mike T aka...
1 Reactions
0 Replies
867 Views
Leo 2/6/2021 msanii kutoka Label Ya Konde World Wide Music ameachia kibao chake kinachoitwa ROHO... Unaweza kusikiliza kibao kupitia mitandao mbalimbali... Kwa Maoni Yangu Dogo Its Great Song
2 Reactions
19 Replies
2K Views
Kama umeangalia angalia hizi movie nisaidie nijue ipi nzuri niitafute, naweza Google lakini ntakuwa sina uhakika kama itakuwa nzuri, nahitaji za dizaini ya troy, alexander, braveheart, 300...
0 Reactions
679 Replies
173K Views
Aisee! Huu wimbo Nibebe wa Kusah x Barnaba una mwaka sasa ila mimi ndio kwanza nimeusikia leo. Kuna wasanii wanajua kuimba ila hawana nyota. Mashairi mazuri, ujumbe mzuri wa mapenzi, sauti tamu...
0 Reactions
2 Replies
542 Views
Habari za wakati huu wakuu, mimi Ni mdau mkubwa wa game ya Hip Hop ya hapa Bong (mainstream na underground hip hop). Leo nataka tujadili kuhusu hip hop ya bongo especially, underground hip hop...
4 Reactions
6 Replies
3K Views
Wakuu habarini za leo. Poleni na majukumu na sakata la BET. Wimbo ya kijana wa KONDEGANG ibra mnaichukuliaje Naiona ni nyimbo moja hatari sana na ubunifu wa kutisha je nyie mnaichukuliaje?
1 Reactions
2 Replies
932 Views
Wale wapenzi wa Money heist season 5 imerejea. Mtandao na watayarishaji wa series hii wametangaza official date ya kutoka kwake. Part 1 itatoka SEPTEMBA 3 Part 2 itatoka DESEMBA 3. Tukae mkao wa...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Kama ww ni yule mpenzi wa Korean drama za family na comedy basi hii isikupite. Drama hii imetok mwaka 2017 na ina ep 52. Drama:FATHER IS STRANGE Tv channel:KBS Set:Korea Year:2017 Episodes: 52...
2 Reactions
11 Replies
2K Views
Ni Rostam ft Ferooz , jamaa huwa nawaelewa sana wasikilize hapa msije sema nimetia chumvi.
2 Reactions
74 Replies
14K Views
Katika Comedian movie zangu kwa mwaka huu ni Coming 2 America imejaa vituko mno yaani nikitazama nafurahi mda wote inaondoa stress kwa kweli ukiachana na mitungi. Nilipenda Wesley Snipes...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Niaje niaje. Kongole Kwa Mr Diamond Platnumz kwakuwa kwenye nomination ya tuzo kubwa za BET AWARDS. Sio Jambo dogo maana Kwa Afrika wako wasanii wengi sana ambao wanafanya muziki. Karibu...
4 Reactions
37 Replies
3K Views
Habari, Naomba kuuliza swali hili, Isidingo imeonyeshwa miaka mingi sana ITV nani alikuwa anamlipa mwenzake, maana miaka na miaka nakuwa nacheck tu. Pia naona imekuja pia tamthilia nyingine...
2 Reactions
8 Replies
2K Views
Natumai wanajamvi hili wazima. Naomba mwenye kujua majina ya movies zinazolezea masuala ya matukio ya dini za Kiislam na Kikristo..mfano maisha ya Nabii Ibrahim, safari ya Wana wa Israel kutoka...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
kwa wale wapenzi na wafwatiaji wa movie ,hasa zinazohusisha mashindano ya magari kama mimi,huwezi kuwa umekosa kufwatia movies zenye mwendelezo za "fast and furious" zilizosheheni wababe kama the...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Leo nimekumbuka hii ngoma ilivuma Sana enzi zile wakati bado blackberry na apple ni matunda hayajawa simu. Title ya wimbo ilitokana namsemu wa aliyekuwa raisi wa JMT awamu ya 3 Bwana Ben Mkapa...
5 Reactions
7 Replies
5K Views
Nimeipenda hii movie. Humu jamaa anaonekana kama mtu wa kawaida tu, familia na marafiki wanamchukulia poa. Kumbe alikuwa ni mbad na kaamua kutulia. Russian mafia walipoingilia familia yake...
11 Reactions
74 Replies
7K Views
Back
Top Bottom