Kikundi cha mziki kilichopo milambo kinachoitwa PiTCHO GANG kimeachia Ngoma kuhusu milambo. Nyimbo inaitwa CHAMA LA WANAUME inapatikana YouTube....
Itafute upate burudani...
Miongoni mwa...
Kama kichwa cha thread hapo juu kinavyosema
Ipi series nzuri hapo juu kuanzia uhusika mpaka series yenyewe ipi ni nzuri hasa zaidi tukiwazungumzia wahusika wakuu PRISON BREAK unamkuta Michael...
BURUDANI: Watengenezaji wa ‘Game of Thrones’ wapanga kukaa mbali na mji ili wasisikie maoni ya watu baada ya tamthilia hiyo kuisha
David Benioff na D.B Weiss wamenukuliwa wakisema wakati wa...
Kwa mujibu wa Shazam, wimbo wa mwanamuziki Master KG umevunja rekodi ya kuwa wimbo uliotafutwa zaidi duniani.
Congrats @MasterKGsa! #Jerusalema is now the most Shazamed song in the world...
Sasa unaweza kuskiliza street One radio katika page zote za online radio station bila ya shida seach Google street One radio au bila ya kuacha nafasi yani streetoneradio ok kisha chagua pa...
Riwaya: Pasipoti ya Gaidi part 1
Mtunzi: Richard Mwambe
Pasipoti ya Gaidi: Hujuma na Uzandiki
Sura ya I
Ikulu – Dar es Salaam
Saa 10:30 Alfajiri
Wakati giza likijiandaa kutoweka na kuipisha...
SISI WETU NI MAGUFULI, WENGINE MSITUTISHE!
Tanzania yapendeza
Amani yetu yaangaza
Uhuru wetu twajivunia
Na tisa hamsini metimia
Beberu we situtishe
Utaipata kasheshe.
Wapo wenye inda
Nia yao...
Habari ndugu zangu naombeni msaada kutambua movie hii kwa maelezo mafupi nitakayo yatoa hapa.
Hii movie nahisi imetolewa 1997 ni ya gerezani stara wa hii movie hupenda kujifunga kitambaa kichwani...
Kuna movie moja niliiangalia miaka ya 90 ikihusisha mapambano makali yenye mbinu za hali ya juu kabisa za kijeshi.....
Ilifikia hatua Staring wa hiyo movie ambayo nimesahau jina lake alitamka...
KIDAWA (sijivunii Uchawi)
Kipande cha 1
Na Gaooh
Simu=0654387935
Nawakaribisha wote kwa pamoja kusoma simulizi
hii ya kuvutia.
Katika makuzi yangu sikuwahi kumuona baba wala
mama, sura pekee...
Baada ya alikiba kutoa diss track yake inayokwenda kwa jina la mediocre.
Ikielezwa kwamba ni dies kwenda kwa diamond...
Sasa mlengwa mwenyewe yaani diamond ametoa track yake inayokwenda kwa jina...
Sikiliza kwa makini wimbo huu, namna maudhui, sauti na mpangilio wa vyombo ulivyofanyika. Je mziki huu wa kibantu unafeli wapi against Bongo fleva?
Yaani mziki wa namna hii kwa nini unashindwa ku...
Kila kitu hapa ulimwenguni ni art na hii kazi ya arts ina kiwango chake. Hata mambo ya usalama ni kazi ya sanaa iliyojaa watu wa level tofauti. Kuna mjamaa mmoja alitumwa na boss wake kumfuatilia...
Kuna mbingu, na Kuna ardhi. Muziki wa Reggae umekuwa ukiheahimika duniani kote kwa maudhui yake maridhawa yaliyobeba ujumbe mzito wa kiukombozi na kuleta watu pamoja.
Muziki wa sengeli ni muziki...
Habari zenu, nimekuja tena ndugu yenu kwenye riwaya hii fupi ya UNA NINI MELISSA? Nashukuru kwa wale wote waniungao mkono, wajuazo raha zilizo ndani ya story tamu. Haya sasa tufunge mkanda...
Jukwaa la wasanii katika kampeni za CCM limezidi kuimarika baada ya kuongezeka msanii wa nyimbo za Injili Rose Mhando.
Rose amekuja na wimbo mpya wa kampeni "Magufuli Tubebe"
Siasa ni sayansi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.