Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...
Kiukweli kuna kipindi bahati inachangia kwenye maisha ijapokuwa utaweza kuwa na kipaji. Mfano halisi ni huyu Producer Luffa Jamaa ni talented sana ila hana bahati. Inasemekana pale switcher...
4 Reactions
13 Replies
2K Views
Habari za Leo wakuu, Hili gitaa la huu wimbo limekaaje.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habar wakuu,! Bass guitar pamoja na combo yake vinauzwa kwa pamoja. Being ni laki tano(500000). Combo ilikuw inatumika kwa askofu Gwajina haina tatizo inagonga muzki mzito unaotak ila kwa nyuma...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Hii nyimbo mpya ya Alikiba ni Diss track ?... Kwa maana rahisi ya kamusi Mediocre ni 'ya kawaida' 'wakaida' 'wa wastani' yani hujafika kwenye good ila ishatoka kwenye bad yani unajitahidi. Nani...
2 Reactions
17 Replies
4K Views
Nyimbo ya Alikiba imeweza kushika Namba Sita kwenye chat ya nyimbo Bora za Africa Alikiba ndio Msanii pekee Alie kwenye chat hiyo kwa ukanda wa East Africa Ameweza kuonyesha kwa kiasi Gani yeye...
4 Reactions
48 Replies
6K Views
Nadiriki kusema mwaka huu na mwaka kesho na kuendelea hakuna video itayokuja kuwa Kali zaidi ya hii ya Harmonize mpaka kesho. Director hanscana ni muuaji mnoo yaani kitu kipo kama movie quality...
2 Reactions
33 Replies
4K Views
Masaa machache tangu video ya mwanadada queen wa WCB kuwekwa youtube huko tayari imekuja kumtoa mtu pale juu. ZUCHU FT DIAMOND PLATNUMZ - Litawachoma Alafu unajua nini?? Eti kuna watu TWAWAKERA😀...
2 Reactions
47 Replies
4K Views
Habar wana JF kwa wakubwa, Shkamooo! Jioni ya leo katika pita pita zangu nimekutana na kijana yupo anasikiliza huo wimbo kupitia simu ake (****mbele kwa mbele) kweli nilimtizama kwa hasira sana...
1 Reactions
14 Replies
1K Views
Hello guys, Kwa wale mnaofuatilia Bb naija lockdown karibuni sana huu uzi ni wetu wetu. ledada
0 Reactions
5 Replies
2K Views
enjoy kama ulikuwa unautafuta na bado unauhitaji!
2 Reactions
5 Replies
6K Views
15. Dar-Es-Salaam stand up -chid benz 14.Anakuja - Sister P 13. Hayakuhusu - Rah P 12. Stimu zimelipiwa -Joh makini 11. Bila sanaa -Imamu Abbas ft Juma nature. 9. Ni hayo tu - Fid q 10. Wauguzi...
4 Reactions
90 Replies
53K Views
Wakuu habari, Nimetokea kukapenda haka kajingle ka Clouds, ka jamhuri ya wapambanaji nadhani ile ni sauti ya Ruby. Naomba ambaye anaweza nisaidia kuipata anipandishie tafadhali.
2 Reactions
1 Replies
4K Views
Kwa wale wanaofuatilia Idols SA season 16. karibuni tutetee. Top 16 hawa hapa. Succedor anajua saana huyu kijana. Nilipenda audition ya groups ile combination yake, Brandon na Bruce Mr Music...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Ndugu zangu namba tukutane hapa ili tuweze kupeana movies kali zinazohusiana na mazombi tu na vampire. Zombies wa movi hiz wawe sio wale wa kupiga hatua moja moja yaan hata kukimbia hawawezi...
3 Reactions
12 Replies
2K Views
SIMULIZI-MJI WA LAANA-1 MTUNZI-SHADU TELL-0677884981 UTANGULIZI..... Kila mwanadamu ana mitihani ya kidunia ambayo inaweza kumkatisha tamaa ili asifikie malengo yake ambayo alikuwa amejipangia...
1 Reactions
31 Replies
7K Views
Wakuu mnakumbuka mwaka flani Jay-Z alikua nomenated kwenye cartegories 8 kwenye tuzo za GRAMMY lakini mwisho wa siku akaambulia zero (sifuri) yaani 0/8? Naona GRAMMY walikusudia kumdhalilisha...
1 Reactions
5 Replies
806 Views
Huyu ndo king wa mziki wa bongo Fleva hatabiliki Hit baada ya hit, hakuna kucopy copy ma idea yamejaa Tem Mziki mzuri dude hili hapa
9 Reactions
49 Replies
6K Views
Wasaalaam wakuu ngoma mpya kutoka katka ufalme, huu hapa ni uchambuzi usio rasimi nitachambua baadhi ya mistari nilio ielewa Alikiba kuna mstari kaimba[emoji116] "Bruu mpaka chini pigooo...
2 Reactions
27 Replies
4K Views
TATHIMINI YA SOKO LA MUZIKI TANZANIA NA WASANII WA FILAMU Naitwa Don Nalimison ni moja ya Wanamuziki nchini Tanzania ninayefanya mziki katika Lugha ya Kiingereza cha Kiafrika. Leo nataka...
3 Reactions
7 Replies
2K Views
Back
Top Bottom