Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...
Sio maujanja kama wanadada wa vyuoni kusoma mchana wanafanya uchangudoa jioni kisha wana-act kama virgin in the morning Ili picha uipate ficha flash wasiione Wengi hawa graduate na A wana...
0 Reactions
21 Replies
2K Views
Mwandishi: Badi.M.Bao Baruapepe:badi.bao11@gmail.com Riwaya zake mtaani: "CABO-DELGADO' na "MSAKO MWEHU" SEHEMU-01 SURA YA KWANZA. Ilikuwa ni adhuhuri mwanana, ikichagizwa na upepo wenye kasi ya...
4 Reactions
156 Replies
26K Views
MHESHIMIWA THE DON DAVID NGOCHO SAMSON ~1~ Geofrey Mtemvu alikulia katika familia yenye uwezo ya Mzee Ally Magubi Mtemvu baada ya wazazi wake kumtelekeza kwa kukosa uwezo wa kumlea. Alichukuliwa...
4 Reactions
43 Replies
7K Views
Unaweza ongezea au rekebisha kulingana na uzoefu wako 1. Bondeni Bar Kariakoo 2. Chaburuma 3. DDC Keko 4. DDC Kariakoo 5. DDC Magomeni Kondoa 6. Dimax Bar Tandika 7. Friends Conner Manzese 8...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Wana bodi habarini...? Hili naliona kutokana na WASAFI TV, kuja kwa kasi na kdhihirisha kuwa ndo redio pendwa currently, kwa kuwa na vipindi vya Moto kama BIG SUNDAY LIVE,booonge moja la kipindi...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Habari ndugu na marafiki, Wimbo mkali sana bado upo jikoni unasukwa vilivyo na Msanii: EllySkyWilly Hiki hapa ni kionjo chake tu. Pia unaweza kuusikiliza youtube kwa mbaliii upate walau...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wadau hebu tujuzane je hizi studio na nyinginezo zimeishia wapi? 1. Wananchi video Production 2. Silk production 3. 2 eyes production 4. Sofia Recordz 5. Pasu kwa Pasu Recordz 6. n.k n.k (ongezea)
0 Reactions
15 Replies
3K Views
✓kutokana na wadau wengi kuiponda album ya Burna Boy, na wengine kwenda mbali na kusema Ina bebwa na promo kubwa ya P. Diddy na was sio nyimbo zilizomo ndanibya album. ✓lakini pia Kuna wadau...
0 Reactions
59 Replies
5K Views
TITLE: DOKTA IVO MTUNZI: JOTO LA MOTO SEHEMU YA KWANZA NJE-KUNDUCHI BEACH HOTEL-KWENYE BWAWA LA KUOGELEA-MCHANA. KAZI, kijana mtanashati, miaka 35,akiwa amevalia bukta ndefu ya bluu iliyobana...
5 Reactions
25 Replies
5K Views
Habari wapenzi wa burudani nimeona nilete kwenu hii issue nimetizama movies nyingi kiasi zikiwemo za hbo huko mambo ni mazito kidogo yaani ukiwa unacheck movies zake inabidi uwe peke yako au uwe...
4 Reactions
32 Replies
3K Views
Habari za muda huu wakuu..I hope mko poa.. TVE wana kipindi kinaitwa "Za Leo", hiki kipindi ukikiingalia Content yake au entire Idea inafanana na ile ya Kipindi cha Refresh kinachorukaga Wasafi...
1 Reactions
20 Replies
3K Views
AFRIMMA imetoa list ya wanamuziki wa kupewa tuzo mwaka huu; mojawapo ni artist of the year. Sasa mwanamuziki Master KG wa south Africa, wimbo wake wa Jerusalema ni maarufu sana duniani kote sasa...
1 Reactions
8 Replies
4K Views
Hebu tujikumbushe kidogo, tumeambiwa kusahau. Chorus (Ferouz) Hapa nilipo mimi nipo kitandani Starehe zimeniweka matatani Kupona tena mimi haiwezekani Masela wangu ndugu zangu buriani...
5 Reactions
29 Replies
4K Views
Available in all digital platforms isikilize halafu leta maoni yako hapa Personally nimependa sana ubunifu wa Diamond platnumz kutumia current situation pale anasema "Tena wasipoteze muda kwa...
10 Reactions
64 Replies
10K Views
Wadau wa mziki tupeane ushauri, niongeze nini na nipunguze nini kwenye hii beat?
0 Reactions
0 Replies
529 Views
Moja kwa moja kwenye mada. Kuna kipindi nakiskiliza muda huu saa 2315 cha muziki, aisee hao watangazaji wenu sijui mmewatoa wapi yani inaonyesha ni ma newbie sana ni dizain kama ya wale...
2 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu hii nyimbo nitaipata vipi ? "Najua nafsi yako inatamani sana inasubiri ahadi yetu kuwa bibi na bwana,siku zinavyozidi kwenda dhiki inazidi tuandama na lengo letu linazidi kushindikana...."...
1 Reactions
12 Replies
13K Views
Kwanza nimeshindwa kuamini nilipo iona hiyo clip kwa mara ya kwanza Maana mkono wa huyo mama unatereza juu ya nyuzi za gita kama moja ya mikono ya wale viumbe walioumbwa pamoja na lusifa Sasa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu habari za mihangaiko. Bila kupoteza muda huyu jamaa naona sasa amekua sana kiakili na anafikiria zaidi maisha naona hataki tena kurudia makosa baada ya kupoteza 600M. Hizi ni kazi zake za...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Back
Top Bottom