Mmewahi kuusikia wimbo wa Chid Benz uliojaa matusi yasiyoandikika kama nat..ba mademu kibao nk nk! halafu kila baada ya mstari anamalizia na neno kum...ko! chid hii si sawa pamoja na studio...
YOU KNOW THE TASTE EEEH!? haya sasa Music and fashion combined INAKUAJE? ok haha! Unaeza ita BEST COMBINATION ipo hapa..
[emoji92][emoji440]
Sent using Jamii Forums mobile app
Solo Thang salute kwako brother.
Hii Nyimbo nilikuwa nikiisikiliza napata hofu kweli kipindi hiko nipo darasa la 6E
Alichokiimba ndio Corona Virus inavyotufanya Sasa.
Sent using Jamii Forums...
Habarini za kazi wadau,,,,,,?????
Jamani mimi ni mpenzi sana wa movie za kutisha na inafikia wakati cpendi filamu ambazo hazina maudhui ya kutisha.
Baadhi ya filamu ambazo binafsi nimewahi...
A Boy From Tandale Kwa miaka miwili Stream 5.48
Afro East Ndani ya Mwezi Mmoja Stream 5.01
Ni kwamba yale Marobot ya Youtube uku uwa hayapenyi au Album ya Diamond ilikua Mbovu,? Ya konde Boy ni...
Nimesikitishwa sana na maneno ya matusi dhidi ya BSS yaliyotolewa na kijana aliyeonekana yuko humble sana na kumbe hayuko hivyo.
Hamis bado una safari ndefu ambayo ndio kwanza ulikuwa...
Wale wazee wa kuponda walioanzisha Kampeni ya kuuponda wimbo wa Dodo Mko wapi, Leo ni Siku ya 12 Namba 1 Trending, Views 3.3m
Pamoja na Promo aliyopewa Zuchu Ndani na nje ya Nchi, Team WCB, WCB...
Kwa wale tuliosikiliza audio kabla ya Video tutakubaliana kuna mabadiliko. Ilivyo ni kwamba, audio ilikuwa inamaliziwa mwishoni kabisa na Nay Wa Mitego ndiyo goma linaisha.
Sasa picha...
Wadau mada hapo juu yaeleweka.
Siza, Masoud(KP) na Babra hawasikiki Clouds FM Power Breakfast. Badala yao wapo watukutu watatu. Wawili wanatoka XXL ambao ni Adam Mchomvu na Sinyorita aka Sesenyor...
Jamani kwenye zile filamu zetu za zamani waswahili tilizoea kuziita MIKANDA, mimi nakumbuka kuna manyang'au ambao walijua kuvaa uhusika aisee. Yani watoto mekaa sebuleni mnamtungia kila jambazi...
wale wazee wa Action na Crime Searies icheki hii utaipenda... pakua bure kwa hii link... Ziko HD na Highly Compressed unatumia bundle kidogo Hunters Free Download
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna swali hpa Kuna wimbo siujui jina,wala maneno wanayotamka,labda kuimba kwa mluzi naweza!! Je kuna apps inaweza kuutambua kama nikiimba kwa mluzi!!! Shazam na soundboth zimechemka!! Au kama...
Naangalia clouds apa kipindi cha ala za roho ambapo watangazaji ni Meenah ally jose mara na Dr Izack
Tangu asubui naona vipindi vyoye vipo tofauti...
vipindi vyote vimebadililshiwa watangazaji kwa...
Nimechoka sana na nasikia aibu jumlisha wivu , kuangalia filamu za wenzetu zikiendelea kukosha nyoyo zetu hasa kipindi hiki cha Mzee barakoa.
Inabidi watu waibuke wasapoti kazi za sanaa yetu kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.