UJUE WIMBO WENYE MANENO MENGI HAIJAWAHI TOKEA
👉Msanii Eminem aliimba wimbo unaojulikana kama "Rap God" msanii huyo aliimba wimbo huu wenye dk6 na sekunde 4sec(sawa na 364sec). Lakini kwenye wimbo...
SIMULIZI: THE HOUSE OF DEVIL
(Nyumba ya
kishetani)
Sehemu ya 01
MWANDISHI: METECK DERTHOD
MSIMULIAJI: HUMULI SAMAKI
TYPE: TRUE STORY (Simulizi ya kweli)
UTANGULIZI:
Kama kuna watu hawayajui...
I'm getting nervous right now
I don't know what's wrong with me.
I have tried so many times to find a girlfriend but all of those I meet I feel like I can't
Nimejaribu Ila imeshindikana kila...
KUSHINDA KWA WIMBO WA MASTER KG JERUSALEMA KUNAFUNZO GANI KWA WASANII WETU?
Wimbo huu wa kidini/ Gospel ulioimba kwa lugha ya kizulu yenye wazungumzaji milioni 9 + kwa mujibu wa sensa ya mwaka...
Wadau wa kucheza magame, katika games ambazo nimecheza mpaka mwisho (Max) ni;
1.Freedom Fighters
2.Needs For speed Most wanted
3.IGA
4.Call for Duty
5.Euro truck Simulator
6.Grand Theft Vice City...
ilikuwa siku kama siku nyingine katika maisha ya Bob Marley akiwa katika mizunguko yake. jioni hiyo akitembea taratibu na mara ghafla yake akamwona Sheriff John Brown akiwa anakatiza mtaani na...
Jana nimemka na weekend vibe nikasema embu kwanza nicheki muvi kali niliyo download
Ee bwana kuwasha gafla nakuta kumbe imetafsiriwa nikasema ewaaaaa bora ata nisichoshe akili kusoma sub title...
Ndani ya mwaka huu 2020 tumeshuhudia miamba ya muziki kutoka nchini Nigeria Burna boy,wizkid na Davido wakiachia album zao kwa nyakati tofauti akianza Burna boy na album yake ya ''Twice as tall''...
Habari wadau.
Leo nimesikiliza tena wimbo ya Roma uitwayo Mr.President (link hiyo hapo chini), Huu wimbo una ujumbe mzito sana ambao Roma aliulenga moja kwa moja kwa Raisi wa awamu ya nne na...
Naandika nafuta maana nikiandika hii nyingine inakuja naona kama iko mzuka kuanza nayo nikitaka kuanza nyingine inakuja sasa nimekaa hapa hata sielewi nianze ipi nimalize na ipi 😫😀😀
Wazee list...
Ninaishi Kimara Ova. Nasikia live bendi moja miezi au yapata mwaka sasa..
Kabla ya bendi hii, walikuwa wakipiga MAD --J Ninawaheshimu sana wale MadJ
Kwa anaehusika na hii lounge, hawa live...
One Love, one heart.
Let's get together and feel all right.
Hear the children crying. (One love.)
Hear the children crying. (One heart.) Sayin',
"Give thanks and praise to the Lord and I will feel...
Wakuu umeona ujio wa Davido???
Baada ya hasimu wake kuachia Album ya Made In Lagos(Wizkidayo)
Mtu mzima Davido ameachia Album yake ya A Better time ikiwa na ngoma 17.
Chris Brown,Nick...
Leo ni siku ya kuzaliwa mwanamuziki maarufu duniani kote kutoka Jamaica
Jina lake kamili ni Glendale Goshia Gordon ila anajulikana zaidi kama busy Signal ambae alizaliwa tarehe 24 jan 1982 huko...
Kuna vita ya maneno kati ya Davido na Burnaboy, baada ya Davido kusema yeye na Wizkid ndiyo wasanii wakubwa wa muda wote.
Sasa Burnaboy ameijibu kauli hiyo ya Davido kwa kusema "Kila mtu anajua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.