Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...
Mfano nyimbo ya tamaduni music - Jemedari au NashMc - Mapendo...... Natanguliza shukrani
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Leo naomba nijaribu kuwaletea nyimbo 20 bora kabisaa za za mtoto wa mwanamuziki nguli wa zamani mzee mwinjuma aka mc mbondei Ambazo hazitakuja kukaa kuchuja zingne ni za zamani ila kwa ubora wake...
7 Reactions
77 Replies
19K Views
Habari waungwana. Kwa wale mnaoikumbuka Diamond Sound, ambapo makao yao makuu yalikuwa Mwenge Pale Silent Inn Club. Tafadhali kwa Mwenye Nyimbo zao naomba tupia humu, Nyimbo zao ninazokumbuka ni...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kipindi kidogo ndani ya kipindi cha PLANET BONGO cha EAST AFRICA RADIO NA TV kinachoongozwa na mtangazaji Abdallah Khamis Wambuwa, Ambacho kinatambulika kama DAKIKA 10 ZA MAANGAMIZI Ambapo Rapa...
1 Reactions
41 Replies
17K Views
Unaweza kuangalia concert hii yenye lengo la kukusanya michango kwa ajili ya chakula na mahitaji ya kiafya kwa ajili ya familia zilizoathirika na COVID-19 barani Afrika
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Sikiliza mfululizo wa maelezo ya muhenga aliteanza kuingia katika madansi miaka ya 60 msikilize huku
0 Reactions
1 Replies
603 Views
0 Reactions
0 Replies
469 Views
Hawa watu wajanja sana, wameachia wimbo wao mpya ambao nina uhakika utatrend sana kwenye mitandao hasa huu mpya Tiktok unaoongoza kwa kuwa downloaded hivi sasa. Wasanii wengine chukue somo hapo...
16 Reactions
151 Replies
15K Views
Habari za weekend wanajamvi. Kama kichwa cha habari kinavyojieleza,unafkiri ni nani unazani ni best hip hop man kwa hapa Tanzania? Na kwanini?? Binafsi my best ever rapper of Tz ni FID Q.sina...
6 Reactions
172 Replies
28K Views
Uzi Tayari Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
2 Replies
702 Views
He sings for the world to enjoy
0 Reactions
2 Replies
832 Views
.
3 Reactions
34 Replies
2K Views
Nilizowahi tazama: 1.Kyle XY 2.Banshee 3.Blindspot 4.Prison Break 5.DareDevil 6.Doctor Stranger 7.Vikings 8.Spartacus 9.The Lastship 10.Into the badlands 11.Blacklist Redemption 12.Transporter...
1 Reactions
157 Replies
16K Views
Nani anaweza akanifanyia wepesi wa hichi kitu
3 Reactions
134 Replies
11K Views
Harmonize ndio msanii namba moja bongo kwa sasa, ni msanii ambaye ametoa hit kali kuwahi kutokea toka bongo fleva imeumbwa. Yaani kwangaru views milioni 52, bado view laki 3 iipite nana. Hii...
1 Reactions
36 Replies
6K Views
MZEE WA ACHECHE, CHUKUA NAMBA MOJA Na, Robert Heriel Kila mtu duniani hupenda kazi yake ifurahiwe na watu wengine. Hakuna asiyetaka kazi yake isipendwe. Ndoto ya watu wengi duniani ni kuona kazi...
9 Reactions
108 Replies
15K Views
Hellow! Natumai mko poa ndugu na mnaendelea kujikinga dhidi ya Corona. Na mimi katika nafasi yangu, naendelea kuwaletea mambo kadha wa kadha kuhusu filamu kama moja ya njia ha kuhamasishana kukaa...
20 Reactions
64 Replies
8K Views
SCRIPT ZA IMA. SEHEMU YA KWANZA. TITLE:FIMBO YA MBALI. MTUNZI: IMA WA JONI A.K.A MSANII JOTO LA MOTO. TEL.0788 135 198. OFISINI KWA RAY-JIONI. Ray na Hemedi, vijana watanashati, Ray...
1 Reactions
27 Replies
6K Views
Natafuta season ya kifilipino inaitwa darating Ang Umaga au (till morning is come) nimetafuta mtandaoni sijawahi kuipata nifanyaje ili niweze kuiona tena. Iliwahi kuonyeshwa Star tv
0 Reactions
2 Replies
573 Views
Mzee kasema tujiandae kupiga shangwe, basi tujiweke sawa. Leo nipo na Wasafi Media, kuna machache kati ya mengi siyaelewi tusaidiane kuwaweka sawa. Kuna mifano michache ya ‘Vipindi’ ama ‘shows’...
2 Reactions
12 Replies
2K Views
Back
Top Bottom