Kiukweli kuna kipindi bahati inachangia kwenye maisha ijapokuwa utaweza kuwa na kipaji. Mfano halisi ni huyu Producer Luffa
Jamaa ni talented sana ila hana bahati.
Inasemekana pale switcher...
Habar wakuu,! Bass guitar pamoja na combo yake vinauzwa kwa pamoja. Being ni laki tano(500000). Combo ilikuw inatumika kwa askofu Gwajina haina tatizo inagonga muzki mzito unaotak ila kwa nyuma...
Hii nyimbo mpya ya Alikiba ni Diss track ?...
Kwa maana rahisi ya kamusi Mediocre ni 'ya kawaida' 'wakaida' 'wa wastani' yani hujafika kwenye good ila ishatoka kwenye bad yani unajitahidi.
Nani...
Nyimbo ya Alikiba imeweza kushika Namba Sita kwenye chat ya nyimbo Bora za Africa
Alikiba ndio Msanii pekee Alie kwenye chat hiyo kwa ukanda wa East Africa Ameweza kuonyesha kwa kiasi Gani yeye...
Nadiriki kusema mwaka huu na mwaka kesho na kuendelea hakuna video itayokuja kuwa Kali zaidi ya hii ya Harmonize mpaka kesho.
Director hanscana ni muuaji mnoo yaani kitu kipo kama movie quality...
Masaa machache tangu video ya mwanadada queen wa WCB kuwekwa youtube huko tayari imekuja kumtoa mtu pale juu.
ZUCHU FT DIAMOND PLATNUMZ - Litawachoma
Alafu unajua nini?? Eti kuna watu TWAWAKERA😀...
Habar wana JF
kwa wakubwa, Shkamooo!
Jioni ya leo katika pita pita zangu nimekutana na kijana yupo anasikiliza huo wimbo kupitia simu ake (****mbele kwa mbele) kweli nilimtizama kwa hasira sana...
15. Dar-Es-Salaam stand up -chid benz
14.Anakuja - Sister P
13. Hayakuhusu - Rah P
12. Stimu zimelipiwa -Joh makini
11. Bila sanaa -Imamu Abbas ft Juma nature.
9. Ni hayo tu - Fid q
10. Wauguzi...
Wakuu habari,
Nimetokea kukapenda haka kajingle ka Clouds, ka jamhuri ya wapambanaji nadhani ile ni sauti ya Ruby.
Naomba ambaye anaweza nisaidia kuipata anipandishie tafadhali.
Kwa wale wanaofuatilia Idols SA season 16. karibuni tutetee.
Top 16 hawa hapa. Succedor anajua saana huyu kijana. Nilipenda audition ya groups ile combination yake, Brandon na Bruce Mr Music...
Ndugu zangu namba tukutane hapa ili tuweze kupeana movies kali zinazohusiana na mazombi tu na vampire.
Zombies wa movi hiz wawe sio wale wa kupiga hatua moja moja yaan hata kukimbia hawawezi...
SIMULIZI-MJI WA LAANA-1
MTUNZI-SHADU
TELL-0677884981
UTANGULIZI.....
Kila mwanadamu ana mitihani ya kidunia ambayo
inaweza kumkatisha tamaa ili asifikie malengo yake
ambayo alikuwa amejipangia...
Wakuu mnakumbuka mwaka flani Jay-Z alikua nomenated kwenye cartegories 8 kwenye tuzo za GRAMMY lakini mwisho wa siku akaambulia zero (sifuri) yaani 0/8?
Naona GRAMMY walikusudia kumdhalilisha...
Wasaalaam wakuu ngoma mpya kutoka katka ufalme,
huu hapa ni uchambuzi usio rasimi nitachambua baadhi ya mistari nilio ielewa
Alikiba kuna mstari kaimba[emoji116]
"Bruu mpaka chini pigooo...
TATHIMINI YA SOKO LA MUZIKI TANZANIA NA WASANII WA FILAMU
Naitwa Don Nalimison ni moja ya Wanamuziki nchini Tanzania ninayefanya mziki katika Lugha ya Kiingereza cha Kiafrika. Leo nataka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.