Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...
Heshima mbele kama tai. Nataka siku ya harusi yangu nikodi bendi au msanii wa Bongo Fleva, wana gharama gani kwa show ya usiku mmoja?
1 Reactions
50 Replies
5K Views
Alicheza Riama Ally kama binti aliependwa na tajiri mmoja ila alifanyiwa mitego na tajiri huyo kuona kama ni mwaminifu akategwa kijana amfatilie kumtaka kimapenzi Jamani inaitweje hio movie?
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Ni hatua kubwa sana anayoionyesha kijana wetu Diamond Platnumz bila shaka anastahili pongezi sana kwa bidii yake katika kazi. Inadhihirishwa na ukubwa wa ngoma yake aliyoshirikishwa ya Yope sasa...
0 Reactions
24 Replies
4K Views
Aisee hii battle naona Kabisa imetangazwa official. Kama shabiki wa mziki njoo useme katika nyimbo zao za Diss umependa ipi ? Na utoe Comments wapi ni wakali ? Mahaba yangu kwa kikosi kazi na P...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Karibu tena katika uwanja mwingine wa maandiko ya Kudo na sasa ni Riwaya mbili ndani ya uzi mmoja Riwaya:operation jicho la paka Riwaya:Dakika za mwisho(with wolf rules) Karibuni
10 Reactions
200 Replies
36K Views
Wakuu naomba msaada mnisaidie jina la hii muvi
0 Reactions
2 Replies
760 Views
Nilikuwa nafuatilia hapa kikao cha CCM Dodoma. Polepole alipotambulisha burdani kabla ya Mwenyekiti wa CCM kusimama, ndipo nikajua kuwa King na Diamond mwenye thamani ni Diamond maana hata...
2 Reactions
19 Replies
4K Views
Leo akiingia kuchangia 'kiuchambuzi', mchambuzi Oscar Oscar alianza kwa kutoa kicheko cha 'kinafiki' kisha akahoji, je madeni yameshalipwa? Watangazaji wenzake wote studioni wakaanza kuangua...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Wale wadau wa UFC usisahau kuangalia mechi kali sana kati ya hawa watabe wawili usiku huu, vita ni vita mura
0 Reactions
20 Replies
1K Views
Guys naomba leo tuondoe utata kuhusu hizi show mbili ni show gan Kali kwa sasa Tanzania maana kila nikiwasikiliza wote wanapondeana. Je, nani mkweli kwenu?
1 Reactions
28 Replies
3K Views
1. Bongo Record =P Funk 2. MJ = Marco Chalk 3. Ban Record = Sheddy Clever 4. Kili Record = Rash Don 5. Tongwe Record = Bin Laden 6. Touch Sound = T touch 7. Tuddy Thomas 8. Wasafi Record = Diamond...
3 Reactions
66 Replies
10K Views
Nimekuwa nikifuatilia sana nyimbo zote za Wasafi na wasanii wengine wanazoimbia CCM na Magufuli hata ziwe nzuri vipi huwa hazifiki number one trending on YouTube. Ikumbukwe kuwa kila wimbo wa...
1 Reactions
22 Replies
2K Views
Habari wana JF, Habari kwenu watazamaji na mashabiki wa ulimwengu wa movies. Ebu tuambiane na tufahamishane Movie kali zilizowahi kutikisa na kuteka ulimwengu wa movie. Unakaribishwa kujazia ili...
3 Reactions
248 Replies
28K Views
Tumefikia makubaliano leo jijini Mwanza na Producer Mr.Haruna Paul a.k.a H-PAUL ambapo tayari tumeanza Production kwa Track zote zitakazo kuwa katika Lugha ya Kiingereza. Zaidi tumeangalia katika...
5 Reactions
48 Replies
4K Views
Habari wana jamvi, Hivi kasi walio nayo sasa hivi wasanii kwa kuimba nyimbo za CCM na zote zikiwarushia wapinzani madongo makali na Kuwasifia CCM. Mfano imetokea CHADEMA wakachukua nchi sijui...
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Baada ya Dozen kuhama Clouds FM, Leo XXL wamemfanyia mahojiano Nikki mbishi kuhusu bifu yake na Wakazi pamoja na kuhusu diss track ya P Mawenge, baada ya mahojiano wakawaunganisha live kupitia...
6 Reactions
41 Replies
6K Views
1. Wherever You Are By (Jay Z) 2. Forever Young By (Jay Z) 3. Bonnie & Clyde By (Jay Z) 4. Run This Town By (Jay Z) 5. My Life By (The Game) 6. Life Goes On By (2pac) 7. I Roll Up By (Wiz...
5 Reactions
162 Replies
18K Views
Anayemjua please atujulishe ni nani hyu mwamba anayecharaza bati kwenye huu wimbo wa hayati Lucky Dube Back To My Roots. Yani ni sheeda; anapiga ngoma vibaya sana. Huyu ni nouma dah yani sheeedah
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Siku hizi ukifanya interview kali ni promo si tu kwa msanii bali na media pia. Tumeona mifano mingi interview zikiinua vituo vya redio Kama Lil Ommy, Millard Ayo wakivikuza vituo vyao vya kazi...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Back
Top Bottom