Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...
Kilichowakuta wasanii wa Bongo movie ni fundisho kubwa kwa wenzao wote wanaopenda hiyo sanaa ili kufanikiwa kimaisha. Wasanii wa Bongo movie walisahau kuwa watanzania wapo matabaka tofauti. Wapo...
7 Reactions
14 Replies
1K Views
Hili halina ubishi huyu jamaa anatalanta ya kipekee sana Licha ya kuwa hana uwezo Wa kuona tangu kuzaliwa kwake (KIPOFU) Lakini anauwezo MKUBWA Wa kupiga vyombo vingi vya mziki Sauti yake ni...
5 Reactions
19 Replies
4K Views
Wakuu habarini, Kama siamini macho yangu: Hivi ni kweli ninayo yaona? Naona kama Clouds mvuto wote kwisha, na hata tamasha lao la Fiesta halina hisia tena. Shida ni nini, au ni upinzani...
7 Reactions
36 Replies
4K Views
Hivi kuna tatizo gani msanii akidownload beat na kurekodia nyimbo?
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Je, ni ngoma gani ya Bob Marley ambayo hadi leo ukiisikiliza unaona kama wimbo mpya kwenye masikio yako?
5 Reactions
70 Replies
8K Views
Ahlan wasahlan wanajamvi, Wazima ninyi? Hopefully wote wazima. Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu. Honestly speaking, Rayvanny ndiyo almasi pekee iliyobakia WCB, kivipi? Twende...
2 Reactions
7 Replies
2K Views
Hawa E FM na E TV na tamasha lao na mziki mnene wamefeli vibaya. Hawapo live katika TV, uwanjani watu wachache sana. Hata wasanii wanao-perfom wamepooza, yani kwa ufupi wanatia huruma.
4 Reactions
14 Replies
2K Views
Hawa ndio wasanii 10 kumi bora [Kenya, 2019]. Pata list hapa
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Kamwene! Binafsi si mfuatiliaji wa visa na mikasa ya wanamuziki hasa `Bongo`. Kwa muda mrefu nimekuwa nikisikia juu juu kuwepo kwa kinachosemekana kuwa 'beef' kati ya msanii Nasibu Abdul Juma...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Princess Beatrice was presumably all smiles when she hosted her engagement party at Chiltern Firehouse in London yesterday. The 31-year-old is expected to marry Edoardo Mapelli Mozzi, a...
2 Reactions
12 Replies
1K Views
Tafadhali sana wana burudani, yeyote mwenye access ya wimbo wa Ndala Kasheba, Happy Birthday to You, share nami tafadhali
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Hivi karibuni nimeona kwenye baadhi ya vipindi vya Clouds vikirusha madongo na kumpiga majungu Diamond Platnumz. Ushauri wangu: Clouds kama ngoma za Diamond hampigi kuna haja gani ya kumzungumzia...
5 Reactions
21 Replies
3K Views
Huyu mayor kwa sasa ana hali mbaya sana huku mzee adiyente anazidi kumwamini bi ayvi aguas Emilia naye na rahul aka jaguar mambo ni moto Daaah huyu jamaa alnado anatia huruma kichizi Mayor...
1 Reactions
8 Replies
772 Views
Kupitia uvumi ulionea mitandaoni kuwa miss Tanzania Siti Abbas Mtemvu amejiuzulu kupitia Facebook si kweli wala hiyo account ya Facebook si yake. Bado ni Miss Tanzania 2014. ( Poleni sana...
0 Reactions
38 Replies
6K Views
IMEANDIKWA NA : RICHARD MWAMBE ********************************************************************************* Simulizi : Kitanzi Cha Mwisho Sehemu Ya Kwanza (1) Maisha yanayotuzunguka yana...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Dogo kawadhihirishia uwezo wake na kipaji alichotunukiwa na Mungu. Alikuwa lebo kubwa East Africa, WCB, na alifanya makubwa na hakuna mtu aliyetengemea kuwa anaweza kujitengemea mwenyewe...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Wakuu habari. Kila siku uwa najiuliza, mbona hii sekta ya Bongo movie haikui kabisa? Yaani miaka nenda rudi ipo palepale? Mfano, angalia muvi za Shumileta au Nsyuka za horror miaka ile na...
2 Reactions
10 Replies
2K Views
RIWAYA ; KIKOSI CHA PILI. Season 2. Na; BAHATI MWAMBA. SIMU;0758573660. Soma hivi…….. GATUMBA BURUNDI. Kiasi cha kilomita kumi na tano kutoka Bunjumbura na, kilomita tano kutoka...
3 Reactions
28 Replies
8K Views
BRAD Pitt and Jennifer Aniston prove they’re still friendly exes as the actor attended her Christmas party – nearly 15 years after their split. The former couple devastated fans back in January...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mtunzi Nyemo Chilongani Sehemu ya 01 “Shadya! Wewe ni msichana mzuri sana, mrembo, msichana ambaye ninajisikia fahari sana kuwa nae,” ilisikika sauti ya mwanaume mmoja aliyekuwa amejibanza...
7 Reactions
191 Replies
40K Views
Back
Top Bottom